Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pele wa Ghana labda ile Pele wa Brazil hakuna wa kumsogelea katika haoHata delima sio level za Messi.
Messi hamna mtu aliye level zake
Hata Pele na maradona huwa wanawekwa level zake kwa heshima ya ulegend wao tu lakin kwa kipaji Cha mpira kama mpira hawamfikii
In short Ronaldo ameshakuwa upande wa pili wa shilingi wa Messi. Itaenda hivyo kwa muda mrefu sana na sijui kama itatokea sehemu historia impraise Messi bila Ronaldo kutokutajwa.Wenye hio tabia ni mashabiki wa Ronaldo
Kwa ronaldo sawa unakua tayari unaongoza goli moja lakini ukiwa na Messi kikosini unakuwa tayari umeshashinda kistaarabu mnoo na kwa staha zenye burudani za kufurahisha mnoo ndani yake!! Lakini Tunawashukuru wote wawili kwa mijiburudani waliyotupatia katika wakti wao wa uchezaji soka na hata kwa kipindi hichi wanapoelekea kwenda kumaliza wakti wao wa kucheza boli!!!Msituone wote ni wajinga.
Hapa ananukuliwa Zidane akisema unapokuwa na Ronaldo kwenye kikosi tayari unakuwa unaongoza moja bila.
View attachment 2671424
Ebu leteni source ya hiyo habari yenu inayomuonesha Zidane akimsifia Messi dhidi ya Ronaldo
Mpaka hapa nyie ni waongo
Hayo maneno sijayabuni mimi, nimemnukuu Zidane huyo ambaye mleta uzi kadai kuwa Zidane kasema Ronaldo hayupo kwenye level za MessiKwa ronaldo sawa unakua tayari unaongoza goli moja lakini ukiwa na Messi kikosini unakuwa tayari umeshashinda kistaarabu mnoo na kwa staha zenye burudani za kufurahisha mnoo ndani yake!! Lakini Tunawashukuru wote wawili kwa mijiburudani waliyotupatia katika wakti wao wa uchezaji soka na hata kwa kipindi hichi wanapoelekea kwenda kumaliza wakti wao wa kucheza boli!!!
Sasa si PSG wangekua na UCL?Kwa ronaldo sawa unakua tayari unaongoza goli moja lakini ukiwa na Messi kikosini unakuwa tayari umeshashinda kistaarabu mnoo na kwa staha zenye burudani za kufurahisha mnoo ndani yake!! Lakini Tunawashukuru wote wawili kwa mijiburudani waliyotupatia katika wakti wao wa uchezaji soka na hata kwa kipindi hichi wanapoelekea kwenda kumaliza wakti wao wa kucheza boli!!!
Kwani kaka!!!Hayo maneno sijayabuni mimi, nimemnukuu Zidane huyo ambaye mleta uzi kadai kuwa Zidane kasema Ronaldo hayupo kwenye level za Messi
Kama ndio hivyo nafikiri na ureno nao wangekuwa na weldi kapu!!!Sasa si PSG wangekua na UCL?
Gareth Bale baada ya kusema Messi ni bora zaidi ya Ronaldo, basi mshkaji wenu Ronaldo akamu-unfollow Bake kule Instagram. Hapo ni aina flani ya kununa na kutikubaliana na mawazo ya BaleME SIDHANI KAMA ATACHUKIA MANA HATA YEYE ANALIJUA HILI
NakaziaHata delima sio level za Messi.
Messi hamna mtu aliye level zake
Hata Pele na maradona huwa wanawekwa level zake kwa heshima ya ulegend wao tu lakin kwa kipaji Cha mpira kama mpira hawamfikii
We endelea kufatilia NBC PL ndio levek zakoAnatafuta umaarufu kupitia Ronaldo
Lete cha kwakoKwanza nimefanya utafiti nimeona hicho chanzo chako ni fake
Unajikuta mzungu kisa kuangalia mpira kwenye mabanda umiza?We endelea kufatilia NBC PL ndio levek zako
Xavi na iniesta walikuwepo Messi akiinua kombe la dunia?Messi bila Xavi na Iniesta ni Di Maria aliechangamka.
Ronaldo kuambiwa kazidiwa na Messi sidhani kama yeye mwenyewe anaweza kubisha hilo wala kuhisi anachukiwaRonaldo ndio mchezaji anayeongoza kwa kuwa na haters wengi.
Figisu nyingi zinaweza kufanywa ili mradi tu kumkwamisha.
Sikweli ,wote Bora viwango tofauti