Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIPATI picha Ronaldo ndo angeshinda WC [emoji28] Tungehama duniaAliyepata kuwa kocha wa Ronaldo pale Real Madrid na gwiji wa klabu hiyo, Zinedine Zidane amesema Ronaldo ni mchezaji mzuri sana na ni mmoja ya wachezaji bora kuwahi kutokea lakini hayupo katika level za Lionel Messi.
Zidane akaongeza, Ronaldo hayupo kwenye level za Messi kwa kuwa Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea.
My take:
Najua CR7 atakuwa amenuna huko alipo lakini huu ndio ukweli na msema kweli ni mpenzi wa mwenyezi mungu, au nasema uongo ndugu zangu?
View attachment 2671330
Kama Messi akiwa uwanjani tayari umeshinda mechi basi PSG wangekua na UCLKwani kaka!!!
Kama ndio hivyo nafikiri na ureno nao wangekuwa na weldi kapu!!!
Na wewe kwanini unatulazimisha tuamini Messi ni bora kuliko wote!? kila mtu abaki na mtazamo wakeGareth Bale baada ya kusema Messi ni bora zaidi ya Ronaldo, basi mshkaji wenu Ronaldo akamu-unfollow Bake kule Instagram. Hapo ni aina flani ya kununa na kutikubaliana na mawazo ya Bale
Hii hua ni nadharia ya uongo huwezi cheza mpira kwa level ya Ronaldo kama huna talent, na huwezi cheza mpira level ya Messi kama huna mazoeziAm neither football not players fan but nilivyoambiwa na watu about thses guys. Kuna mmoja Ni nature mwingine anatumia effort kubwa mno.
Wakati tunamaliza olevo kilikuwa na Saba Kama tatu ama mbili nishasahau Ila kulikuwepo na nane moja wani. Ila huyu dogo wa nane alikuwa anatumia nguvu kidogo compared na hizo Saba mbili. So appreciation ilikuwa kwa huyu dogo.
Kuna mtu anakielewa kitu naturally na mwingine anatumia nguvu
"Watapata tabu sana"kamwe Messi hawezikuwa Ronaldo na Ronaldo hawezi kuwa Messi...Haina haja ya kufika huko.
Hiyo ni fake news na ndio maana hajaweka chanzo.
Hakuna sehemu yeyote ambayo Zidane amemsifia Messi kuliko Ronaldo.
Zidane aliwahi kusema kuwa Ronaldo ni bora kuliko hata yeye mwenyewe licha ya kwamba alikuwa na wakati mzuri katika kipindi chake.
Na mpaka saizi Ronaldo anashauri timu yake imlete Zidane awe kocha.
Team Messi wana visa sana na Ronaldo, msimu wa kombe la dunia walikuwa kero sana.
mkuu mwambie mangi akupe ambiance mbili unitumie lipa namba. umemaliza kila kitu!Kombe la dunia 2014 Ureno alikuwa anacheza na Sweden kwenye hatua ya kufuzu.
Sweden walikuwa na ndoto ya kufuzu ugenini lakini Ronaldo alifunga hattrick na kuwatoa Sweden.
Sweden walimchukia Ronaldo kwa jambo hilo.
2016 kwenye Euro Cup, Ureno alikuwa anacheza na Ufaransa ambao ndio walikuwa host of the tournament.
Wafaransa waliona itakuwa ni mechi nyepesi kwao kwakua Ronaldo aliumia mguu wake wa kushoto.
View attachment 2671359
Lakini jamaa akiwa benchi aliendelea kutoa maelekezo kwa team mates wake kama kocha.
Kilichotokea Ureno wakabeba ndoo.
Wafaransa wengi walimchukia jamaa.
2018 UCL Bayern na Madrid ikiwa ni miaka 6 imepita tangu timu yeyote ya Ujerumani kuchukua ubingwa.
Ronaldo aliziba mianya yote ya uwezekano na kisha akatoka na...
View attachment 2671346
Wajerumani wengi walimchukia
Njoo 2017 kwenye fainali ya UCL Madrid na Juventus
Buffon ambaye ni mmoja ya wachezaji bora kwenye eneo la goal keeping ambao wanapewa sapoti na mashabiki pande zote za dunia.
Buffon katika rekodi zake hakuwahi kuchukua kombe la UEFA. Ronaldo aliingia kambani mara 2
View attachment 2671369
Kitu ambacho kiliamsha hisia kwa waitaliani na kumchukia sana jamaa.
Mechi ya Euro waliyocheza dhidi ya Armenia wakati wanafanya warmup, wachezaji wa timu pinzani walikiwa wanapita katibu yake huku wakiimba "Messi Messi Messi"
Jamaa akapiga hattrick afu hivi ndio alivyokua akishangalia
View attachment 2671392
Messi aliwadhihaki mashabiki wa Madrid baada ya kuifunga Madrid ikiwa nyumbani Bernabeu.
View attachment 2671398
Naye Ronaldo akalipiza kisasi kwa kuifunga Barcelona kwake Camp Nou.
View attachment 2671406
Barcelona na nusu ya dunia walimchukia jamaa.
Sababu kubwa jamaa anachukiwa ni mbili, ni eidha ni bora kuliko mchezaji wako pendwa au aliiadhibu vibaya timu yako.
Your love makes me strong, your hate makes me unstoppable” — Cristiano Ronaldo
SIPATI picha Ronaldo ndo angeshinda WC [emoji28] Tungehama dunia
Mashabiki wa Ronaldo baada ya GOAT kuchukua world cup wamekua wapole. Wamebaki na kauli moja tu utawasikia "kila mtu abaki na mtazamo wake"[emoji2]
Nyinyi mnatengeneza propaganda kumkuza mchezaji wenu, mpaka saizi hamjaweza kuja na source ya hiyo taarifa.Ronaldo kaachwa mbali na Messi hata kama Messi angekua hana WC bado Ronaldo ni mtoto kwa Messi.
Ni sehemu gani nimekulazimisha? Lete mfanoNa wewe kwanini unatulazimisha tuamini Messi ni bora kuliko wote!? kila mtu abaki na mtazamo wake
🚮🚮🚮Nyinyi mnatengeneza propaganda kumkuza mchezaji wenu, mpaka saizi hamjaweza kuja na source ya hiyo taarifa.
Mpaka hapo hamjaonesha mko serious zaidi ya kuchangamsha kijiwe.
Mada zako hua zina lazimisha tuamini ukitumia ID hii na ile nyingine ya MaradonaNi sehemu gani nimekulazimisha? Lete mfano
Mimi ni mshabiki wa Messi na pia Zidane. Lakini hii habari haina ukweli mkuu.Aliyepata kuwa kocha wa Ronaldo pale Real Madrid na gwiji wa klabu hiyo, Zinedine Zidane amesema Ronaldo ni mchezaji mzuri sana na ni mmoja ya wachezaji bora kuwahi kutokea lakini hayupo katika level za Lionel Messi.
Zidane akaongeza, Ronaldo hayupo kwenye level za Messi kwa kuwa Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea.
My take:
Najua CR7 atakuwa amenuna huko alipo lakini huu ndio ukweli na msema kweli ni mpenzi wa mwenyezi mungu, au nasema uongo ndugu zangu?
View attachment 2671330