Zifahamu adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa zamani

Zifahamu adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa zamani

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
31,913
Reaction score
65,514
Salaam wakuu, Leo katika historia nimeamua niwafahamishe baadhi ya adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa enzi hizo.

Brazen bull; hii ni adhabu ambayo ilivumbuliwa na bwana mmoja aliyeitwa perilaus kutoka katika nchi ya wagiriki
εικόνα_2022-11-04_135547075.png
adhabu hii ilihusisha kifaa kilichokuwa kimetengenezwa mithili ya ng'ombe, kwa kutumia malighafi aina ya shaba.

Ambapo sehemu moja ya kifaa hicho kuliwekwa mlango kwa ajili ya kuingizia waharifu, lakini pia iliwekewa tundu mbili kwa ajili ya kutolea sauti.

ambapo moto mkubwa ungewashwa chin ya ng'ombe huyo na kisha mtuhumiwa angeingizwa ndani yake na kisha angeachwa afie humo.

Choke pear; adhabu hii ilihusisha kifaa kilichotengenezwa mithili ya puto, yaani puto la chuma.
huku mbele kikiwa kimewekewa viwembe vya chuma vilivyokunjwa na nyuma kikishikiliwa na chuma kilichokuwa Kama funguo
images (6).jpeg

adhabu hii walipewa watu wote waliozungumza maneno yenye hatia mfano kuitukana serikali au raisi wake.
Lakini pia wazinzi au mashoga adhabu hii walipata, ambapo kifaa hiki kingechukuliwa na kuwekwa ndani ya sehemu za Siri za mwanamke mzinzi au dume lililolaaniwa.

molten gold torture; hii ilihusisha kumuadhibu mtu kwa kumnywesha uji wa dhahabu ya moto uliochemshwa.

images (7).jpeg

Ambapo mtu angefungwa kwa nguvu ili asifurukute na kisha mdomo wake unafunguliwa kwa kifaa maalumu na kuuacha mdomo wake ukiwa wazi kwa upana mkubwa.
Kisha uji wa moto wa dhahabu ungemiminwa ndani ya mdomo wake na kumuua.
Hii ilivumbuliwa ndani ya nchi ya Spain.

Iron chair of spikes; adhabu hii ilihusisha kiti kilichokuwa kimetengenezwa kwa chuma, kisha kuwekewa vimishale au mikuki midogo sehemu ya kukalia, kuweka mikono pamoja na miguu.

0_nZo0ZPMGYV_zQAHl.png


Ambapo mtuhumiwa angekamatwa na kufungwa katika kiti hicho, hii ingepelekea kuanza kubanwa au kutobolewa na vimishale hivyo.
Mtuhumiwa hupoteza damu nyingi na kupelekea kifo chake.

Till next time guys💪🙏
 
Salaam wakuu, Leo katika historia nimeamua niwafahamishe baadhi ya adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa enzi hizo.

Brazen bull; hii ni adhabu ambayo ilivumbuliwa na bwana mmoja aliyeitwa perilaus kutoka katika nchi ya wagirikiView attachment 2471472adhabu hii ilihusisha kifaa kilichokuwa kimetengenezwa mithili ya ng'ombe, kwa kutumia malighafi aina ya shaba.

Ambapo sehemu moja ya kifaa hicho kuliwekwa mlango kwa ajili ya kuingizia waharifu, lakini pia iliwekewa tundu mbili kwa ajili ya kutolea sauti.

ambapo moto mkubwa ungewashwa chin ya ng'ombe huyo na kisha mtuhumiwa angeingizwa ndani yake na kisha angeachwa afie humo.

Choke pear; adhabu hii ilihusisha kifaa kilichotengenezwa mithili ya puto, yaani puto la chuma.
huku mbele kikiwa kimewekewa viwembe vya chuma vilivyokunjwa na nyuma kikishikiliwa na chuma kilichokuwa Kama funguo
View attachment 2471480
adhabu hii walipewa watu wote waliozungumza maneno yenye hatia mfano kuitukana serikali au raisi wake.
Lakini pia wazinzi au mashoga adhabu hii walipata, ambapo kifaa hiki kingechukuliwa na kuwekwa ndani ya sehemu za Siri za mwanamke mzinzi au dume lililolaaniwa.

molten gold torture; hii ilihusisha kumuadhibu mtu kwa kumnywesha uji wa dhahabu ya moto uliochemshwa.

View attachment 2471484
Ambapo mtu angefungwa kwa nguvu ili asifurukute na kisha mdomo wake unafunguliwa kwa kifaa maalumu na kuuacha mdomo wake ukiwa wazi kwa upana mkubwa.
Kisha uji wa moto wa dhahabu ungemiminwa ndani ya mdomo wake na kumuua.
Hii ilivumbuliwa ndani ya nchi ya Spain.

Iron chair of spikes; adhabu hii ilihusisha kiti kilichokuwa kimetengenezwa kwa chuma, kisha kuwekewa vimishale au mikuki midogo sehemu ya kukalia, kuweka mikono pamoja na miguu.

View attachment 2471510

Ambapo mtuhumiwa angekamatwa na kufungwa katika kiti hicho, hii ingepelekea kuanza kubanwa au kutobolewa na vimishale hivyo.
Mtuhumiwa hupoteza damu nyingi na kupelekea kifo chake.

Till next time guys💪🙏
Yohana aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, alichunwa ngozi yote lakini hakufa. Walipoona hafi anaendelea kumkiri Yesu Kristo, wakaandaa mafuta mengi, wakayachemsha sana, kisha wakamdumbukiza, lakini pia hakufa. Wakaone wakamtupe kisiwani Patmo

1673047056109.png
 
Back
Top Bottom