Zifahamu adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa zamani

Zifahamu adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa zamani

Kuna adhabu ya mfalme Dracular inasemekana alikuwa anawatia kitu chenye ncha kali mithili ya mkuki unapitishwa kwenye makadi na unaning’inizwa au kutokea mgongoni au mdomoni, though imasemekana ni stories tuu

IMG_8667.jpg

IMG_8666.jpg
 
Salaam wakuu, Leo katika historia nimeamua niwafahamishe baadhi ya adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa enzi hizo.

Brazen bull; hii ni adhabu ambayo ilivumbuliwa na bwana mmoja aliyeitwa perilaus kutoka katika nchi ya wagirikiView attachment 2471472adhabu hii ilihusisha kifaa kilichokuwa kimetengenezwa mithili ya ng'ombe, kwa kutumia malighafi aina ya shaba.

Ambapo sehemu moja ya kifaa hicho kuliwekwa mlango kwa ajili ya kuingizia waharifu, lakini pia iliwekewa tundu mbili kwa ajili ya kutolea sauti.

ambapo moto mkubwa ungewashwa chin ya ng'ombe huyo na kisha mtuhumiwa angeingizwa ndani yake na kisha angeachwa afie humo.

Choke pear; adhabu hii ilihusisha kifaa kilichotengenezwa mithili ya puto, yaani puto la chuma.
huku mbele kikiwa kimewekewa viwembe vya chuma vilivyokunjwa na nyuma kikishikiliwa na chuma kilichokuwa Kama funguo
View attachment 2471480
adhabu hii walipewa watu wote waliozungumza maneno yenye hatia mfano kuitukana serikali au raisi wake.
Lakini pia wazinzi au mashoga adhabu hii walipata, ambapo kifaa hiki kingechukuliwa na kuwekwa ndani ya sehemu za Siri za mwanamke mzinzi au dume lililolaaniwa.

molten gold torture; hii ilihusisha kumuadhibu mtu kwa kumnywesha uji wa dhahabu ya moto uliochemshwa.

View attachment 2471484
Ambapo mtu angefungwa kwa nguvu ili asifurukute na kisha mdomo wake unafunguliwa kwa kifaa maalumu na kuuacha mdomo wake ukiwa wazi kwa upana mkubwa.
Kisha uji wa moto wa dhahabu ungemiminwa ndani ya mdomo wake na kumuua.
Hii ilivumbuliwa ndani ya nchi ya Spain.

Iron chair of spikes; adhabu hii ilihusisha kiti kilichokuwa kimetengenezwa kwa chuma, kisha kuwekewa vimishale au mikuki midogo sehemu ya kukalia, kuweka mikono pamoja na miguu.

View attachment 2471510

Ambapo mtuhumiwa angekamatwa na kufungwa katika kiti hicho, hii ingepelekea kuanza kubanwa au kutobolewa na vimishale hivyo.
Mtuhumiwa hupoteza damu nyingi na kupelekea kifo chake.

Till next time guys💪🙏
Adhabu Kali hapa Tanzania Ni CCm tu
 
Kuna adhabu ya mfalme Dracular inasemekana alikuwa anawatia kitu chenye ncha kali mithili ya mkuki unapitishwa kwenye makadi na unaning’inizwa au kutokea mgongoni au mdomoni, though imasemekana ni stories tuu

View attachment 2471950
View attachment 2471951
Mfalme Dracula ndio Vlad the Impaler (Son of the Dragon ) hayo mambo alifanya kweli na sio hadithi tu. Pia alikuwa na adhabu za kuchemsha watu kwenye maji ya moto, kuchuna watu ngozi wakiwa hai na nyinginezo nyingi tu.

And actually he's my role model.
 
Kama unaamini maandiko hii sio chai.
Yohana alimshinda yesu...?

Maama, Bwana Yesu alipewa adhabu ya bakora na misumari na akadanja.

Yohana, alichunwa ngozi then wamkaanga kama kuku ila haku danja..!!!

Kama kweli ni maandiko, bila shaka tumepigwa.
 
Wanaita majina barabaran [emoji38] zaman watu walikuwa na mda wa mchezo
Wanaweza wasiite majina. Wanahesabisha namba. Kila mtu anakariri namba yake. Kesho yake sasa wanaita wenye namba pembeni, msio nazo mtaeleza mlikuwa wapi.
 
Salaam wakuu, Leo katika historia nimeamua niwafahamishe baadhi ya adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa enzi hizo.

Brazen bull; hii ni adhabu ambayo ilivumbuliwa na bwana mmoja aliyeitwa perilaus kutoka katika nchi ya wagirikiView attachment 2471472adhabu hii ilihusisha kifaa kilichokuwa kimetengenezwa mithili ya ng'ombe, kwa kutumia malighafi aina ya shaba.

Ambapo sehemu moja ya kifaa hicho kuliwekwa mlango kwa ajili ya kuingizia waharifu, lakini pia iliwekewa tundu mbili kwa ajili ya kutolea sauti.

ambapo moto mkubwa ungewashwa chin ya ng'ombe huyo na kisha mtuhumiwa angeingizwa ndani yake na kisha angeachwa afie humo.

Choke pear; adhabu hii ilihusisha kifaa kilichotengenezwa mithili ya puto, yaani puto la chuma.
huku mbele kikiwa kimewekewa viwembe vya chuma vilivyokunjwa na nyuma kikishikiliwa na chuma kilichokuwa Kama funguo
View attachment 2471480
adhabu hii walipewa watu wote waliozungumza maneno yenye hatia mfano kuitukana serikali au raisi wake.
Lakini pia wazinzi au mashoga adhabu hii walipata, ambapo kifaa hiki kingechukuliwa na kuwekwa ndani ya sehemu za Siri za mwanamke mzinzi au dume lililolaaniwa.

molten gold torture; hii ilihusisha kumuadhibu mtu kwa kumnywesha uji wa dhahabu ya moto uliochemshwa.

View attachment 2471484
Ambapo mtu angefungwa kwa nguvu ili asifurukute na kisha mdomo wake unafunguliwa kwa kifaa maalumu na kuuacha mdomo wake ukiwa wazi kwa upana mkubwa.
Kisha uji wa moto wa dhahabu ungemiminwa ndani ya mdomo wake na kumuua.
Hii ilivumbuliwa ndani ya nchi ya Spain.

Iron chair of spikes; adhabu hii ilihusisha kiti kilichokuwa kimetengenezwa kwa chuma, kisha kuwekewa vimishale au mikuki midogo sehemu ya kukalia, kuweka mikono pamoja na miguu.

View attachment 2471510

Ambapo mtuhumiwa angekamatwa na kufungwa katika kiti hicho, hii ingepelekea kuanza kubanwa au kutobolewa na vimishale hivyo.
Mtuhumiwa hupoteza damu nyingi na kupelekea kifo chake.

Till next time guys[emoji123][emoji120]

Bado mpaka sasa kuna taasisi fulani inatumia baadhi ya hizo adhabu.
Naomba niishie hapo
 
Ila naona hii ni kwa usalama wa wanafunzi
Mmenda kwenye msafara basi wakati wa kurudi wote muwepo
Hiyo mbinu ya kuhesabu namba ilitumika kutuwahisha shule pia.
Unawahi shule asubuhi. Wanafunzi wanahesabu namba saa 6:45 asubuhi. Ukija later, ushakosa namba unangoja msala wako tu wakati wa assembly! [emoji1]
 
Back
Top Bottom