OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Wanajua kuweka ear phones masikioni kwa ndani na wavulana kuvaa hereni sikio moja. Stupid boys.Watoto wa utandawazi hawayafahamu haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajua kuweka ear phones masikioni kwa ndani na wavulana kuvaa hereni sikio moja. Stupid boys.Watoto wa utandawazi hawayafahamu haya.
Ndo hali halisiWanajua kuweka ear phones masikioni kwa ndani na wavulana kuvaa hereni sikio moja. Stupid boys.
Ukifuatilia mauaji ya kimbari kwa jirani unaweza jikuta kushangaa zaidi.Kuna adhabu ya mfalme Dracular inasemekana alikuwa anawatia kitu chenye ncha kali mithili ya mkuki unapitishwa kwenye makadi na unaning’inizwa au kutokea mgongoni au mdomoni, though imasemekana ni stories tuu
View attachment 2471950
View attachment 2471951
Hii ni chai ya KibenaYohana aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, alichunwa ngozi yote lakini hakufa. Walipoona hafi anaendelea kumkiri Yesu Kristo, wakaandaa mafuta mengi, wakayachemsha sana, kisha wakamdumbukiza, lakini pia hakufa. Wakaone wakamtupe kisiwani Patmo
View attachment 2471513
Kama unaamini maandiko hii sio chai.Hii ni chai ya Kibena
Adhabu Kali hapa Tanzania Ni CCm tuSalaam wakuu, Leo katika historia nimeamua niwafahamishe baadhi ya adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa enzi hizo.
Brazen bull; hii ni adhabu ambayo ilivumbuliwa na bwana mmoja aliyeitwa perilaus kutoka katika nchi ya wagirikiView attachment 2471472adhabu hii ilihusisha kifaa kilichokuwa kimetengenezwa mithili ya ng'ombe, kwa kutumia malighafi aina ya shaba.
Ambapo sehemu moja ya kifaa hicho kuliwekwa mlango kwa ajili ya kuingizia waharifu, lakini pia iliwekewa tundu mbili kwa ajili ya kutolea sauti.
ambapo moto mkubwa ungewashwa chin ya ng'ombe huyo na kisha mtuhumiwa angeingizwa ndani yake na kisha angeachwa afie humo.
Choke pear; adhabu hii ilihusisha kifaa kilichotengenezwa mithili ya puto, yaani puto la chuma.
huku mbele kikiwa kimewekewa viwembe vya chuma vilivyokunjwa na nyuma kikishikiliwa na chuma kilichokuwa Kama funguo
View attachment 2471480
adhabu hii walipewa watu wote waliozungumza maneno yenye hatia mfano kuitukana serikali au raisi wake.
Lakini pia wazinzi au mashoga adhabu hii walipata, ambapo kifaa hiki kingechukuliwa na kuwekwa ndani ya sehemu za Siri za mwanamke mzinzi au dume lililolaaniwa.
molten gold torture; hii ilihusisha kumuadhibu mtu kwa kumnywesha uji wa dhahabu ya moto uliochemshwa.
View attachment 2471484
Ambapo mtu angefungwa kwa nguvu ili asifurukute na kisha mdomo wake unafunguliwa kwa kifaa maalumu na kuuacha mdomo wake ukiwa wazi kwa upana mkubwa.
Kisha uji wa moto wa dhahabu ungemiminwa ndani ya mdomo wake na kumuua.
Hii ilivumbuliwa ndani ya nchi ya Spain.
Iron chair of spikes; adhabu hii ilihusisha kiti kilichokuwa kimetengenezwa kwa chuma, kisha kuwekewa vimishale au mikuki midogo sehemu ya kukalia, kuweka mikono pamoja na miguu.
View attachment 2471510
Ambapo mtuhumiwa angekamatwa na kufungwa katika kiti hicho, hii ingepelekea kuanza kubanwa au kutobolewa na vimishale hivyo.
Mtuhumiwa hupoteza damu nyingi na kupelekea kifo chake.
Till next time guys💪🙏
Sawa. Ukweli wa maisha ya Mtume Yohana John the Evangelist ni yepi? Tupe ukweli wewe unaoujuaHii ni chai ya Kibena
Mkuu nimeshiba, hivyo huo uji wa dhahabu utakunywa wewe??Adhabu Kali hapa Tanzania Ni CCm tu
NdioMkuu nimeshiba, hivyo huo uji wa dhahabu utakunywa wewe??
Mfalme Dracula ndio Vlad the Impaler (Son of the Dragon ) hayo mambo alifanya kweli na sio hadithi tu. Pia alikuwa na adhabu za kuchemsha watu kwenye maji ya moto, kuchuna watu ngozi wakiwa hai na nyinginezo nyingi tu.Kuna adhabu ya mfalme Dracular inasemekana alikuwa anawatia kitu chenye ncha kali mithili ya mkuki unapitishwa kwenye makadi na unaning’inizwa au kutokea mgongoni au mdomoni, though imasemekana ni stories tuu
View attachment 2471950
View attachment 2471951
Ikiwa Yesu mwenyewe alipigwa misumari na akakata moto.Hii ni chai ya Kibena
Yohana alimshinda yesu...?Kama unaamini maandiko hii sio chai.
Samahani....Sawa. Ukweli wa maisha ya Mtume Yohana John the Evangelist ni yepi? Tupe ukweli wewe unaoujua
Wanaweza wasiite majina. Wanahesabisha namba. Kila mtu anakariri namba yake. Kesho yake sasa wanaita wenye namba pembeni, msio nazo mtaeleza mlikuwa wapi.Wanaita majina barabaran [emoji38] zaman watu walikuwa na mda wa mchezo
Ila naona hii ni kwa usalama wa wanafunziWanaweza wasiite majina. Wanahesabisha namba. Kila mtu anakariri namba yake. Kesho yake sasa wanaita wenye namba pembeni, msio nazo mtaeleza mlikuwa wapi.
Salaam wakuu, Leo katika historia nimeamua niwafahamishe baadhi ya adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa enzi hizo.
Brazen bull; hii ni adhabu ambayo ilivumbuliwa na bwana mmoja aliyeitwa perilaus kutoka katika nchi ya wagirikiView attachment 2471472adhabu hii ilihusisha kifaa kilichokuwa kimetengenezwa mithili ya ng'ombe, kwa kutumia malighafi aina ya shaba.
Ambapo sehemu moja ya kifaa hicho kuliwekwa mlango kwa ajili ya kuingizia waharifu, lakini pia iliwekewa tundu mbili kwa ajili ya kutolea sauti.
ambapo moto mkubwa ungewashwa chin ya ng'ombe huyo na kisha mtuhumiwa angeingizwa ndani yake na kisha angeachwa afie humo.
Choke pear; adhabu hii ilihusisha kifaa kilichotengenezwa mithili ya puto, yaani puto la chuma.
huku mbele kikiwa kimewekewa viwembe vya chuma vilivyokunjwa na nyuma kikishikiliwa na chuma kilichokuwa Kama funguo
View attachment 2471480
adhabu hii walipewa watu wote waliozungumza maneno yenye hatia mfano kuitukana serikali au raisi wake.
Lakini pia wazinzi au mashoga adhabu hii walipata, ambapo kifaa hiki kingechukuliwa na kuwekwa ndani ya sehemu za Siri za mwanamke mzinzi au dume lililolaaniwa.
molten gold torture; hii ilihusisha kumuadhibu mtu kwa kumnywesha uji wa dhahabu ya moto uliochemshwa.
View attachment 2471484
Ambapo mtu angefungwa kwa nguvu ili asifurukute na kisha mdomo wake unafunguliwa kwa kifaa maalumu na kuuacha mdomo wake ukiwa wazi kwa upana mkubwa.
Kisha uji wa moto wa dhahabu ungemiminwa ndani ya mdomo wake na kumuua.
Hii ilivumbuliwa ndani ya nchi ya Spain.
Iron chair of spikes; adhabu hii ilihusisha kiti kilichokuwa kimetengenezwa kwa chuma, kisha kuwekewa vimishale au mikuki midogo sehemu ya kukalia, kuweka mikono pamoja na miguu.
View attachment 2471510
Ambapo mtuhumiwa angekamatwa na kufungwa katika kiti hicho, hii ingepelekea kuanza kubanwa au kutobolewa na vimishale hivyo.
Mtuhumiwa hupoteza damu nyingi na kupelekea kifo chake.
Till next time guys[emoji123][emoji120]
Hiyo mbinu ya kuhesabu namba ilitumika kutuwahisha shule pia.Ila naona hii ni kwa usalama wa wanafunzi
Mmenda kwenye msafara basi wakati wa kurudi wote muwepo