Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Nakumbuka zamanKishule shule mpaka mwenge watu walisubirishwa na majani ya kuusherekea walikata kwa bashasha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka zamanKishule shule mpaka mwenge watu walisubirishwa na majani ya kuusherekea walikata kwa bashasha.
Uweeeeeeeeee...!! ukibaki shule kwamba usiende, wanaita majina huko huko afu usionekane..!! Kesho yake utangóa visiki ukomeKwan ulikuwa unalazimishwa kwenda?au ilikuwaje? Najua zaman mpo shule mnaambiwa kwenda barabaran na matawi ya miti 😂😂😂
Watoto wa utandawazi hawayafahamu haya.Uweeeeeeeeee...!! ukibaki shule kwamba usiende, wanaita majina huko huko afu usionekane..!! Kesho yake utangóa visiki ukome
Wanaita majina barabaran 😆 zaman watu walikuwa na mda wa mchezoUweeeeeeeeee...!! ukibaki shule kwamba usiende, wanaita majina huko huko afu usionekane..!! Kesho yake utangóa visiki ukome
Nini majina barabarani..!!! SHule ya bweni, usiku kinapigwa kingóra na mnakusanyika asembly.!! Sasa usionekane na ni usiku..!! Utakoma asubuhi yake..!!Wanaita majina barabaran 😆 zaman watu walikuwa na mda wa mchezo
😂😂😂😂 mkitoka hapo mnaambiwa mrudi shule 😂😂😂Uweeeeeeeeee...!! ukibaki shule kwamba usiende, wanaita majina huko huko afu usionekane..!! Kesho yake utangóa visiki ukome
Yaani, acha tu..!! Shule za zamani zilikuwa kama mini kambi ya jeshi fulani hivi..!!!😂😂😂😂 mkitoka hapo mnaambiwa mrudi shule 😂😂😂
😂😂😂Yaani, acha tu..!! Shule za zamani zilikuwa kama mini kambi ya jeshi fulani hivi..!!!
🙏🙏Akapewa ufunuo. Ukaitwa Ufunuo wa Yohana
Watu wazamani walikuwa makatili sana
Duh! Kumbe kuwatupa watu kulianza tangu zamani.Yohana aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, alichunwa ngozi yote lakini hakufa. Walipoona hafi anaendelea kumkiri Yesu Kristo, wakaandaa mafuta mengi, wakayachemsha sana, kisha wakamdumbukiza, lakini pia hakufa. Wakaone wakamtupe kisiwani Patmo
View attachment 2471513
Tofautisha. Zamani hizo adhabu(licha ya kwamba zilikuwa ni za kikatili) zilitolewa baada ya Mtuhumiwa kupatikana na Hatia na Hukumu ikatolewa kwa mujibu wa Taratibu zilizokuwepo.Kwani jiwe alikuwa wa zamani?
Hahahaa. Nayo huchemshwa au ?Watu wa siku hizi huku mitaani wanawanywesha wezi cement
Kweli kabisa.Mada nzuri sana iweke na huku pia
Kumbukumbu za ulimwengu (World Archives)
Hii ni mada ya mtiririko wa matukio ya kidunia yasiyo ya kawaida, yaliyohifadhiwa toka vyanzo mbalimbali kwa njia ya picha, maandishi ama vyote viwili. Lengo kuu ni kupanua ufahamu wa wale wote wanaoependa kufahamu matukio ya kidunia yaliyopita ambayo hawakupata nafasi kuyaona ama kuyasoma huko...www.jamiiforums.com
Watu bana, kutesa wengine.Salaam wakuu, Leo katika historia nimeamua niwafahamishe baadhi ya adhabu za kikatili zilizotolewa na wafalme wa enzi hizo.
Brazen bull; hii ni adhabu ambayo ilivumbuliwa na bwana mmoja aliyeitwa perilaus kutoka katika nchi ya wagirikiView attachment 2471472adhabu hii ilihusisha kifaa kilichokuwa kimetengenezwa mithili ya ng'ombe, kwa kutumia malighafi aina ya shaba.
Ambapo sehemu moja ya kifaa hicho kuliwekwa mlango kwa ajili ya kuingizia waharifu, lakini pia iliwekewa tundu mbili kwa ajili ya kutolea sauti.
ambapo moto mkubwa ungewashwa chin ya ng'ombe huyo na kisha mtuhumiwa angeingizwa ndani yake na kisha angeachwa afie humo.
Choke pear; adhabu hii ilihusisha kifaa kilichotengenezwa mithili ya puto, yaani puto la chuma.
huku mbele kikiwa kimewekewa viwembe vya chuma vilivyokunjwa na nyuma kikishikiliwa na chuma kilichokuwa Kama funguo
View attachment 2471480
adhabu hii walipewa watu wote waliozungumza maneno yenye hatia mfano kuitukana serikali au raisi wake.
Lakini pia wazinzi au mashoga adhabu hii walipata, ambapo kifaa hiki kingechukuliwa na kuwekwa ndani ya sehemu za Siri za mwanamke mzinzi au dume lililolaaniwa.
molten gold torture; hii ilihusisha kumuadhibu mtu kwa kumnywesha uji wa dhahabu ya moto uliochemshwa.
View attachment 2471484
Ambapo mtu angefungwa kwa nguvu ili asifurukute na kisha mdomo wake unafunguliwa kwa kifaa maalumu na kuuacha mdomo wake ukiwa wazi kwa upana mkubwa.
Kisha uji wa moto wa dhahabu ungemiminwa ndani ya mdomo wake na kumuua.
Hii ilivumbuliwa ndani ya nchi ya Spain.
Iron chair of spikes; adhabu hii ilihusisha kiti kilichokuwa kimetengenezwa kwa chuma, kisha kuwekewa vimishale au mikuki midogo sehemu ya kukalia, kuweka mikono pamoja na miguu.
View attachment 2471510
Ambapo mtuhumiwa angekamatwa na kufungwa katika kiti hicho, hii ingepelekea kuanza kubanwa au kutobolewa na vimishale hivyo.
Mtuhumiwa hupoteza damu nyingi na kupelekea kifo chake.
Till next time guys💪🙏
Mhhh! Bibie, Kuna kipindi Mheshimiwa akiwa uwanjani, huko mitaani wapo mgambo wakali kama pilipili kichaa wanapita nyumba kwa nyumba. Ole wako wakukute na sio mgonjwa. Vilabu vyote vya "manywaa" hufungwa hadi mkubwa aondoke.Kwan ulikuwa unalazimishwa kwenda?au ilikuwaje? Najua zaman mpo shule mnaambiwa kwenda barabaran na matawi ya miti 😂😂😂
😂😂😂😂😂Mhhh! Bibie, Kuna kipindi Mheshimiwa akiwa uwanjani, huko mitaani wapo mgambo wakali kama pilipili kichaa wanapita nyumba kwa nyumba. Ole wako wakukute na sio mgonjwa. Vilabu vyote vya "manywaa" hufungwa hadi mkubwa aondoke.
Baadhi ya wazalendo walipatikana zama hizo hawa waramba asali sijui wameibukia wapiYaani, acha tu..!! Shule za zamani zilikuwa kama mini kambi ya jeshi fulani hivi..!!!
Naam! Ukihitimu hapo (std 7 au F4) umeiva kikweli-kwelii. Cku hizi wanawafundisha watoto Haki za watoto.Yaani, acha tu..!! Shule za zamani zilikuwa kama mini kambi ya jeshi fulani hivi..!!!