Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Kutupwa kwenye tindikali ni hatari sana. Hitler aendelee kuungua moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adhabu ya kuwa jobless inanitoshaTujaribu kwako
Kwani jiwe alikuwa wa zamani?Watu wazamani walikuwa makatili sana
Mkuu nimeshiba, hivyo huo uji wa dhahabu mtakunywa nyinyi??Kwani jiwe alikuwa wa zamani?
Na huko kisiwani ikawaje?!!! Ni vizuri tusikie hitimisho km adhabu zilizopita.Yohana aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, alichunwa ngozi yote lakini hakufa. Walipoona hafi anaendelea kumkiri Yesu Kristo, wakaandaa mafuta mengi, wakayachemsha sana, kisha wakamdumbukiza, lakini pia hakufa. Wakaone wakamtupe kisiwani Patmo
View attachment 2471513
Wayahudi hao au?Yohana aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, alichunwa ngozi yote lakini hakufa. Walipoona hafi anaendelea kumkiri Yesu Kristo, wakaandaa mafuta mengi, wakayachemsha sana, kisha wakamdumbukiza, lakini pia hakufa. Wakaone wakamtupe kisiwani Patmo
View attachment 2471513
Mkuu acha kuniombea mabayaYaani ukiwa na mdomo kama wa mpwayungu village , basi ungeivisha maini yako
Warumi haoWayahudi hao au?
Akapewa ufunuo. Ukaitwa Ufunuo wa YohanaNa huko kisiwani ikawaje?!!! Ni vizuri tusikie hitimisho km adhabu zilizopita.
Hatimaye akaja na zawadi adhimu ya ufunuo.Yohana aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, alichunwa ngozi yote lakini hakufa. Walipoona hafi anaendelea kumkiri Yesu Kristo, wakaandaa mafuta mengi, wakayachemsha sana, kisha wakamdumbukiza, lakini pia hakufa. Wakaone wakamtupe kisiwani Patmo
View attachment 2471513
YesHatimaye akaja na zawadi adhimu ya ufunuo.
Umenikumbusha mwaka 1990, tulipangwa barabarani tukimsubiri Nyerere apite pale Kibaoni, Ifunda Iringa..!! Yaani alipita shwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...!!!! mida ya saa 9 alasili wakati sisi tulipangwa pale toka saa 2 asubuhi wallah..!! Amepita kwa kasi ile huku akiwa ndani ya gari wala hatukumuonaKuna miaka huko mbele natumaini hata tozo kubwa kwa watu masikini na watu kusimama barabarani wakimsubiri kiongozi apite zitaonekana ni adhabu za ajabu.
Umenikumbusha mwaka 1990, tulipangwa barabarani tukimsubiri Nyerere apite pale Kibaoni, Ifunda Iringa..!! Yaani alipita shwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...!!!! mida ya saa 9 alasili wakati sisi tulipangwa pale toka saa 2 asubuhi wallah..!! Amepita kwa kasi ile huku akiwa ndani ya gari wala hatukumuona
Dah leo hii jasusi umeogopa😂😂Mkuu acha kuniombea mabaya
Siyo utani Dejane , tumepangwa sana barabarani kuwasubiria viongozi..!!! Sasa akiwa ndani ya uwanja (let say Sokoine Mbeya), ukifika muda wa hotuba milango ilikuwa inafungwa na hakuna kutoka..! Hiyo ni mpaka amalize...!! Hapo ukute mmesimama au mmekaa juani toka asubuhi hadi atakapomaliza hotuba.[emoji23][emoji23]
Kwan ulikuwa unalazimishwa kwenda?au ilikuwaje? Najua zaman mpo shule mnaambiwa kwenda barabaran na matawi ya miti 😂😂😂Siyo utani Dejane , tumepangwa sana barabarani kuwasubiria viongozi..!!! Sasa akiwa ndani ya uwanja (let say Sokoine Mbeya), ukifika muda wa hotuba milango ilikuwa inafungwa na hakuna kutoka..! Hiyo ni mpaka amalize...!! Hapo ukute mmesimama au mmekaa juani toka asubuhi hadi atakapomaliza hotuba.
Kishule shule mpaka mwenge watu walisubirishwa na majani ya kuusherekea walikata kwa bashasha.Kwan ulikuwa unalazimishwa kwenda?au ilikuwaje? Najua zaman mpo shule mnaambiwa kwenda barabaran na matawi ya miti 😂😂😂