Zifahamu changamoto za kwenye kilimo zilizo kubwa

Zifahamu changamoto za kwenye kilimo zilizo kubwa

Uko sahihi ila kwenye kutengeneza title Bora na yakuvutia kila lika usitumie formular uliyo kalilishwa darasani tengeneza kichwa chenye kushawishi watu wengi wahitaji kulipitia andiko.kasome magazeti ya mwana sport na yale ya udaku utani elewa logic yangu kwenye title ya kitu kilicho ndani kama unataka kila mtu avutiwe kusoma.

Kingine huenda kichwa Cha habari kama hicho nimesha tumia huko nyuma ndo mana sikupenda kikae Kwa mfumo huo nilio kwisha andika baadhi ya maandiko Kwa kichwa Cha habari kama hicho.

Karibu tena
Nimekumbuka kipindi kile tukitakiwa kusoma insha isiyo na title kisha kutakiwa ku-propose title yake.

Hii ingesomeka something like "CHANGAMOTO KUBWA KWENYE KILIMO" ingekuwa poa sana.
O
 
Please nipeni
sumu nzuri za maharage
Dawa nzuri ya ukungu.
Pia kiwango cha matumizi kwa acre tano.
Niko mwese-,mpanda.
 
Hao wabobezi unao waita wataalam wamewahi kufika shambani Kwa bibi yako kule kijijini na ofisi zao unazijua zaidi ya serikali kusema Kuna maafisa ugani wanao oaswa kufika mashambani kama mkulima una tatizo.

Hao wataalam huko mikoa wanako Lima sana mbona hatuwaoni ila usisahau pia mtaalam sio mkulima ni msomi wa theory sio vitendo nimekaa chuo Cha mati mtwara naliendele ninacho kiandika nimekiona.

Karibu Kwa hoja nyingine
Mkuu nina mpango nilime heka 100 za ufuta nina mpango niende naliendele nikapate elimu sahihi
 
Hao wabobezi unao waita wataalam wamewahi kufika shambani Kwa bibi yako kule kijijini na ofisi zao unazijua zaidi ya serikali kusema Kuna maafisa ugani wanao oaswa kufika mashambani kama mkulima una tatizo.

Hao wataalam huko mikoa wanako Lima sana mbona hatuwaoni ila usisahau pia mtaalam sio mkulima ni msomi wa theory sio vitendo nimekaa chuo Cha mati mtwara naliendele ninacho kiandika nimekiona.

Karibu Kwa hoja nyingine
Huku nilipo maafisa ugani wapo na wanasaidia sana wakulima na wao wanalima mashamba yao. Leta hoja nyingine
 
Naunga Mkono hoja.Kilimo ni kipana Sana ingawa wengi wamejikita kwene Kuzalisha Mazao (crop production).Kwenye value chain ya Kilimo Kuna Shughuli nyingi.Wauzaji/Wasambazaji wa Pembejeo nao wapo,wenye magodown ya Kuhifadhi mazao nao wapo,wasafirishaji wa Mazao pia wapo,Madalali pia wapo.Wachakataji (processing)wa Mazao pia wapo.Wote Hao Wanaunda Mnyororo wa Thamani ya Kilimo.Chagua Upande sahihi unaweza kuumudu.Upande wa Kuzalisha Mazao kuna changamoto ya Mvua kutokuwa za Uhakika,Msimu kuyumba, miundombinu dhaifu (ya Barabara,Nishati za Umeme,umwagiliaji NK),Masoko yasiyotabirika,Wizi na utapeli wa Madalali,Huduma mbovu za ugani, wataalam wa Kilimo kutokidhi viwango,wahudumu wa Maduka ya Pembejeo wasio na Ujuzi wa bidhaa wanazouza,taasisi dhaifu za Serikali kusimamia ubora wa bidhaa za Kilimo (Pembejeo,Mbegu,Mbolea, Viuatrifu NK).Kwa ufupi ukienda kununua Dawa Madukani huna Uhakika kama ina Kiwango na ubora sahihi.Ni kama unapiga ramli.Mwaka 2020 kuna Wilaya walipewa Mbegu na Mbolea za bei nafuu.Ilikuja kugundulika baada ya Kulima Mbegu zilikuwa reject na Mbolea ziliokotwa kama makapi kisha kufungashwa.Walilia machozi,Nami nilipewa Mifuko 2 bado sijasahau Maumivu yake.Mwisho hizi Mbegu za ASA kaa nazo kwa tahadhari Ubora wake uko chini Sana.
 
Kilimo ni UTI wa mgongo
Kilimo ni maisha
Kilimo ni utajiri
Kilimo ni chakula.
Kilimo ni pesa na utajiri.

Kilimo kina faida Pana na kina maelezo mapana ukielezea kiundani ndani.

Leo tutatazama changamoto chache na kuu zilizopo kwenye kilimo Kwa watu walio kwenye kilimo tutaelewana na wanao tarajiag kuingia kwenye kilimo mnapaswa kusoma hapa kujiandaa kisaikolojia.

Changamoto ni kama ifuatavyo.
1.viwatilifu.kiifupi ukienda kwenye kilimo chochote utakutana na changamoto za viwatilifu sio kwamba viwatilifu ni haba hapana ni kwamba viwatilifu ni vingi na bei imechangamka hasa huko mikoani ila viwatilifu Bora vya kupambana na magonjwa na wadudu ni vichache maduka ya pembe jeo.vingi unakuta havina ubora wa sumu za kuua au kuondoa ugonjwa wa mmea shambani kipindi Cha magonjwa.hapa usishangae unaweza nunua viwatilifu hata vi4 tofauti na visikupe matokeo Bora shambani mwako.

2.mbolea sisizo na sifa.hapa ukiwa mkulima utanielewa mbolea nyingi ziko mitaaani ila hazina madini stahiki ya mimea na zinakosa viwango sahihi vya kutosheleza mmea ukihitaji madini mfano nitrogen au calcium.nenda kwenye mifuko ya mbolea katazame viwango vya madini muhimu vya mmea uone zile asilimia zake utanielewa.kiwango kidogo alafu ardhi Haina virutubisho muhimu.

Mbegu chotara:mbegu zipo ila ZeNye sifa kuu za kuendana na hali ya hewa ya mkoa husika ni changamoto zipo nyingi mkoa flani ila ukizichunguza haziendani na hali ya hewa ya mkoa huo na badala yake ukifukia hazina faida ya kuzaa au kukua vizuri eneo hilo.
Mbegu ya mahindi yenye sifa eneo la joto ni ngumu kufanya vizuri eneo Lenye baridi wakulima tunaelewana hapa vizuri hapa.

Soko:hpa wakulima wengi ndio hupata umaskini unalima sana unapata sana ila soko la bidhaa yako lenye ukubwa hujui liko wapi matokeo mzigo unaku haribikiwa Shamba au stoo maana soko hujui liko lenye uhakika wa kuchukua mzigo mwingi ulio nao.

Hizo ni chache tu ILa wewe unae taka kuingia kwenye kilimo kiwe chochote kila kwanza yafahamu hayo ujipange kisaikolojia.

Mtaji sio mafanikio ya kilimo ila ukijua hayo na ukijumlisha maarifa na mtaji wako mkubwa utafanikiwa maana huto yumba yumba.

Kilimo kinalipa ila njoo Kwa tahadhari hizo ili tu usipagawe na changamoto za kilimo shambani.

Kwa maelezo zaidi ni 0625537380 ujue nimejuaje kubadilisha a mawazo no hizo ziko whtsapp.

Nilicho kiandika nimekifanyia utafiti Kwa muda Sasa ndo nimeamua kuja kuandika Kwa wakulima wenye kukitamani kilimo.
Sikutishi kilimo kigumu no ila nakwambia uhalisia usioweza kuambiwa na wakulima we go nchini kwetu.
Mimi tafsiri yangu.....kilimo ni kamari.
 
Unapofanya uwekezaji wa mamilioni shambani usisahau kuwekeza kwa wataalamu wa kilimo(agronomists) waweze kukuongoza mwanzo mpk mwisho. Kuuliza uliza kwa wakulima ni kubahatisha tu. Ni sawa kuuliza watu wa mtaani wakupe tiba ya ugonjwa wa mtoto wako huku unaacha madaktari wabobezi.
Hivi kuna Bima ya kilimo?
 
T
Naunga Mkono hoja.Kilimo ni kipana Sana ingawa wengi wamejikita kwene Kuzalisha Mazao (crop production).Kwenye value chain ya Kilimo Kuna Shughuli nyingi.Wauzaji/Wasambazaji wa Pembejeo nao wapo,wenye magodown ya Kuhifadhi mazao nao wapo,wasafirishaji wa Mazao pia wapo,Madalali pia wapo.Wachakataji (processing)wa Mazao pia wapo.Wote Hao Wanaunda Mnyororo wa Thamani ya Kilimo.Chagua Upande sahihi unaweza kuumudu.Upande wa Kuzalisha Mazao kuna changamoto ya Mvua kutokuwa za Uhakika,Msimu kuyumba, miundombinu dhaifu (ya Barabara,Nishati za Umeme,umwagiliaji NK),Masoko yasiyotabirika,Wizi na utapeli wa Madalali,Huduma mbovu za ugani, wataalam wa Kilimo kutokidhi viwango,wahudumu wa Maduka ya Pembejeo wasio na Ujuzi wa bidhaa wanazouza,taasisi dhaifu za Serikali kusimamia ubora wa bidhaa za Kilimo (Pembejeo,Mbegu,Mbolea, Viuatrifu NK).Kwa ufupi ukienda kununua Dawa Madukani huna Uhakika kama ina Kiwango na ubora sahihi.Ni kama unapiga ramli.Mwaka 2020 kuna Wilaya walipewa Mbegu na Mbolea za bei nafuu.Ilikuja kugundulika baada ya Kulima Mbegu zilikuwa reject na Mbolea ziliokotwa kama makapi kisha kufungashwa.Walilia machozi,Nami nilipewa Mifuko 2 bado sijasahau Maumivu yake.Mwisho hizi Mbegu za ASA kaa nazo kwa tahadhari Ubora wake uko chini Sana.
Tanzania yangu yaan wakala wa mbegu naye haaminiki .Daaah sijui ni lini nas tutakuwa proud
 
Mwaka huu wakulima wa mbaazi wamelia newala baada ya kuletewa mbegu ya mbaazi ambayo hairefuki na inazaa mbaazi chache sana na hizo chache zenyewe ukimenya ni kama vigololi
 
Andiko limeandikwa kwa kuongozwa na hisia za mtu binafsi pasipo kuhusishwa ujuzi na uzoefu wa Kilimo
 
Andiko limeandikwa kwa kuongozwa na hisia za mtu binafsi pasipo kuhusishwa ujuzi na uzoefu wa Kilimo.
Acha niheshim mtazamo wako ila hisia sijui kama zinaweza kuandika vitu kama hivyo kama mtu haupo kwenye kilimo na hukijui kilimo kabisa
 
Back
Top Bottom