Zifahamu Engine oil

Zifahamu Engine oil

Ahhh ok..
Nchi nyingi zilizoendelea mifumo yao ya usafiri ni mizuri..
Gari utaituma weekend ukienda shopping urahisi wa kubeba mazagazaga yako..
Kuna research ilifanywa Japan.. 1/3 ya magari private yanaenda km 3000-5000 kwa mwaka.. Kwahiyo kukuta yard gari ina hizo kilometers sio ishu..!
Siyo kweli. Ingie kwenye mitandao ya magari Japani angalia gari nyingi ni zipi kati ya zilizotembea below 50k kms,100k km, na above 100k kms
 
Kuhusu oil.. jamaa wadau wameelezea vizuri, nami niweke kamchango kangu kidogo.

Mineral oil ambazo ni non synthetic oil zina changamoto ya kutengeneza carbon kwenye injini kama zisipo badilishwa kwa wakati

Synthetic oil kwakua zina additives zinazofanya ziweze kumantain viscosity yake hata zikiwa exposed to high temperature for extended time... Lakini si kusubiri mpaka gari ifikishe km 10,000 ndo ubadili oil.. utaua injini yako.

Ubora wa oil.. ubora wa oil una angalia urahisi wa oil ku flow wakati wa low temperature na uwezo wa ku-maintain thickness ya oil wakati wa high temperature, carbon formation kwenye engine, evaporation rate ya oil.

Matumizi ya oil kwenye Gari.. oil ufanya kazi ya lubrication kwenye moving parts, sasa hizi moving parts ndan ya injini huwa zinakua na certain clearance kwa ajili ya oil kukaa ili kuzuia physical contact between moving parts.. hapa sasa ndo bongo kuna shida. Unakuta manufacturer kaandika gari yake inatumia oil 5w-30.. hapa mzungu kaisha jua kwamba kwa clearance iliyopo kwenye components za injini basi oil ya viscosity fulan itafaa, sasa mbongo anaenda chukua oil nzito Kama sae 40 au 20w-50 anatia ndani ya gari.. sasa kumbe hapa anatengeneza tatizo. Hizi oil ni zito sana zinaongeza pressure kwenye moving parts kwakua clearance inakua ni ndogo ulinganisha na thickness ya oil hasa during cold start.. mpaka baadae oil ikisha pungua thickness because of temperature. Sasa gari nyingi hapa Tanzania hufa kwasababu ya oil hizi nzito hasa wakati wa asubuh ambapo kwakua hizi oil ni nzito, ukiwasha Gari for the first time oil inachelewa kupanda juu kwenye cam shafts, vvti system na kufika kwenye cylinder wall kwakua oil ni nene na hai flow kwa wakati.. sasa unakuta hadi injini inatoa sauti za ajabu wakati inapowaka for the first time, then zile sauti zinapotea baada ya oil kufika kwenye yale maeneo kwakua tayari injini imechemka na oil imelainika.. na situation huwa mbaya zaidi kama umetoa thermostat kwakua injini inachelewa ku attain required temperature so na oil inashidwa yeyuka kwa wakati, na kama kukiwa na extended usage ya hizi thick oil wakati mwingine huua (destroy) rings za oil kwenye piston kwakua oil inashindwa kupita kwenye vitundu vya piston kurudisha oil kwenye sump.. nakuleta tatizo gari kula oil.. lakini pia kuua piston rings because of excessive compression inayosababishwa na thick oil na kuleta shida pia ya injini kula oil in long run.

Kuhusu interval ya ku change oil.. watu wengi sisi tuna angalia kilometers tu peke yake Gari imetembea ili kubadili oil, ila tuna sahau kuna muda Gari ina unguruma hata saa nzima bila kwenda popote ila oil inaungua.. sasa hapa kama una angalia tu km shauri yako utaua injini mapema.. ni vizuri kuangalia oil ipo kwenye hali gani hasa kama gari ina kaa sana kwenye folen injini ikiwa on.

Pia kama ni mtu unatembea short distance unazima gari mara unawasha zima kila wakati.. hii pia hufanya oil iwe contaminated na gasoline.. kumbuka gari inapowaka injekta (fuel injectors) humwaga mafuta mengi ila kufanya gari iwake, so sio mafuta yote huungua, mengine hupenya na kwenda kwenye sump ya oil, so haya yanayopenya huenda ku contaminate oil na kuifanya oil ipungue ubora wake with time.

Pia kama unasafiri zaid ya miezi sita na gar ikakaa 6months bila kuwaka hata kama uliondoka umeweka oil mpya ukija toa hiyo oil weka nyingine.

Interval ya oil changing.. kama watumia mineral oil kwa mazingira yetu ya kitropic na hizi folen za mjini change oil from 2500km to 3000km.. na hakikisha watumia quality oil zisizokua na rate kubwa ya utengenezaji wa carbon au rate kubwa ya oxidation.

Kwa wa synthetic oil change after every 5000km na sio kwenda mpaka km7000-10,000 hata kama watumia liquimo oil. (Na hapa lazima uwe na uhakika gari yako haina tatizo la kula oil. Kama inakula oil utakuta unaweka hizi kwakua ni nyepesi mpaka unafika km 5000 unakuta umebakiwa na oil lita moja)


Kuhusiana na quality ya oil, tafuta oil zenye API rating nzuri hasa ukiwa na gari zenye GDI fuel system au pia ukiwa na Gari ya Turbo.

Kuhusiana na oil za gearbox (transmission fluid) weka recommended transmission fluid ambazo manufacturer wako ame recommend.. kama ni ATF-TYPE 4, CVT-TC, or CVT-FE, WS, NS-2 or3, Matic J, DSG nk.. ili mradi ni recommended.. and avoid universal transmission fluids.. na transmission hubadilishwa after at least every 30,000km but you can go more than that depending na mazingira gari inatumika..
Umeelezea vema sana aiseee.
 
Kwa nini kitaalamu.
Engine ikifisha 100K milage inakuwa imeshachoka kwahiyo engine itahitaji namba ya juu kidogo ya kuweza kuendana na friction.
5W -30 inafaa zaidi Kwa engine zenye milage ndogo(ni kama mafuta ya watoto ya kulainisha ngozi kutumiwa na MTU mzima aliyefikisha milage 100,000)
5W- 40 inafaa zaidi kwasababu ni nzito kidogo ambayo ni rahisi kulainisha Kwenye chuma chakavu
 
Bora uanze na 5W - 30 au 5W - 40 angalau itafaa zaidi.
Hawa mafundi wetu WA chini ya mwembe kwenye ishu za engine oil wengi wao hawana elimu juu oil sahihi.jaribu kutumia hiyo namba hapo juu hata engine yako utaona jinsi mlio wake unavyobadilika hata fuel consumption itaenda vizuri
Habari mkuu,
Rumion ODO 90k inafaa oil number ngapi?
 
Kuhusu oil.. jamaa wadau wameelezea vizuri, nami niweke kamchango kangu kidogo.

Mineral oil ambazo ni non synthetic oil zina changamoto ya kutengeneza carbon kwenye injini kama zisipo badilishwa kwa wakati

Synthetic oil kwakua zina additives zinazofanya ziweze kumantain viscosity yake hata zikiwa exposed to high temperature for extended time... Lakini si kusubiri mpaka gari ifikishe km 10,000 ndo ubadili oil.. utaua injini yako.

Ubora wa oil.. ubora wa oil una angalia urahisi wa oil ku flow wakati wa low temperature na uwezo wa ku-maintain thickness ya oil wakati wa high temperature, carbon formation kwenye engine, evaporation rate ya oil.

Matumizi ya oil kwenye Gari.. oil ufanya kazi ya lubrication kwenye moving parts, sasa hizi moving parts ndan ya injini huwa zinakua na certain clearance kwa ajili ya oil kukaa ili kuzuia physical contact between moving parts.. hapa sasa ndo bongo kuna shida. Unakuta manufacturer kaandika gari yake inatumia oil 5w-30.. hapa mzungu kaisha jua kwamba kwa clearance iliyopo kwenye components za injini basi oil ya viscosity fulan itafaa, sasa mbongo anaenda chukua oil nzito Kama sae 40 au 20w-50 anatia ndani ya gari.. sasa kumbe hapa anatengeneza tatizo. Hizi oil ni zito sana zinaongeza pressure kwenye moving parts kwakua clearance inakua ni ndogo ulinganisha na thickness ya oil hasa during cold start.. mpaka baadae oil ikisha pungua thickness because of temperature. Sasa gari nyingi hapa Tanzania hufa kwasababu ya oil hizi nzito hasa wakati wa asubuh ambapo kwakua hizi oil ni nzito, ukiwasha Gari for the first time oil inachelewa kupanda juu kwenye cam shafts, vvti system na kufika kwenye cylinder wall kwakua oil ni nene na hai flow kwa wakati.. sasa unakuta hadi injini inatoa sauti za ajabu wakati inapowaka for the first time, then zile sauti zinapotea baada ya oil kufika kwenye yale maeneo kwakua tayari injini imechemka na oil imelainika.. na situation huwa mbaya zaidi kama umetoa thermostat kwakua injini inachelewa ku attain required temperature so na oil inashidwa yeyuka kwa wakati, na kama kukiwa na extended usage ya hizi thick oil wakati mwingine huua (destroy) rings za oil kwenye piston kwakua oil inashindwa kupita kwenye vitundu vya piston kurudisha oil kwenye sump.. nakuleta tatizo gari kula oil.. lakini pia kuua piston rings because of excessive compression inayosababishwa na thick oil na kuleta shida pia ya injini kula oil in long run.

Kuhusu interval ya ku change oil.. watu wengi sisi tuna angalia kilometers tu peke yake Gari imetembea ili kubadili oil, ila tuna sahau kuna muda Gari ina unguruma hata saa nzima bila kwenda popote ila oil inaungua.. sasa hapa kama una angalia tu km shauri yako utaua injini mapema.. ni vizuri kuangalia oil ipo kwenye hali gani hasa kama gari ina kaa sana kwenye folen injini ikiwa on.

Pia kama ni mtu unatembea short distance unazima gari mara unawasha zima kila wakati.. hii pia hufanya oil iwe contaminated na gasoline.. kumbuka gari inapowaka injekta (fuel injectors) humwaga mafuta mengi ila kufanya gari iwake, so sio mafuta yote huungua, mengine hupenya na kwenda kwenye sump ya oil, so haya yanayopenya huenda ku contaminate oil na kuifanya oil ipungue ubora wake with time.

Pia kama unasafiri zaid ya miezi sita na gar ikakaa 6months bila kuwaka hata kama uliondoka umeweka oil mpya ukija toa hiyo oil weka nyingine.

Interval ya oil changing.. kama watumia mineral oil kwa mazingira yetu ya kitropic na hizi folen za mjini change oil from 2500km to 3000km.. na hakikisha watumia quality oil zisizokua na rate kubwa ya utengenezaji wa carbon au rate kubwa ya oxidation.

Kwa wa synthetic oil change after every 5000km na sio kwenda mpaka km7000-10,000 hata kama watumia liquimo oil. (Na hapa lazima uwe na uhakika gari yako haina tatizo la kula oil. Kama inakula oil utakuta unaweka hizi kwakua ni nyepesi mpaka unafika km 5000 unakuta umebakiwa na oil lita moja)


Kuhusiana na quality ya oil, tafuta oil zenye API rating nzuri hasa ukiwa na gari zenye GDI fuel system au pia ukiwa na Gari ya Turbo.

Kuhusiana na oil za gearbox (transmission fluid) weka recommended transmission fluid ambazo manufacturer wako ame recommend.. kama ni ATF-TYPE 4, CVT-TC, or CVT-FE, WS, NS-2 or3, Matic J, DSG nk.. ili mradi ni recommended.. and avoid universal transmission fluids.. na transmission hubadilishwa after at least every 30,000km but you can go more than that depending na mazingira gari inatumika..
Sasa mbona hawa mafundi wetu mitaani wanaweka 20W-50 kwenye hivi vigari vyetu? Kuna fundi hapa yeye premio, IST, spacio, Rav 4 nk zote anaweka 20W-50 tu
 
Sasa mbona hawa mafundi wetu mitaani wanaweka 20W-50 kwenye hivi vigari vyetu? Kuna fundi hapa yeye premio, IST, spacio, Rav 4 nk zote anaweka 20W-50 tu
Ndiyo maana gari nyingi zinapoteza performance yake hata mlio wa engine unapotea ikiwemo ulaji wa mafuta hii yote inasababishwa na utumiaji wa oil isiyo sahihi..
Magari ya ulaya huwezi kufanya hivyo na likatembea ndani ya siku kadhaa mbele linakufa Tu, Sisi wabongo tupo nyuma Sana kwenye ufahamu juu ya magari tofauti na wenzetu kenya
 
Kuhusu oil.. jamaa wadau wameelezea vizuri, nami niweke kamchango kangu kidogo.

Mineral oil ambazo ni non synthetic oil zina changamoto ya kutengeneza carbon kwenye injini kama zisipo badilishwa kwa wakati

Synthetic oil kwakua zina additives zinazofanya ziweze kumantain viscosity yake hata zikiwa exposed to high temperature for extended time... Lakini si kusubiri mpaka gari ifikishe km 10,000 ndo ubadili oil.. utaua injini yako.

Ubora wa oil.. ubora wa oil una angalia urahisi wa oil ku flow wakati wa low temperature na uwezo wa ku-maintain thickness ya oil wakati wa high temperature, carbon formation kwenye engine, evaporation rate ya oil.

Matumizi ya oil kwenye Gari.. oil ufanya kazi ya lubrication kwenye moving parts, sasa hizi moving parts ndan ya injini huwa zinakua na certain clearance kwa ajili ya oil kukaa ili kuzuia physical contact between moving parts.. hapa sasa ndo bongo kuna shida. Unakuta manufacturer kaandika gari yake inatumia oil 5w-30.. hapa mzungu kaisha jua kwamba kwa clearance iliyopo kwenye components za injini basi oil ya viscosity fulan itafaa, sasa mbongo anaenda chukua oil nzito Kama sae 40 au 20w-50 anatia ndani ya gari.. sasa kumbe hapa anatengeneza tatizo. Hizi oil ni zito sana zinaongeza pressure kwenye moving parts kwakua clearance inakua ni ndogo ulinganisha na thickness ya oil hasa during cold start.. mpaka baadae oil ikisha pungua thickness because of temperature. Sasa gari nyingi hapa Tanzania hufa kwasababu ya oil hizi nzito hasa wakati wa asubuh ambapo kwakua hizi oil ni nzito, ukiwasha Gari for the first time oil inachelewa kupanda juu kwenye cam shafts, vvti system na kufika kwenye cylinder wall kwakua oil ni nene na hai flow kwa wakati.. sasa unakuta hadi injini inatoa sauti za ajabu wakati inapowaka for the first time, then zile sauti zinapotea baada ya oil kufika kwenye yale maeneo kwakua tayari injini imechemka na oil imelainika.. na situation huwa mbaya zaidi kama umetoa thermostat kwakua injini inachelewa ku attain required temperature so na oil inashidwa yeyuka kwa wakati, na kama kukiwa na extended usage ya hizi thick oil wakati mwingine huua (destroy) rings za oil kwenye piston kwakua oil inashindwa kupita kwenye vitundu vya piston kurudisha oil kwenye sump.. nakuleta tatizo gari kula oil.. lakini pia kuua piston rings because of excessive compression inayosababishwa na thick oil na kuleta shida pia ya injini kula oil in long run.

Kuhusu interval ya ku change oil.. watu wengi sisi tuna angalia kilometers tu peke yake Gari imetembea ili kubadili oil, ila tuna sahau kuna muda Gari ina unguruma hata saa nzima bila kwenda popote ila oil inaungua.. sasa hapa kama una angalia tu km shauri yako utaua injini mapema.. ni vizuri kuangalia oil ipo kwenye hali gani hasa kama gari ina kaa sana kwenye folen injini ikiwa on.

Pia kama ni mtu unatembea short distance unazima gari mara unawasha zima kila wakati.. hii pia hufanya oil iwe contaminated na gasoline.. kumbuka gari inapowaka injekta (fuel injectors) humwaga mafuta mengi ila kufanya gari iwake, so sio mafuta yote huungua, mengine hupenya na kwenda kwenye sump ya oil, so haya yanayopenya huenda ku contaminate oil na kuifanya oil ipungue ubora wake with time.

Pia kama unasafiri zaid ya miezi sita na gar ikakaa 6months bila kuwaka hata kama uliondoka umeweka oil mpya ukija toa hiyo oil weka nyingine.

Interval ya oil changing.. kama watumia mineral oil kwa mazingira yetu ya kitropic na hizi folen za mjini change oil from 2500km to 3000km.. na hakikisha watumia quality oil zisizokua na rate kubwa ya utengenezaji wa carbon au rate kubwa ya oxidation.

Kwa wa synthetic oil change after every 5000km na sio kwenda mpaka km7000-10,000 hata kama watumia liquimo oil. (Na hapa lazima uwe na uhakika gari yako haina tatizo la kula oil. Kama inakula oil utakuta unaweka hizi kwakua ni nyepesi mpaka unafika km 5000 unakuta umebakiwa na oil lita moja)


Kuhusiana na quality ya oil, tafuta oil zenye API rating nzuri hasa ukiwa na gari zenye GDI fuel system au pia ukiwa na Gari ya Turbo.

Kuhusiana na oil za gearbox (transmission fluid) weka recommended transmission fluid ambazo manufacturer wako ame recommend.. kama ni ATF-TYPE 4, CVT-TC, or CVT-FE, WS, NS-2 or3, Matic J, DSG nk.. ili mradi ni recommended.. and avoid universal transmission fluids.. na transmission hubadilishwa after at least every 30,000km but you can go more than that depending na mazingira gari inatumika..

Je wakati wa ku change oil ni lazima ku change na filter? Kuna mahala nimesoma kuwa sio lazima

Naomba kuelekezwa hapa

Hasa kwa gari za mjerumani
 
Ndiyo maana gari nyingi zinapoteza performance yake hata mlio wa engine unapotea ikiwemo ulaji wa mafuta hii yote inasababishwa na utumiaji wa oil isiyo sahihi..
Magari ya ulaya huwezi kufanya hivyo na likatembea ndani ya siku kadhaa mbele linakufa Tu, Sisi wabongo tupo nyuma Sana kwenye ufahamu juu ya magari tofauti na wenzetu kenya
Wenyewe wanakwambia 5W-30 inafaa kwenye nchi za baridi kama huko ulaya, huku bongo kwa kuwa kuna joto kali na gari zenyewe zina millage zaidi ya 100,000km basi oil sahihi ni 20W-50. Hatari sana hawa local fundi.
 
Engine ikifisha 100K milage inakuwa imeshachoka kwahiyo engine itahitaji namba ya juu kidogo ya kuweza kuendana na friction.
5W -30 inafaa zaidi Kwa engine zenye milage ndogo(ni kama mafuta ya watoto ya kulainisha ngozi kutumiwa na MTU mzima aliyefikisha milage 100,000)
5W- 40 inafaa zaidi kwasababu ni nzito kidogo ambayo ni rahisi kulainisha Kwenye chuma chakavu
Km 100,000 ni ndogo sana kwa injini mkuu..yaan kama wabadili oil kila baada ya km 3000 injini itakaa muda mrefu mno...kinacho chosha injini haswa hapa bongo ni matumizi ya oil substandard (hizi oil za madukan nyingi fake) nunua oil kwenye Petrol station..

Kingine kinacho chosha injini ni matumizi ya wrong oil viscosity...mfano mtu kanunua gari anatia oil SAE 40, or 20w-50. These are too thick oils... clearance ya moving parts ndani ya injini ni ndogo sana hivo inajitaji oil film ndogo sana na ndio essence ya 5w-30, or 5w-40 or 10w-40 not bad..so ukiweka thick oil inaongeza excessive pressure kwenye cylinder walls na rings za pistons then baada ya muda unakuta shida ina anza.

Kingine kinachoua injini ni kuto badili oil kwa wakati..( kama gari latumika mara kwa mara-yaan daily driven bila kupark kwa muda mrefu, bas change oil after every 3000 to 3500km bila kujali unatumia oil brand gan. kumbuka oil uchoka because of temperature na contamination.. sasa oil ikitumika muda mrefu bila kutolewa huanza kuganda..sasa ikiganda huwa ina ng'ang'ania piston ring-ile ring inayo kupangusa na kuzuia oil isije juu kwenye combustion chamber(nb hizi rings za gari za kisasa zina tension ndogo tofauti na zaman) sasa ring ikisha ng'ang'ania basi oil inakua haina kitu kinacho izuia isipande kwenye combustion chamber. Lakini pia kwakua ring ikisha ng'ang'ania sehemu moja basi unakuta ile sehemu ili ng'ang'ania inakua inakwangua cylinder wall kwa muda mrefu, matokeo yake cylinder bore ina tanuka sasa tatizo lingine lina jitokeza la cylinder bore kutanuka, sasa cylinder bore ikisha tanuka ndo utaanza ona kila aina ya tatizo la injini mara injini kutoa Moshi wa blue,mara miss zisizo isha, hizi miss ni kwakua compression imeshuka kwenye cylinder (miss inayo husiana na compression kushuka huwa aiishi mpaka utatue issue ya compression--unaweza badili kila aina ya makitu Kama plugs,coil,pump, nozzles ila Kama compression ni ndogo nothing gona work) lakini pia tatizo ligine compression ikisha shuka ni injini kutumia mafuta mengi sana, na kula oil.

Kwa watu wanao fanya short trips frequent (mfano katoka sinza kaenda mcity kazima gari, mara kawasha kaenda mwenge kazima, kawasha kaenda itv kazima..sasa short distance trip uharibu oil pia... what is happening ni kwamba every time you crank engine ,(kila unapowasha injini), basi mafuta mengi sana humwagwa kwenye combustion chamber ili kuwezesha gari kuwaka, sasa katika hali hii sio mafuta yote uhungua, mengine upenya kwenye cylinder walls kwenda kwenye sump ya oil..sasa haya mafuta yakisha ingia huko kwenye sump, contamination hutokea na kufanya oil iwe broken down..sasa hapa oil hupoteza properties zake za kua resistant to heat lakini pia ku provide required lubrication sasa baada ya muda mfupi oil huwa maji na kuua injini yako in long run..so ukiwa unafanya root fup muda mwingi basi badili oil kwa wakati.

Kuna Wale wenzangu anatembea km 5000 ndani ya mwaka mzima...ni hivi ikisha fika miezi 6 oil ipo ndan ya injini hata kama hautembei km 5000 ndan ya mwaka mzima basi oil isizidi miezi 6 bila kubadilishwa.


So in short gari nyingi hapa bongo tunaziua prematurely because of very simple reason oil.

Kwa kesi ya European cars zenyewe apart from issue za oil change, zenyewe zipo na inherent problem za durability kwenye upande wa drivetrain hasa kuanzia km100,000.

Change oil every 3000 to 3500km kwa watu wa DSM, kwa watu wa mikoani waweza enda mpaka km 4000 kwakua mikoani hakuna foleni.. lakini pia monitor oil consumption ya injini yako.maana kuna gari unaweka 4lts za oil baada ya km 1000 oil imebaki 2lts hii si mchezo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Je wakati wa ku change oil ni lazima ku change na filter? Kuna mahala nimesoma kuwa sio lazima

Naomba kuelekezwa hapa

Hasa kwa gari za mjerumani
Toa filter weka nYingine...filter unafanya filtration ya debris zinazikua ndani ya engine na kuchuja contaminants nyingime zinazoweza athili injini. Ina chuja metal shavings sometimes incase ikitokea excessive wear. So usipo change inafika mahala inaziba....pia hizi filter watu inabidi watu wawe nazo makini maana nazo zaweza leta majanga hasa pale outlet zake zinapikua either ndogo sana or haziruhusu kiwango cha ktosha cha oil ili ikazunguke kwenye injini for adequate lubrication.hii ni topic ya siku nYingine.but oil filters nazo ni shida.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Km 100,000 ni ndogo sana kwa injini mkuu..yaan kama wabadili oil kila baada ya km 3000 injini itakaa muda mrefu mno...kinacho chosha injini haswa hapa bongo ni matumizi ya oil substandard (hizi oil za madukan nyingi fake) nunua oil kwenye Petrol station..

Kingine kinacho chosha injini ni matumizi ya wrong oil viscosity...mfano mtu kanunua gari anatia oil SAE 40, or 20w-50. These are too thick oils... clearance ya moving parts ndani ya injini ni ndogo sana hivo inajitaji oil film ndogo sana na ndio essence ya 5w-30, or 5w-40 or 10w-40 not bad..so ukiweka thick oil inaongeza excessive pressure kwenye cylinder walls na rings za pistons then baada ya muda unakuta shida ina anza.

Kingine kinachoua injini ni kuto badili oil kwa wakati..( kama gari latumika mara kwa mara-yaan daily driven bila kupark kwa muda mrefu, bas change oil after every 3000 to 3500km bila kujali unatumia oil brand gan. kumbuka oil uchoka because of temperature na contamination.. sasa oil ikitumika muda mrefu bila kutolewa huanza kuganda..sasa ikiganda huwa ina ng'ang'ania piston ring-ile ring inayo kupangusa na kuzuia oil isije juu kwenye combustion chamber(nb hizi rings za gari za kisasa zina tension ndogo tofauti na zaman) sasa ring ikisha ng'ang'ania basi oil inakua haina kitu kinacho izuia isipande kwenye combustion chamber. Lakini pia kwakua ring ikisha ng'ang'ania sehemu moja basi unakuta ile sehemu ili ng'ang'ania inakua inakwangua cylinder wall kwa muda mrefu, matokeo yake cylinder bore ina tanuka sasa tatizo lingine lina jitokeza la cylinder bore kutanuka, sasa cylinder bore ikisha tanuka ndo utaanza ona kila aina ya tatizo la injini mara injini kutoa Moshi wa blue,mara miss zisizo isha, hizi miss ni kwakua compression imeshuka kwenye cylinder (miss inayo husiana na compression kushuka huwa aiishi mpaka utatue issue ya compression--unaweza badili kila aina ya makitu Kama plugs,coil,pump, nozzles ila Kama compression ni ndogo nothing gona work) lakini pia tatizo ligine compression ikisha shuka ni injini kutumia mafuta mengi sana, na kula oil.

Kwa watu wanao fanya short trips frequent (mfano katoka sinza kaenda mcity kazima gari, mara kawasha kaenda mwenge kazima, kawasha kaenda itv kazima..sasa short distance trip uharibu oil pia... what is happening ni kwamba every time you crank engine ,(kila unapowasha injini), basi mafuta mengi sana humwagwa kwenye combustion chamber ili kuwezesha gari kuwaka, sasa katika hali hii sio mafuta yote uhungua, mengine upenya kwenye cylinder walls kwenda kwenye sump ya oil..sasa haya mafuta yakisha ingia huko kwenye sump, contamination hutokea na kufanya oil iwe broken down..sasa hapa oil hupoteza properties zake za kua resistant to heat lakini pia ku provide required lubrication sasa baada ya muda mfupi oil huwa maji na kuua injini yako in long run..so ukiwa unafanya root fup muda mwingi basi badili oil kwa wakati.

Kuna Wale wenzangu anatembea km 5000 ndani ya mwaka mzima...ni hivi ikisha fika miezi 6 oil ipo ndan ya injini hata kama hautembei km 5000 ndan ya mwaka mzima basi oil isizidi miezi 6 bila kubadilishwa.


So in short gari nyingi hapa bongo tunaziua prematurely because of very simple reason oil.

Kwa kesi ya European cars zenyewe apart from issue za oil change, zenyewe zipo na inherent problem za durability kwenye upande wa drivetrain hasa kuanzia km100,000.

Change oil every 3000 to 3500km kwa watu wa DSM, kwa watu wa mikoani waweza enda mpaka km 4000 kwakua mikoani hakuna foleni.. lakini pia monitor oil consumption ya injini yako.maana kuna gari unaweka 4lts za oil baada ya km 1000 oil imebaki 2lts hii si mchezo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Pamoja Saanaa
 
Toa filter weka nYingine...filter unafanya filtration ya debris zinazikua ndani ya engine na kuchuja contaminants nyingime zinazoweza athili injini. Ina chuja metal shavings sometimes incase ikitokea excessive wear. So usipo change inafika mahala inaziba....pia hizi filter watu inabidi watu wawe nazo makini maana nazo zaweza leta majanga hasa pale outlet zake zinapikua either ndogo sana or haziruhusu kiwango cha ktosha cha oil ili ikazunguke kwenye injini for adequate lubrication.hii ni topic ya siku nYingine.but oil filters nazo ni shida.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
90% ya oil filter ni fake hasa za Toyota
 
90% ya oil filter ni fake hasa za Toyota
Huwa sifundi oil filters za Toyota ..mara nyingi huwa natumia filter za GUD from South Africa...oil natumia total from total energy zinazo uzwa kwenye petrol station na si madukani. Natumia 5w-40 or 10w-30.. and I always change after 3000km.

Speaking of issue ya oil kwenye injini, fungu kile kifuniko cha kuingizia oil kwenye injini ya gari yako tizama chuma ndani ya injini through hicho kitundu rangi utayo iona inatakiwa iwe kama gold na kama patakua na black basi ujue shida imeasha anza ndani ya injini.. au tizama kifuniko cha oil, kama kina ukoko mwingi ndani basi hicho kifuniko kina represent uhalisia wa behavior yako ya kuchange oil.

Issue nyingine ya oil ni ujazaji wa oil bila kuacha nafasi ya expansion ya oil pindi inapokua ya moto...oil ikiwa under high temperature u expand sasa kama oil itakua imejazwa sana na expansion ikatokea ina maana oil ita overflow ...sasa kwakua over flow ya oil ipo very limited, basi ile excess oil either itapanda kwenye combustion chamber kuchomwa au itapasua internal seals na kuanza ku leak.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Km 100,000 ni ndogo sana kwa injini mkuu..yaan kama wabadili oil kila baada ya km 3000 injini itakaa muda mrefu mno...kinacho chosha injini haswa hapa bongo ni matumizi ya oil substandard (hizi oil za madukan nyingi fake) nunua oil kwenye Petrol station..

Kingine kinacho chosha injini ni matumizi ya wrong oil viscosity...mfano mtu kanunua gari anatia oil SAE 40, or 20w-50. These are too thick oils... clearance ya moving parts ndani ya injini ni ndogo sana hivo inajitaji oil film ndogo sana na ndio essence ya 5w-30, or 5w-40 or 10w-40 not bad..so ukiweka thick oil inaongeza excessive pressure kwenye cylinder walls na rings za pistons then baada ya muda unakuta shida ina anza.

Kingine kinachoua injini ni kuto badili oil kwa wakati..( kama gari latumika mara kwa mara-yaan daily driven bila kupark kwa muda mrefu, bas change oil after every 3000 to 3500km bila kujali unatumia oil brand gan. kumbuka oil uchoka because of temperature na contamination.. sasa oil ikitumika muda mrefu bila kutolewa huanza kuganda..sasa ikiganda huwa ina ng'ang'ania piston ring-ile ring inayo kupangusa na kuzuia oil isije juu kwenye combustion chamber(nb hizi rings za gari za kisasa zina tension ndogo tofauti na zaman) sasa ring ikisha ng'ang'ania basi oil inakua haina kitu kinacho izuia isipande kwenye combustion chamber. Lakini pia kwakua ring ikisha ng'ang'ania sehemu moja basi unakuta ile sehemu ili ng'ang'ania inakua inakwangua cylinder wall kwa muda mrefu, matokeo yake cylinder bore ina tanuka sasa tatizo lingine lina jitokeza la cylinder bore kutanuka, sasa cylinder bore ikisha tanuka ndo utaanza ona kila aina ya tatizo la injini mara injini kutoa Moshi wa blue,mara miss zisizo isha, hizi miss ni kwakua compression imeshuka kwenye cylinder (miss inayo husiana na compression kushuka huwa aiishi mpaka utatue issue ya compression--unaweza badili kila aina ya makitu Kama plugs,coil,pump, nozzles ila Kama compression ni ndogo nothing gona work) lakini pia tatizo ligine compression ikisha shuka ni injini kutumia mafuta mengi sana, na kula oil.

Kwa watu wanao fanya short trips frequent (mfano katoka sinza kaenda mcity kazima gari, mara kawasha kaenda mwenge kazima, kawasha kaenda itv kazima..sasa short distance trip uharibu oil pia... what is happening ni kwamba every time you crank engine ,(kila unapowasha injini), basi mafuta mengi sana humwagwa kwenye combustion chamber ili kuwezesha gari kuwaka, sasa katika hali hii sio mafuta yote uhungua, mengine upenya kwenye cylinder walls kwenda kwenye sump ya oil..sasa haya mafuta yakisha ingia huko kwenye sump, contamination hutokea na kufanya oil iwe broken down..sasa hapa oil hupoteza properties zake za kua resistant to heat lakini pia ku provide required lubrication sasa baada ya muda mfupi oil huwa maji na kuua injini yako in long run..so ukiwa unafanya root fup muda mwingi basi badili oil kwa wakati.

Kuna Wale wenzangu anatembea km 5000 ndani ya mwaka mzima...ni hivi ikisha fika miezi 6 oil ipo ndan ya injini hata kama hautembei km 5000 ndan ya mwaka mzima basi oil isizidi miezi 6 bila kubadilishwa.


So in short gari nyingi hapa bongo tunaziua prematurely because of very simple reason oil.

Kwa kesi ya European cars zenyewe apart from issue za oil change, zenyewe zipo na inherent problem za durability kwenye upande wa drivetrain hasa kuanzia km100,000.

Change oil every 3000 to 3500km kwa watu wa DSM, kwa watu wa mikoani waweza enda mpaka km 4000 kwakua mikoani hakuna foleni.. lakini pia monitor oil consumption ya injini yako.maana kuna gari unaweka 4lts za oil baada ya km 1000 oil imebaki 2lts hii si mchezo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Synthentic Castrol unachange mpaka kms 10,000 ukipunguza 7,000. Siyo hizo za kms 3000, 3500.
 
Back
Top Bottom