Zifahamu hatua halisi za kutoa gari kwenye Meli na bandarini

Je mafuta ya kutolea gari hiyo yanapatikanaje au huwa gari zinakuja na mafuta kidogo ndani yake??
 
Je mafuta ya kutolea gari hiyo yanapatikanaje au huwa gari zinakuja na mafuta kidogo ndani yake??
Zinakuja na mafuta ila hayatakiwi kuwa full tank. Maana mafuta yanachangia uzito wa gari. Mfano gari ina full tank 65 ina maana ni kilo za gari plus kilo 65. Chukua hizo kilo 65 zidisha mara idadi ya magari uone unapata kilo ngapi hapo.
 
Asante mkuu kwa elimu nzuri sana... Mimi nilikuwa naswali, kuna gari ndogo nimenunua kutoka Rwanda... Sasa sijafaham kipi kitahitajika hadi gari kufika hapa Tz hadi kusajiliwa kwagari. Document zipi zitahitajika pinditu nafika border? Msaada wenu wakuu.
 
Kama kichwa kinavojieleza ni vitu gani unahitaji kujua wakati unaagiza gari na mlolongo wake wa utoaji wake bandarini kuanzia
- Ushuru wa gari
-Malipo ya bandarini


Mawasiliano
WhatsApp & Call 0652802379
 
Asante kwa somo nzuri mkuu . Na kuhusu flatbed trailer springs leaf double tyre , 3 Axle , 40 feet , ushuru wake kwa TRA ni milioni ngapi please , Kichanja ni mpya .
 
Hey members naombeni kujua kazi ya kutoa gari kwenye meli ina vigezo vipi
Kutoa kupeleka wapi.

Kuendesha kutoka melini mpaka nje sehemu ya parking za Bandari ni kazi ya vibarua wa Bandari, kulitoa nje ya Bandari mpaka Bandari kavu au kwa mteja agent ndio anamcheki dereva wa kumpa kazi
 
Kutoa kupeleka wapi.

Kuendesha kutoka melini mpaka nje sehemu ya parking za Bandari ni kazi ya vibarua wa Bandari, kulitoa nje ya Bandari mpaka Bandari kavu au kwa mteja agent ndio anamcheki dereva wa kumpa kazi
Kutoa gari bandarini mpaka kwa mteja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…