Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Basi Afrika rushwa ni hatari sana.Wakuu,
Taasisi ya Transparency International imeorodhesha nchi zinazoongoza kwa rushwa duniani na kwa Afrika Mashariki Tanzania inashika namba 2 kama nchi ambayo ina rushwa kidogo zaidi katika ukanda huu.
Source: Buzzroom Kenya, Transparency International
Looo!Naungana na Trump.