Wilson Joseph
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 311
- 275
Inatumika sana na wao pia wanajua, pamoja na kuiba mali zetu na maendeleo yao kwa ukubwa wake na mizani yake, Unakumbuka Corona ,Vimbunga, ukosefu wa utulivu nk,iyo karma inatumika kwa mtu mmoja mmoja au ata kwa jamii nzima kwasababu tumeshuhudia jamii za watu weupe (ulaya na America) wakiiba Mali ka kuua waafrika wengi na bado yanaendelea katika Kila nyanja uku waafrika wakiendelea kua Kama laana duniani