Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kwangu huu ndio Uzi bora kwa 2021(Toka mtandaoni)
[emoji840]Soma kwa umakini sana Soma Siri zote[emoji840]
[emoji3502]Maisha hayana formula lakini yana siri kibao! Kamata hizi 11, zikikufaa zichukue na unibariki kimyakimya, hazikufai futa bila kunitukana kimyakimya![emoji286][emoji286]
Siri ya kwanza;
[emoji1428]Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha kula maana "kikulacho kinguoni kwako!" Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake![emoji2047][emoji2047]
Siri ya Pili
[emoji1428]Usimwamini sana rafiki yako ,kwa sababu huyo rafiki yako ana rafiki yake ambaye Wewe si rafiki yako! Kama hunielewi subiri siku umseme bosi wako akurekodi halafu amrushie boss wako then boss wako ukurushie. Utatamani kufa[emoji3][emoji3]
Siri ya tatu;
[emoji1428]Kuna njia tatu tu za kufanikiwa maishani. Njia hizo ni 1.bahati, 2.kipaji na 3.bidii yenye akili! Jitafute ulipo! Huna bahati, huna kipaji halafu unalala mchana[emoji276][emoji276]!
Siri ya nne:
[emoji1428]Ukiwa na marafiki watano majambazi tegemea kuwa jambazi wa sita; ukiwa na marafiki watano wahuni tegemea kuwa muhuni wa sita, ukiwa na marafiki watano mabilionea tegemea kuwa bilionea wa sita; kasheshe ni masikini kumpata rafiki bilionea maana wahenga walisema ndege wanaofanana huruka pamoja. Kama huamini kamuulize Mo na Haji Manara[emoji87][emoji87]
Siri ya tano;
[emoji1428]Ukiona kila mtu anakurushia mawe usijifariji kwamba mti wenye matundo ndo unaopigwa mawe, kuna miti mingine inapigwa mawe kwa sababu ina nyoka! Kikubwa jitathimini pengine wewe ni Mfalme mwenye mkia, ila hujauona[emoji276][emoji276]
Siri ya Sita
[emoji1428]Kuwa makini sana na watu wanaosema tuko nyuma yako maana ukigeuka unaweza usiwakute Kama kivuli chako mwenyewe ikifika usiku kinakukimbia vipi huyo mtu asiyekula kwako?[emoji2378][emoji2378]
Siri ya Saba
[emoji1428]Ili ufurahie maisha jifunze kujinyenyekeza na siyo kujikomba! Unyenyekevu ni kiwango cha juu kabisa cha matumizi ya akili, kujikomba ni kiwango cha chini kabisa cha matumizi ya akili! Moja ya madhara ya kujikomba ni kuishi maisha yako yote umepiga magoti![emoji851]
Siri ya Nane
[emoji1428]Kabla hujafanya maamuzi jitahidi kupata ukweli wa jambo kutoka pande zote. Leo hii watoto wengi hawana mahusiano na baba zao kwa sababu ya kusikiliza ufundi wa mama zao katika kusimulia mabaya ya baba zao! Huyajui ya mama yako kwa sababu baba yako alichagua kuyaficha! Kama unamchukia baba yako hebu muombe msamaha kwanza halafu mwambie akusimulie ya mama yako ufe[emoji3]
Siri ya Tisa
[emoji1428]Mlango mmoja ukifungwa usihangaike kuufungua, unaweza ubomoa bure. Pita hata dirishani maana kisicho riziki hakiliki! Asiyekupenda muache aende zake, tena mpe na nauli kabisa[emoji2957]
Siri ya Kumi
[emoji1428]Hata kama umeishafika mbali kiasi gani, ukijua umepotea njia rudi kuliko kupotea jumla! Kuanza upya si ujinga.Bora uanze upya ufike salama kuliko kuendelea usifike [emoji2321]
Siri ya Kumi na moja
[emoji1428]Haijalishi umri umekwenda kiasi gani kama una ndoto kichwani amka ukaitekeleze kwa sababu umri ni namba tu na uzee hisia tu. Haijalishi mashavu yamelegea kiasi gani ukitimiza ndoto watayabusu tu[emoji2089][emoji2089]!
[emoji1374]muwe na Siku Njema[emoji1374]
Tulia kwanza.Mimi kwangu huu ndio Uzi bora kwa 2021
Aitheee! Haya madini nime-copy na kupetht kwangu. Samahani sikuomba kibali chako. Yatatusaidia wengi. Asante - Ubarikiwe Mkuu. 🙏(Toka mtandaoni)
[emoji840]Soma kwa umakini sana Soma Siri zote[emoji840]
[emoji3502]Maisha hayana formula lakini yana siri kibao! Kamata hizi 11, zikikufaa zichukue na unibariki kimyakimya, hazikufai futa bila kunitukana kimyakimya![emoji286][emoji286]
Siri ya kwanza;
[emoji1428]Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha kula maana "kikulacho kinguoni kwako!" Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake![emoji2047][emoji2047]
Siri ya Pili
[emoji1428]Usimwamini sana rafiki yako ,kwa sababu huyo rafiki yako ana rafiki yake ambaye Wewe si rafiki yako! Kama hunielewi subiri siku umseme bosi wako akurekodi halafu amrushie boss wako then boss wako ukurushie. Utatamani kufa[emoji3][emoji3]
Siri ya tatu;
[emoji1428]Kuna njia tatu tu za kufanikiwa maishani. Njia hizo ni 1.bahati, 2.kipaji na 3.bidii yenye akili! Jitafute ulipo! Huna bahati, huna kipaji halafu unalala mchana[emoji276][emoji276]!
Siri ya nne:
[emoji1428]Ukiwa na marafiki watano majambazi tegemea kuwa jambazi wa sita; ukiwa na marafiki watano wahuni tegemea kuwa muhuni wa sita, ukiwa na marafiki watano mabilionea tegemea kuwa bilionea wa sita; kasheshe ni masikini kumpata rafiki bilionea maana wahenga walisema ndege wanaofanana huruka pamoja. Kama huamini kamuulize Mo na Haji Manara[emoji87][emoji87]
Siri ya tano;
[emoji1428]Ukiona kila mtu anakurushia mawe usijifariji kwamba mti wenye matundo ndo unaopigwa mawe, kuna miti mingine inapigwa mawe kwa sababu ina nyoka! Kikubwa jitathimini pengine wewe ni Mfalme mwenye mkia, ila hujauona[emoji276][emoji276]
Siri ya Sita
[emoji1428]Kuwa makini sana na watu wanaosema tuko nyuma yako maana ukigeuka unaweza usiwakute Kama kivuli chako mwenyewe ikifika usiku kinakukimbia vipi huyo mtu asiyekula kwako?[emoji2378][emoji2378]
Siri ya Saba
[emoji1428]Ili ufurahie maisha jifunze kujinyenyekeza na siyo kujikomba! Unyenyekevu ni kiwango cha juu kabisa cha matumizi ya akili, kujikomba ni kiwango cha chini kabisa cha matumizi ya akili! Moja ya madhara ya kujikomba ni kuishi maisha yako yote umepiga magoti![emoji851]
Siri ya Nane
[emoji1428]Kabla hujafanya maamuzi jitahidi kupata ukweli wa jambo kutoka pande zote. Leo hii watoto wengi hawana mahusiano na baba zao kwa sababu ya kusikiliza ufundi wa mama zao katika kusimulia mabaya ya baba zao! Huyajui ya mama yako kwa sababu baba yako alichagua kuyaficha! Kama unamchukia baba yako hebu muombe msamaha kwanza halafu mwambie akusimulie ya mama yako ufe[emoji3]
Siri ya Tisa
[emoji1428]Mlango mmoja ukifungwa usihangaike kuufungua, unaweza ubomoa bure. Pita hata dirishani maana kisicho riziki hakiliki! Asiyekupenda muache aende zake, tena mpe na nauli kabisa[emoji2957]
Siri ya Kumi
[emoji1428]Hata kama umeishafika mbali kiasi gani, ukijua umepotea njia rudi kuliko kupotea jumla! Kuanza upya si ujinga.Bora uanze upya ufike salama kuliko kuendelea usifike [emoji2321]
Siri ya Kumi na moja
[emoji1428]Haijalishi umri umekwenda kiasi gani kama una ndoto kichwani amka ukaitekeleze kwa sababu umri ni namba tu na uzee hisia tu. Haijalishi mashavu yamelegea kiasi gani ukitimiza ndoto watayabusu tu[emoji2089][emoji2089]!
[emoji1374]muwe na Siku Njema[emoji1374]
Mausia yenye hekima sana nimeyapenda, isipokuwa kwenye point hizo mbili nilizozinukuu hapo juu.(Toka mtandaoni)
Siri ya tano;
[emoji1428]Ukiona kila mtu anakurushia mawe usijifariji kwamba mti wenye matundo ndo unaopigwa mawe, kuna miti mingine inapigwa mawe kwa sababu ina nyoka! Kikubwa jitathimini pengine wewe ni Mfalme mwenye mkia, ila hujauona[emoji276][emoji276]
Siri ya Tisa
[emoji1428]Mlango mmoja ukifungwa usihangaike kuufungua, unaweza ubomoa bure. Pita hata dirishani maana kisicho riziki hakiliki! Asiyekupenda muache aende zake, tena mpe na nauli kabisa[emoji2957]
Nia yangu hapa ni kujaribu kuwa-alert watu pale inapotokea hekima kubwa imejichanganya na flaws kubwa na za ajabu namna hii; inabidi watu wawe wanaziona[emoji1545]Mausia yenye hekima sana nimeyapenda, isipokuwa kwenye point hizo mbili nilizozinukuu hapo juu.
Mara nyingi, (japo si mara zote), watu wanaorusha mawe kwa wengine ndiyo wanakuwa wana matatizo makubwa kuwazidi wale wanaowarushia mawe, na ukizingatia kuwa mtandao wenye matatizo MARA ZOTE huwa unakuwa na watu wengi zaidi ikiwa ni pamoja na ushirikiano wa kiwango cha juu sana, kuliko ule ambao hauna matatizo. Mtu anaweza kuwa mmoja lakini akawa against a clan or a tribe, huo uwezekano upo; tumeshafika huko sasa hivi.
Tuchukulie kwa mfano ulichoandika hapa, nyoka yuko juu ya mti unamrushia mawe, unataka aende akaingie ndani ya nyumba?. Kwenye mti au nyasi ndiyo mahali sahihi nyoka anatakiwa kukaa, mwache akae pale anapostahili kukaa, vinginevyo wewe utakuwa mchokozi. Unless kama nyoka hatakiwi kabisa kuwepo, hilo moja.
Pili: swala la mtu kupitia dirihshani milango inapokuwa imefungwa, hata kama ni nyumbani kwako watu wakikuona unapitia dirishani wanaweza wakapiga kelele za mwizi. Mara zote mtu ambaye huwa anapitia dirishani ni mwizi na anakuwa hana funguo za mlango wa nyumba. Hii mana yake ni kuwa unaweza kuua bila kujali kwa sababu wewe unachohitaji ni pesa tu. Unaweza hata ukawa unasimama madhabahuni pa BWANA ukiwa ume-pose kama Mchunga Kondoo wa BWANA kumbe ndani rohoni Mbwa Mwitu mkali,; swala la msingi kwako likiwa ni pesa tu.; the worst thing of all things in this world!
Nia yangu hapa ni kujaribu kuwa-alert watu pale inapotokea hekima kubwa imejichanganya na flaws kubwa na za ajabu namna hii; inabidi watu wawe wanaziona
I love this from you baba mchungaji...Kudos(Toka mtandaoni)
[emoji840]Soma kwa umakini sana Soma Siri zote[emoji840]
[emoji3502]Maisha hayana formula lakini yana siri kibao! Kamata hizi 11, zikikufaa zichukue na unibariki kimyakimya, hazikufai futa bila kunitukana kimyakimya![emoji286][emoji286]
Siri ya kwanza;
[emoji1428]Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha kula maana "kikulacho kinguoni kwako!" Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake![emoji2047][emoji2047]
Siri ya Pili
[emoji1428]Usimwamini sana rafiki yako ,kwa sababu huyo rafiki yako ana rafiki yake ambaye Wewe si rafiki yako! Kama hunielewi subiri siku umseme bosi wako akurekodi halafu amrushie boss wako then boss wako ukurushie. Utatamani kufa[emoji3][emoji3]
Siri ya tatu;
[emoji1428]Kuna njia tatu tu za kufanikiwa maishani. Njia hizo ni 1.bahati, 2.kipaji na 3.bidii yenye akili! Jitafute ulipo! Huna bahati, huna kipaji halafu unalala mchana[emoji276][emoji276]!
Siri ya nne:
[emoji1428]Ukiwa na marafiki watano majambazi tegemea kuwa jambazi wa sita; ukiwa na marafiki watano wahuni tegemea kuwa muhuni wa sita, ukiwa na marafiki watano mabilionea tegemea kuwa bilionea wa sita; kasheshe ni masikini kumpata rafiki bilionea maana wahenga walisema ndege wanaofanana huruka pamoja. Kama huamini kamuulize Mo na Haji Manara[emoji87][emoji87]
Siri ya tano;
[emoji1428]Ukiona kila mtu anakurushia mawe usijifariji kwamba mti wenye matundo ndo unaopigwa mawe, kuna miti mingine inapigwa mawe kwa sababu ina nyoka! Kikubwa jitathimini pengine wewe ni Mfalme mwenye mkia, ila hujauona[emoji276][emoji276]
Siri ya Sita
[emoji1428]Kuwa makini sana na watu wanaosema tuko nyuma yako maana ukigeuka unaweza usiwakute Kama kivuli chako mwenyewe ikifika usiku kinakukimbia vipi huyo mtu asiyekula kwako?[emoji2378][emoji2378]
Siri ya Saba
[emoji1428]Ili ufurahie maisha jifunze kujinyenyekeza na siyo kujikomba! Unyenyekevu ni kiwango cha juu kabisa cha matumizi ya akili, kujikomba ni kiwango cha chini kabisa cha matumizi ya akili! Moja ya madhara ya kujikomba ni kuishi maisha yako yote umepiga magoti![emoji851]
Siri ya Nane
[emoji1428]Kabla hujafanya maamuzi jitahidi kupata ukweli wa jambo kutoka pande zote. Leo hii watoto wengi hawana mahusiano na baba zao kwa sababu ya kusikiliza ufundi wa mama zao katika kusimulia mabaya ya baba zao! Huyajui ya mama yako kwa sababu baba yako alichagua kuyaficha! Kama unamchukia baba yako hebu muombe msamaha kwanza halafu mwambie akusimulie ya mama yako ufe[emoji3]
Siri ya Tisa
[emoji1428]Mlango mmoja ukifungwa usihangaike kuufungua, unaweza ubomoa bure. Pita hata dirishani maana kisicho riziki hakiliki! Asiyekupenda muache aende zake, tena mpe na nauli kabisa[emoji2957]
Siri ya Kumi
[emoji1428]Hata kama umeishafika mbali kiasi gani, ukijua umepotea njia rudi kuliko kupotea jumla! Kuanza upya si ujinga.Bora uanze upya ufike salama kuliko kuendelea usifike [emoji2321]
Siri ya Kumi na moja
[emoji1428]Haijalishi umri umekwenda kiasi gani kama una ndoto kichwani amka ukaitekeleze kwa sababu umri ni namba tu na uzee hisia tu. Haijalishi mashavu yamelegea kiasi gani ukitimiza ndoto watayabusu tu[emoji2089][emoji2089]!
[emoji1374]muwe na Siku Njema[emoji1374]
Tumepumzika kusikia kulogana at least 😂 😂 😂 😂 😂[emoji1545][emoji1545][emoji1534]
Bahati ipo kwenye "cause"ambayo ndio inayotupeleka huko "effect"Ila kwenye maisha hakuna bahati, there is no luck
Only cause and effect.. Mimi binafsi naamin hakuna-ga bahati..
Madini sana haya 💯🔥🔥🔥(Toka mtandaoni)
[emoji840]Soma kwa umakini sana Soma Siri zote[emoji840]
[emoji3502]Maisha hayana formula lakini yana siri kibao! Kamata hizi 11, zikikufaa zichukue na unibariki kimyakimya, hazikufai futa bila kunitukana kimyakimya![emoji286][emoji286]
Siri ya kwanza;
[emoji1428]Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, Iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza Chakula Cha kula maana "kikulacho kinguoni kwako!" Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake![emoji2047][emoji2047]
Siri ya Pili
[emoji1428]Usimwamini sana rafiki yako ,kwa sababu huyo rafiki yako ana rafiki yake ambaye Wewe si rafiki yako! Kama hunielewi subiri siku umseme bosi wako akurekodi halafu amrushie boss wako then boss wako ukurushie. Utatamani kufa[emoji3][emoji3]
Siri ya tatu;
[emoji1428]Kuna njia tatu tu za kufanikiwa maishani. Njia hizo ni 1.bahati, 2.kipaji na 3.bidii yenye akili! Jitafute ulipo! Huna bahati, huna kipaji halafu unalala mchana[emoji276][emoji276]!
Siri ya nne:
[emoji1428]Ukiwa na marafiki watano majambazi tegemea kuwa jambazi wa sita; ukiwa na marafiki watano wahuni tegemea kuwa muhuni wa sita, ukiwa na marafiki watano mabilionea tegemea kuwa bilionea wa sita; kasheshe ni masikini kumpata rafiki bilionea maana wahenga walisema ndege wanaofanana huruka pamoja. Kama huamini kamuulize Mo na Haji Manara[emoji87][emoji87]
Siri ya tano;
[emoji1428]Ukiona kila mtu anakurushia mawe usijifariji kwamba mti wenye matundo ndo unaopigwa mawe, kuna miti mingine inapigwa mawe kwa sababu ina nyoka! Kikubwa jitathimini pengine wewe ni Mfalme mwenye mkia, ila hujauona[emoji276][emoji276]
Siri ya Sita
[emoji1428]Kuwa makini sana na watu wanaosema tuko nyuma yako maana ukigeuka unaweza usiwakute Kama kivuli chako mwenyewe ikifika usiku kinakukimbia vipi huyo mtu asiyekula kwako?[emoji2378][emoji2378]
Siri ya Saba
[emoji1428]Ili ufurahie maisha jifunze kujinyenyekeza na siyo kujikomba! Unyenyekevu ni kiwango cha juu kabisa cha matumizi ya akili, kujikomba ni kiwango cha chini kabisa cha matumizi ya akili! Moja ya madhara ya kujikomba ni kuishi maisha yako yote umepiga magoti![emoji851]
Siri ya Nane
[emoji1428]Kabla hujafanya maamuzi jitahidi kupata ukweli wa jambo kutoka pande zote. Leo hii watoto wengi hawana mahusiano na baba zao kwa sababu ya kusikiliza ufundi wa mama zao katika kusimulia mabaya ya baba zao! Huyajui ya mama yako kwa sababu baba yako alichagua kuyaficha! Kama unamchukia baba yako hebu muombe msamaha kwanza halafu mwambie akusimulie ya mama yako ufe[emoji3]
Siri ya Tisa
[emoji1428]Mlango mmoja ukifungwa usihangaike kuufungua, unaweza ubomoa bure. Pita hata dirishani maana kisicho riziki hakiliki! Asiyekupenda muache aende zake, tena mpe na nauli kabisa[emoji2957]
Siri ya Kumi
[emoji1428]Hata kama umeishafika mbali kiasi gani, ukijua umepotea njia rudi kuliko kupotea jumla! Kuanza upya si ujinga.Bora uanze upya ufike salama kuliko kuendelea usifike [emoji2321]
Siri ya Kumi na moja
[emoji1428]Haijalishi umri umekwenda kiasi gani kama una ndoto kichwani amka ukaitekeleze kwa sababu umri ni namba tu na uzee hisia tu. Haijalishi mashavu yamelegea kiasi gani ukitimiza ndoto watayabusu tu[emoji2089][emoji2089]!
[emoji1374]muwe na Siku Njema[emoji1374]