Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kapeace wasalimie hapo Mbezi umetuliaSamsung simu nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapeace wasalimie hapo Mbezi umetuliaSamsung simu nzuri sana
Shindwaaaa🤣🤣[emoji1787][emoji1787] za kikuu zipooooo auntie zipooo kikubwa si iPhone tu unataka
Itakuja kukuchomea nyumba siku moja hiyo sio simu ni bomu 💣Infinix yangu sasa🙄ila mbona sijatulia
Badala upalilie migomba na kulisha nguruwe unapambania macho matatu nkinki mshiki?Hapa napambana nipate macho matatu, umri nini bana
Mkuu, simu za Google Pixel toleo jipya inaitwaje? Na kwa sasa zinatembea kwa bei gani?Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako
1. IPHONE -watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa Mwanaume anaonekan TAPELI
2. SAMSUNG -Watu wenye hela. kwa Mwanamke anaonekan ANAJIELEWA, Mwanaume anaonekan ANAJIWEZA
3. TECNO, INFINIX na ITEL - Watu wasio jua Simu na Wanapenda Vya Bei rahisi. Pia ni wafata mkumbo. kwa Mwanamke Anaonekan AMETULIA Hana Mambo mengi, Kwa Mwanaume anaonekana BAHILI
4: REDMI, XIAOM, OPPO na VIVO -Watu wanaopenda sifa. kwa Mwanamke anaonekana MCHAPAKAZI, Mwanaume anaonekan MBABE
5. GOOGLE PIXEL - Watu wanaoojua simu. Kwa mwanamke Anaonekan Mvumilivu, kwa Mwanaume anaoneka mtu mwenye MSIMAMAMO
Mwisho
Bila kuhasahau Watumiaji Wa Tekno na infinix Wanaongoza kusindikizana Dukan kwenda Kununua simu zao pendwa, Hii Tabia kwao kama Sheria.
Nimetulia tuliiiiii sitaki shobo😅😅Kapeace wasalimie hapo Mbezi umetulia
hii dharau pro maxItakuja kukuchomea nyumba siku moja hiyo sio simu ni bomu 💣
Hamna wala sina dharau ila hizo simu ni miyeyusho sana tutafute pesa tu hizo sio simu.hii dharau pro max
izo pesa natafutia wapi sasaHamna wala sina dharau ila hizo simu ni miyeyusho sana tutafute pesa tu hizo sio simu.
Duniani kwani wewe upo sayari gani?izo pesa natafutia wapi sasa
Mr Alpha niliomba nione simu yako but you kept kwa yettuoneshe na yako,
just for fun.View attachment 3010249
Nakuona.....hutaki Iphone?Nimetulia tuliiiiii sitaki shobo😅😅
UranusDuniani kwani wewe upo sayari gani?
😄😄😄😄😄😄Uranus
karibu😄😄😄😄😄😄
Ninayo sema naitumia kwa uchache sio wanawake wote tuna shobo nazoNakuona.....hutaki Iphone?
Oh kumbe. Basi sawaNinayo sema naitumia kwa uchache sio wanawake wote tuna shobo nazo
Kwani haiwezekani mkuu?anamiliki yard ya magari then hapo hapo anatumia TECNO kupiga picha hayo magari kweny kuyatangaza mtandaoni???? si kwelii