Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Khaa! Ugonjwa tena?Wala siyo ubahili,ninamfahamu jamaa anamiliki yard ya magari anatumia Tecno wala hana habari.
Huko kushindana kununua simu za gharama kubwa wakati mwengine mtu anaishia kutumia apps zile zile anazotumia mwenye Tecno huwa ni dalili za ugonjwa.