Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

Wala siyo ubahili,ninamfahamu jamaa anamiliki yard ya magari anatumia Tecno wala hana habari.

Huko kushindana kununua simu za gharama kubwa wakati mwengine mtu anaishia kutumia apps zile zile anazotumia mwenye Tecno huwa ni dalili za ugonjwa.
Khaa! Ugonjwa tena?
 
Huu upumbavu umekuanza lini? Kamwone daktar wa Afya ya akili ama tafuta sana kumjua Yesu kwani umepotoka panene.
 
jina lenyewe weed tangu lini ukawa na akili[emoji3525]
Huwezi elewa kama huna D mbili, ila huo utoto na ujinga ujinga achana nao unajidharirisha kila mtu hutumia simu aipendayo ama iliyo ndani ya uwezo wake.
 
Na sisi tunaotumia kiswaswadu cha GUAVA? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika vitu havishughulishi akili yangu ni simu. Ikiwa inatuma inaweza kupiga,kutuma msg za kawaida,whatsapp na kamera sina la zaidi.
 
Back
Top Bottom