Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

Sio kwamba hatuna hela za Iphone ila mimi ni wa sumsumg mpk mwisho wa dahari... 😊 😊 😊
 
No. 1 & 2 umepatia!
 
Samsung natumia naw ni mwaka wa 5 haijawahi kusumbua chochote wala kuchemka kama birika la kahawa
 
Chai
 
Simu haimdefine mtu wengi wetu starehe yetu ni simu ambayo itakupa kile unachokipenda tupo tayari hata tutoe more than M tupaate kitu kizuri lakini hatuishi maisha mazuri kiasi hicho siafiki kununua simu nzuri au mbaya sio kipimo cha maisha bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…