Lightysh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2024
- 434
- 1,551
NakaziaAmeandika ujinga 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaAmeandika ujinga 😂😂
Uchokozi tu 😁Huyo ni brand ambasada wa iphone
Nani kaibiwa huko 🤣🤣
Huoni huo mchata hapo kwa profile yake 🤣
android almost zote now zina camera kubwa nyuma. ni design Tu ileNani kaibiwa huko [emoji1787][emoji1787]
Hiyo brand ni addictive hamjui tu
Nilijaribugi kuhama nikashindwa nikarudi [emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia infinix na tecno zinatoka siku hizi. Wanajaribu kukopi macho ya camera ila wapiiiii
Simu za Redmi zina viwango vya kulinganishwa vya kiwango cha kuingia au masafa ya kati na zina bei ya chini.tofauti ipo kwenye bei. Xiaomi zipo juu zinaanzia 1m mpka 3m. ila redmi inaanzia 200k mpka 800k.