Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

infinix hot 11 play all the way..

naweka bando la 10,000 mwezi mzima
Screenshot_20240606-082614.jpg

nawasha data naingia JF huku nasikiliza muziki saafi

bado chaji inakaa siku 3.

Huu ukweli ni ubahili wa GPA 5.0
 
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako

1:Iphone kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa Mwanaume anaonekan TAPELI

2.Samsung kwa Mwanamke anaonekan ANAJIELEWA, Mwanaume anaonekan ANAJIWEZA

3. Tecno, infinix na Itel: kwa Mwanamke Anaonekan AMETULIA Hana Mambo mengi, Kwa Mwanaume anaonekana BAHILI

4:Redmi, Xiaomi, oppo na Vivo kwa Mwanamke anaonekana MCHAPAKAZI, Mwanaume anaonekan MBABE

5.Google pixel:Kwa mwanamke Anaonekan Mvumilivu, kwa Mwanaume anaoneka mtu mwenye MSIMAMAMO
I disagree
 
infinix hot 11 play all the way..

naweka bando la 10,000 mwezi mzima
View attachment 3009818
nawasha data naingia JF huku nasikiliza muziki saafi

bado chaji inakaa siku 3.

Huu ukweli ni ubahili wa GPA 5.0
android version Yake ngapi. maana now tupo version ya 14. sizani kama umefika uko
 
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako

1:Iphone kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa Mwanaume anaonekan TAPELI

2.Samsung kwa Mwanamke anaonekan ANAJIELEWA, Mwanaume anaonekan ANAJIWEZA

3. Tecno, infinix na Itel: kwa Mwanamke Anaonekan AMETULIA Hana Mambo mengi, Kwa Mwanaume anaonekana BAHILI

4:Redmi, Xiaomi, oppo na Vivo kwa Mwanamke anaonekana MCHAPAKAZI, Mwanaume anaonekan MBABE

5.Google pixel:Kwa mwanamke Anaonekan Mvumilivu, kwa Mwanaume anaoneka mtu mwenye MSIMAMAMO
Namba 1 na 2 ndio simu.
Wengine wote ni wasaidizi wa simu...

Yani ukiwa na Iphone inabidi uwe na simu ya backup incase umepata issue au ukiwa na samsumg s24 inabidi uwe msaidizi incase...

Halafu 1 na 2 kuna hizi simu latest huwezi group na matoleo mengine.
Mfano samsung s series hawezi kaa meza moja na samsung A series.

Mtu anatumia Iphone Xs au X hawezi kaa meza moja na Iphone 12-15....

Anyway nilitaka kusema natumia smart kitochi...
 
Yani ukiwa na Iphone inabidi uwe na simu ya backup incase umepata issue au ukiwa na samsumg s24 inabidi uwe msaidizi incase...
Nina Samsung haina msaidizi. Nimeitumia muda sasa.
Halafu 1 na 2 kuna hizi simu latest huwezi group na matoleo mengine.
Mfano samsung s series hawezi kaa meza moja na samsung A series.
Tunakaa tu na hakuna lolote. No one cares, hakuna hichi kitu. Kama kipo basi kinayemkuta kazungukwa na watu wa kipekee sana.
 
Sony hazisemwi lakini wanatumia wachache na accessories zake kupata bongo mtihani
Dunia ya sasa siyo ya kuogopa kununua kitu kwa kuogopa upatikanaji wa vifaa vyake,ukizama AliExpress via Caniao wiki tu mzigo wako upo mkononi.
 
Dunia ya sasa siyo ya kuogopa kununua kitu kwa kuogopa upatikanaji wa vifaa vyake,ukizama AliExpress via Caniao wiki tu mzigo wako upo mkononi.
kwa simu ni wastage of time kusubiri week spare ifike, simu sio gari
 
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako

1:IPHONE-watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa Mwanaume anaonekan TAPELI

2.SAMSUNG-Watu wenye hela. kwa Mwanamke anaonekan ANAJIELEWA, Mwanaume anaonekan ANAJIWEZA

3. TECNO, INFINIX na ITEL-Watu wasio jua Simu na Wanapenda Vya Bei rahisi. Pia ni wafata mkumbo. kwa Mwanamke Anaonekan AMETULIA Hana Mambo mengi, Kwa Mwanaume anaonekana BAHILI

4:REDMI, XIAOM, OPPO na VIVO-Watu wanaopenda sifa. kwa Mwanamke anaonekana MCHAPAKAZI, Mwanaume anaonekan MBABE

5.GOOGLE PIXEL-Watu wanaoojua simu. Kwa mwanamke Anaonekan Mvumilivu, kwa Mwanaume anaoneka mtu mwenye MSIMAMAMO

Mwisho
Bila kuhasahau Watumiaji Wa Tekno na infinix Wanaongoza kusindikizana Dukan kwenda Kununua simu zao pendwa, Hii Tabia kwao kama Sheria.
Unafaham Mkuu wako wa nchi anatumia simu ya aina gani?
 
Back
Top Bottom