Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Huyo usimwamini sana Auntie...
Akili zake si unazijua[emoji1]
[emoji1787][emoji1787] yupo na iPhone 15 pro max anajizima data
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo usimwamini sana Auntie...
Akili zake si unazijua[emoji1]
Una simu ya laki 5 halafu unatumia kuchat whatsapp, kuangalia movie na kusoma umbea kwenye social media.Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako
1:IPHONE-watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa Mwanaume anaonekan TAPELI
2.SAMSUNG-Watu wenye hela. kwa Mwanamke anaonekan ANAJIELEWA, Mwanaume anaonekan ANAJIWEZA
3. TECNO, INFINIX na ITEL-Watu wasio jua Simu na Wanapenda Vya Bei rahisi. Pia ni wafata mkumbo. kwa Mwanamke Anaonekan AMETULIA Hana Mambo mengi, Kwa Mwanaume anaonekana BAHILI
4:REDMI, XIAOM, OPPO na VIVO-Watu wanaopenda sifa. kwa Mwanamke anaonekana MCHAPAKAZI, Mwanaume anaonekan MBABE
5.GOOGLE PIXEL-Watu wanaoojua simu. Kwa mwanamke Anaonekan Mvumilivu, kwa Mwanaume anaoneka mtu mwenye MSIMAMAMO
Mwisho
Bila kuhasahau Watumiaji Wa Tekno na infinix Wanaongoza kusindikizana Dukan kwenda Kununua simu zao pendwa, Hii Tabia kwao kama Sheria.
anamiliki yard ya magari then hapo hapo anatumia TECNO kupiga picha hayo magari kweny kuyatangaza mtandaoni???? si kweliiWala siyo ubahili,ninamfahamu jamaa anamiliki yard ya magari anatumia Tecno wala hana habari.
Huko kushindana kununua simu za gharama kubwa wakati mwengine mtu anaishia kutumia apps zile zile anazotumia mwenye Tecno huwa ni dalili za ugonjwa.
Hapa uongo,, wanawake wengi wa kundi hili wamehongwa, tena anajiweka kwa jamaa anaeona anaweza kumnunulia simu.3. TECNO, INFINIX na ITEL-Watu wasio jua Simu na Wanapenda Vya Bei rahisi. Pia ni wafata mkumbo. kwa Mwanamke Anaonekan AMETULIA Hana Mambo mengi, Kwa Mwanaume anaonekana BAHILI
usifananishe performance ya simu ya laki tano 500k na simu ya milion 3. ni tofauti Sana kweny utendaji wakeUna simu ya laki 5 halafu unatumia kuchat whatsapp, kuangalia movie na kusoma umbea kwenye social media.
Hapo na wewe unajiona una akili
Kwa sasa ina range kwenye chapaa ngapi hii?Samsung Galaxy S24 Ultra
Ni kweli.usifananishe performance ya simu ya laki tano 500k na simu ya milion 3. ni tofauti Sana kweny utendaji wake
Bei imechangamka3.2 m
Watu wa aifoni za kikuu🤣🤣Utapeli wangu nini auntie na nipo no 5 hapo [emoji2960]
🤣🤣🤣🤣 Ili niwe tapeli!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ebu tufanye mnunulie
Ndiyo manake😅😅😅[emoji1787][emoji1787] yupo na iPhone 15 pro max anajizima data
Weeeeh! Nategemewa na Taifa ujue!Huyo usimwamini sana Auntie...
Akili zake si unazijua😄
Hiyo ndio inauzwa milioni ngapi? Yaani milioni kabisaa ninunue simu🙆🙆🙆[emoji1787][emoji1787] yupo na iPhone 15 pro max anajizima data
Inategemea series gani maana, hizi Au series ni kama infinix tuSamsung simu nzuri sana