Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

Zifuatazo ni Simu zinazoweza Kukutambulisha Wewe ni mtu wa aina gani

Ni kweli.
Ila unanunua simu kwa mahitaji gani?
Unanunua simu ya milion 3 kisa perfomarnce ya kuangalia video tiktok na kusoma umbea kwenye mitandao ya kijamii halafu ndani kwako hauna laptop na una tv nchi 24. Sabufa yenyewe una aborder ya 70k.
Pesa...pesa....pesa...tafuta pesa uondokane na hizo mentality za kishamba na kichawi.
 
Pesa...pesa....pesa...tafuta pesa uondokane na hizo mentality za kishamba na kichawi.
Ni sawa ila huo ujinga wa kununua simu ya milioni 3 halafu unachatia tiktok. Hapana
Kuna jamaa alikuwa kama wewe, alipopata pesa. Akawa anakodisha tax mbili kwenda bar.
Moja anapanda yeye na tax nyingine anaweka koti lake. Watu walipomshauri aliwaambia "tafuta hela kaka, achana na mentality za kishamba na kichawi"
 
Ni sawa ila huo ujinga wa kununua simu ya milioni 3 halafu unachatia tiktok. Hapana
Kuna jamaa alikuwa kama wewe, alipopata pesa. Akawa anakodisha tax mbili kwenda bar.
Moja anapanda yeye na tax nyingine anaweka koti lake. Watu walipomshauri aliwaambia "tafuta hela kaka, achana na mentality za kishamba na kichawi"
Narudia tena tafuta pesa tafuta pesa tafuta pesa.... una mentality za kimasikini na kishamba sana. Tafuta pesa uone utamu wa kutumia high-end phones!
 
anamiliki yard ya magari then hapo hapo anatumia TECNO kupiga picha hayo magari kweny kuyatangaza mtandaoni???? si kwelii
Siyo kazi yangu kukuaminisha,so ni kusema wote wanaofanya biashara mitandaoni na wakafanikiwa kushawishi wateja na wenyewe wanatumia simu za 1+mill?

Labda kama sijakuelewa
 
Siyo kazi yangu kukuaminisha,so ni kusema wote wanaofanya biashara mitandaoni na wakafanikiwa kushawishi wateja na wenyewe wanatumia simu za 1+mill?

Labda kama sijakuelewa
Kwenye biashara, especially mtandaoni tumia simu nzuri/camera nzuri iweze kuvutia mwonekano WA product unazouza
 
Back
Top Bottom