Zijue aina za pombe za makabila ya Tanzania

Zijue aina za pombe za makabila ya Tanzania

rr4

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
3,797
Reaction score
5,510
Nimekaa nikawaza kuwa Serikali inaweza kabisa ikapiga ban pombe toka nje ya nchi na kuweka mkazo kwenye local brew zetu huenda na sisi tungeuza nje.

Tatizo tunadharau vya kwetu, haya mawine na mawhisky toka nje napo yalipotoka yametengenezwa na watu au familia fulani na kupewa uzito na serikali zao, bila hivo yangekuwa local tu huko yalipotoka na yasingefika huku.

Tanzania tuna makabila mengi na kila kabila lina pombe yake. Tuzienzi na kuzikuza ili tuweze kuexport na kupata extra income.

1. Tanga - Mnazi

2. Warangi - Choya na udo

3. Wachaga - Mbege

4. Wapare - Denge

5. Wahehe - Ulanzi

6. Makabila yote - Gongo

----------------------------------
Baadhi ya Michango

Huko kwetu SONGEA local brews ni nying sana kama;

Kimpumu
Mbege
Ulanzi
Komoni
M-yakaya
Sawani
Wanzuki

Wale wakazi Wa kipande hiki thumbs up ongezeni nilichosahau hasa wakazi Wa Peramiho, Magagura, Mpitimbi, Namtumbo, Mbinga, Nyasa na Liganga


Sent using Jamii Forums mobile app


Gongo na Wanzuki A.k.a Nyuki ndani ya sukuma Land[emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app

Wapogoro - Tekawima

Kule kwetu Newala kuna ulaka, Gongo, tembo n.k

Sent using Jamii Forums mobile app

Kayoga- kigoma
Gwagwa - kagera
Ndimasi - kagera
 
Idea nzuri wazia Bill Gates anarudi kwake kisha anakaribishwa Togwa au Pingu ile ukinywa lazima suruali uibane iwe kanyelamumo ili ukijin''yea MAVItuzi yabaki humo yasitoke yakatusumbua wengine.
 
  • Kicheko
Reactions: rr4
Back
Top Bottom