GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Serena yenyewe ni jina la mbegu/aina ya mtama. Hata ugogoni ipoNi pombe inatengenezwa kwa mtama
Pombe za makao makuu ya Nchi kwa kina Matonya (siyo Urangi)
Kangara
Choya(Hii inatengenezwa kwa Rozella tamu sana)
Mtama
..........
Gongo/Pyua/Cham(Hii nadhani ni Pombe ya Taifa kila sehem ipo)