Zijue aina za pombe za makabila ya Tanzania

Zijue aina za pombe za makabila ya Tanzania

kawoli,
Sio gongo hiyo.. Ulaka inatokana na maji/Juice ya Mabibo ya Korosho yakiwa tayari yameiva kwa kuliwa. Yanakamuliwa kupata hayo maji yake/juice, yanawekwa juani kwa siku 3 had 5, au wanaongeza hamira/yeasts kuharakisha process ndo unapata hiyo pombe.
 
Naona nyingi ni universal kutokana na malighafi kufanana.

Common,Gongo,Wanzuki,Kindi,Lubisi hadi Kabanana zinapatikana usukumani nowadays.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Serena yenyewe ni jina la mbegu/aina ya mtama. Hata ugogoni ipo

Pombe za makao makuu ya Nchi kwa kina Matonya (siyo Urangi)

Kangara
Choya(Hii inatengenezwa kwa Rozella tamu sana)
Mtama
..........
Gongo/Pyua/Cham(Hii nadhani ni Pombe ya Taifa kila sehem ipo)
Gongo la kule kwetu wanachanganya na Mavi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila JINA KOMONI UKILIBRAND VIZURI POMBE YAKO ITAUZA SANA YAANI LINASAUNDI VIZURI KINYWANI NA LINAVUTIA KIBIASHARA.

Hbu fikiria chupa kama ya Serengeti imepigwa chata imeandikwa komon kwa mandiko flani hivi
 
Ila JINA KOMONI UKILIBRAND VIZURI POMBE YAKO ITAUZA SANA YAANI LINASAUNDI VIZURI KINYWANI NA LINAVUTIA KIBIASHARA.

Hbu fikiria chupa kama ya Serengeti imepigwa chata imeandikwa komon kwa mandiko flani hivi
Komoni nimeikuta Tanga ...... Ni Kama Dadii huku kwetu Moshi
 
Nimekaa nikawaza kuwa Serikali inaweza kabisa ikapiga ban pombe toka nje ya nchi na kuweka mkazo kwenye local brew zetu huenda na sisi tungeuza nje.

Tatizo tunadharau vya kwetu, haya mawine na mawhisky toka nje napo yalipotoka yametengenezwa na watu au familia fulani na kupewa uzito na serikali zao, bila hivo yangekuwa local tu huko yalipotoka na yasingefika huku.

Tanzania tuna makabila mengi na kila kabila lina pombe yake. Tuzienzi na kuzikuza ili tuweze kuexport na kupata extra income.

1. Tanga - Mnazi

2. Warangi - Choya na udo

3. Wachaga - Mbege

4. Wapare - Denge

5. Wahehe - Ulanzi

6. Makabila yote - Gongo
Kwa Tanga ongezea na boha pombe yetu ya miwa mkuu
 
Back
Top Bottom