Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia nyanda za juu kusini ndo tabia yao....Mtu anapiga mpaka ekari nzima mtoto kauchapa. Hahahaha!Huo ulanzi muache kuwapa watoto ili walale
Huwa nikiona mwandiko wako mapigo ya mbio yanakwenda moyoNdio ndio we mzee
Ulaka ukianikwa juani kama siku 2 hivi kulewa ni kugusa tu.Peramiho yetu, Tunduru kule Kuna ulaka, sijui ndio gongo ya mabibo ya korosho nadhani
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamanii sema kweli we mzeeHuwa nikiona mwandiko wako mapigo ya mbio yanakwenda moyo
Acha tu.Jamanii sema kweli we mzee
Togwa sio Pombe
Mbona ipo wazi hiyo pm jamaniAcha tu.
Fungua basi Pm angalau nipoze roho
Inatakiwa walale ili tulime mpenziHuo ulanzi muache kuwapa watoto ili walale
Hapa tuko pamoja
Si mna magung'wamva sina uhakika na jinsi inavoandikwaHivi wasukuma na wanyamwezi tuna pombe gani?
Ki kwetu gongo inaitwa Inguli / kanyangaNimekaa nikawaza kuwa Serikali inaweza kabisa ikapiga ban pombe toka nje ya nchi na kuweka mkazo kwenye local brew zetu huenda na sisi tungeuza nje.
Tatizo tunadharau vya kwetu, haya mawine na mawhisky toka nje napo yalipotoka yametengenezwa na watu au familia fulani na kupewa uzito na serikali zao, bila hivo yangekuwa local tu huko yalipotoka na yasingefika huku.
Tanzania tuna makabila mengi na kila kabila lina pombe yake. Tuzienzi na kuzikuza ili tuweze kuexport na kupata extra income.
1. Tanga - Mnazi
2. Warangi - Choya na udo
3. Wachaga - Mbege
4. Wapare - Denge
5. Wahehe - Ulanzi
6. Makabila yote - Gongo
kangara ni pombe inayo tengenezwa na mtama pamoja na asaliWahehe..