Zijue aina za pombe za makabila ya Tanzania

Zijue aina za pombe za makabila ya Tanzania

Usiombe choya ikachanganywa na Asali ni tamu balaa pia inalewesha Sana
hapa Warangi na Wasi (Waalagwa) wanaelewa ninacho kisema
Pia Pombe ya Udo, ila tatizo la Pombe ya Udo inaharufu mbaya pia haileweshi haraka

NB: Mimi siyo mtumiaji wa Pombe
 
Nimekaa nikawaza kuwa Serikali inaweza kabisa ikapiga ban pombe toka nje ya nchi na kuweka mkazo kwenye local brew zetu huenda na sisi tungeuza nje.

Tatizo tunadharau vya kwetu, haya mawine na mawhisky toka nje napo yalipotoka yametengenezwa na watu au familia fulani na kupewa uzito na serikali zao, bila hivo yangekuwa local tu huko yalipotoka na yasingefika huku.

Tanzania tuna makabila mengi na kila kabila lina pombe yake. Tuzienzi na kuzikuza ili tuweze kuexport na kupata extra income.

1. Tanga - Mnazi

2. Warangi - Choya na udo

3. Wachaga - Mbege

4. Wapare - Denge

5. Wahehe - Ulanzi

6. Makabila yote - Gongo
Gongo ya wakurya bob

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekaa nikawaza kuwa Serikali inaweza kabisa ikapiga ban pombe toka nje ya nchi na kuweka mkazo kwenye local brew zetu huenda na sisi tungeuza nje.

Tatizo tunadharau vya kwetu, haya mawine na mawhisky toka nje napo yalipotoka yametengenezwa na watu au familia fulani na kupewa uzito na serikali zao, bila hivo yangekuwa local tu huko yalipotoka na yasingefika huku.

Tanzania tuna makabila mengi na kila kabila lina pombe yake. Tuzienzi na kuzikuza ili tuweze kuexport na kupata extra income.

1. Tanga - Mnazi

2. Warangi - Choya na udo

3. Wachaga - Mbege

4. Wapare - Denge

5. Wahehe - Ulanzi

6. Makabila yote - Gongo

----------------------------------
Baadhi ya Michango
Huu Udo wa warangi nitaupata wapi hapa Arusha?
 
Back
Top Bottom