Serena yenyewe ni jina la mbegu/aina ya mtama. Hata ugogoni ipoNi pombe inatengenezwa kwa mtama
aisee niliwahi kuonja ila nilipata kiungulia balaaaKangara ni pombe ya kabila gani?
Gongo la kule kwetu wanachanganya na MaviSerena yenyewe ni jina la mbegu/aina ya mtama. Hata ugogoni ipo
Pombe za makao makuu ya Nchi kwa kina Matonya (siyo Urangi)
Kangara
Choya(Hii inatengenezwa kwa Rozella tamu sana)
Mtama
..........
Gongo/Pyua/Cham(Hii nadhani ni Pombe ya Taifa kila sehem ipo)
Komoni nimeikuta Tanga ...... Ni Kama Dadii huku kwetu MoshiIla JINA KOMONI UKILIBRAND VIZURI POMBE YAKO ITAUZA SANA YAANI LINASAUNDI VIZURI KINYWANI NA LINAVUTIA KIBIASHARA.
Hbu fikiria chupa kama ya Serengeti imepigwa chata imeandikwa komon kwa mandiko flani hivi
WagogoKangara ni pombe ya kabila gani?
[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa
Kwa Tanga ongezea na boha pombe yetu ya miwa mkuuNimekaa nikawaza kuwa Serikali inaweza kabisa ikapiga ban pombe toka nje ya nchi na kuweka mkazo kwenye local brew zetu huenda na sisi tungeuza nje.
Tatizo tunadharau vya kwetu, haya mawine na mawhisky toka nje napo yalipotoka yametengenezwa na watu au familia fulani na kupewa uzito na serikali zao, bila hivo yangekuwa local tu huko yalipotoka na yasingefika huku.
Tanzania tuna makabila mengi na kila kabila lina pombe yake. Tuzienzi na kuzikuza ili tuweze kuexport na kupata extra income.
1. Tanga - Mnazi
2. Warangi - Choya na udo
3. Wachaga - Mbege
4. Wapare - Denge
5. Wahehe - Ulanzi
6. Makabila yote - Gongo
Ndo maana huwa macho yako yanalegea kila wikend!!!Kwa Tanga ongezea na boha pombe yetu ya miwa mkuu
Ndio ndio we mzeeNdo maana huwa macho yako yanalegea kila wikend!!!