Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Bakhresa yuko wapi hapo
 
Mie naomba unipe connection ya utajiri wa kupunguza nguvu. Nipo tayari kuwapa pumbu yangu moja...mtu mwenyewe mie nikitomba sana dakika mbili so wanaweza ichukua hiyo moja nibaki moja ni mzee wa dakika moja baadala ya dakika mbili
Ukitoa Moja siku Mganga atakwambia malizia nyingine then baada ya hapo utapakatwa na wafanyakazi wako.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Ukitoa Moja siku Mganga atakwambia malizia nyingine then baada ya hapo utapakatwa na wafanyakazi wako.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Eeh watoe pumbuz zote mbili tena hiyo sii balaaa.🤣🤣🤣🤣
Ila hawa waganga hawachelewi kukwambia na hiyo ilibaki inatakiwa 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naomba unitag kwenye huo uzi
 
Angalia pm itakuwa imejaa
 
Hapo ndo utajua ujinga wa imani za uchawi.

Uchawi ungekuwa upo kweli, Waafrika tusingetawaliwa kama tunavyotawaliwa.

Maana sisi tumeshikilia sana imani za uchawi.

Wakati wenzetu wameshikilia sayansi, teknolojia na uchumi.
Kuheshima fikra, mitazamo na mawazo ya watu ni ishara ya mtu mwenye elimu.

Ila kwako inatia mashaka maana unathubutu kuita mitizamo ya watu ni ujinga, kuwa mstaarabu na heshimu mitizamo ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…