siku hizi nimeona kuna trend ya watu wazima tena wenye akili timamu, kulawiti watoto wao.Boss mimi siaminii kabisa ila Nina jamaa zangu ni walozi ile mbaya[emoji3]
Hapana ni ushauri tu[emoji23]Unaonekana unazipenda hizo pesa eenhee,kuwa na ukaribu nao uwone watakacho kufanya
Dogmatic conformity and pathological ignorance are sadly a commonplace in our society!Si overconfidence kama mmeshindwa kuniroga, wewe unayeamini uchawi unaweza kuona overconfidence.
Mimi nisiyeamini uchawi naona logic tu.
Hakuna uchawi, sasa niogope utaniroga kwa uchawi ambao haupo?
cc Nyani Ngabu come see your ignorant countrymen living in medieval mediocrity in the age of the internet!
Jua kanyoka kakifa nawe umekwenda
Fafanua zaidi ndugu yangu. Damu ya viumbe gani wanatumia na hizo hela unazipataje na je zina masharti ya kutumia?Mkuu hapa umeuma nje ,inategemea kopera ni WA mbinu gani ,wapo aina saba Ila tatu ndo muhimu Sana :
1: Kuna wakutengezwa na miti shamba
2: wa talasimu
3: huyu unamtengeza kichawi kutumia duara
Wa pili na tatu wanaiba siyo chini ya millioni hamsini kwa wiki .
Ila utafuga mifugo wanakunywa damu hatari Sana
Na ukichoka naye hasa watatu unamtupa kwenye maji yenye kina kirefu na Mali unabaki nayo bila bughudha
Lazima dishi liyumbe famasihala nini
Mkuu kuamini wewe uchawi haupo haufanyi usiwepo that is the construct of your mind(your wish full thinking) have nothing to do with presence of witchcraft.Dogmatic conformity and pathological ignorance are sadly a commonplace in our society!
This is the age of the information superhighway. You would think there would be a significant decline in the number of people who believe in sorcery and black magic. But seemingly, that’s not the case.
Instead of using the internet as a tool for eradicating ignorance, it is used to spread it! The irony!
Sometimes I feel like I’m the only one left
in Simiyu who doesn’t believe in that bullshit. The only other person being my late pops.
What hope is there when we just had a president [in Magufuli], and a scientist at that, who openly believed in that bullshit?
Natafuta utajiri wa kuangalia porn nikiangalia nipate utajiriTembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.
👉Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila
👉Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara
👉Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.
👉Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.
👉Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.
👉Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba
👉Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri
👉Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka🤣🤣.
👉Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe😀😀 ibilisi anakuchagulia
Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.
Nawasilisha.
Wether it's true or not who cares?Dogmatic conformity and pathological ignorance are sadly a commonplace in our society!
This is the age of the information superhighway. You would think there would be a significant decline in the number of people who believe in sorcery and black magic. But seemingly, that’s not the case.
Instead of using the internet as a tool for eradicating ignorance, it is used to spread it! The irony!
Sometimes I feel like I’m the only one left
in Simiyu who doesn’t believe in that bullshit. The only other person being my late pops.
What hope is there when we just had a president [in Magufuli], and a scientist at that, who openly believed in that bullshit?
Na mabasiHuo wa kuua wafanyakazi naona unakuja kuwa fashion Sana....
Na nyie mmekosa kazi mnajibunia tu Mambo.Yasikie kwa watu tu mkuu. Ila kuna ukweli ndani yake kwa sababu ukifuatilia hakuna ndoa wala harufu ya mdoa kwa huyo msanii.
Muelezee basiBro Mimi namjua a to z mwanawane
Ila sii lazima uniamini
Alizaliwa 1977 mama yake alikufa alivyokuwa mdogo sana hivyo hakumkuta alimaliza form 4 1996 ila akaamua kumtumikia Mungu hivyo 1997 akawa muumini wa pastor maboya mpaka 2001 ambapo maboya alimtaka akafungue kanisa lake ila alikuwa hana capital maza angu akamsaidia 2001 maana walikuwa wanajuana akaenda moshi kuanzisha kidogo ki huduma chake sema hakikua vizuri kilichukua muda kuwa strong akawa anahuburi sokoni 2007 alioa muajiriwa wa bank bibi yangu alimsaidia kwenye harusi 2008 akapata mtoto wake wa kike wapekee ila kwavile alikuwa hana hela huyo mdada akamuacha wakatalikiana 2010Muelezee basi
Aisee,yaelekea unamjua haswaAlizaliwa 1977 mama yake alikufa alivyokuwa mdogo sana hivyo hakumkuta alimaliza form 4 1996 ila akaamua kumtumikia Mungu hivyo 1997 akawa muumini wa pastor maboya mpaka 2001 ambapo maboya alimtaka akafungue kanisa lake ila alikuwa hana capital maza angu akamsaidia 2001 maana walikuwa wanajuana akaenda moshi kuanzisha kidogo ki huduma chake sema hakikua vizuri kilichukua muda kuwa strong akawa anahuburi sokoni 2007 alioa muajiriwa wa bank bibi yangu alimsaidia kwenye harusi 2008 akapata mtoto wake wa kike wapekee ila kwavile alikuwa hana hela huyo mdada akamuacha wakatalikiana 2010
Kipindi chote hicho bado mshkaji hajapata upako ila 2016 ndo huduma ikawa kubwa enzi za magu akamtupa kawe na alikuwa anamuombea sana janet magufuli alikuwa hata halipi kodi enzi hizo nilivyosikia
Hivyo from 2016 to know huduma yake ikazidi kumea tu ila 2020 unakumbuka kile kisanga chake cha kule moshi ila Mungu alimshikilia tu mkono akamvusha
Na saizi kwa mwaka jana ile huduma yake ya mikoani sadaki inaingia 500m per week ya jpili bado zile za kutumiwa mpesa na huduma zingine zingine
Mwaka mpya pale uwanja wa taifa aliingiza 4B usiku mmoja
Ila jamaa ni mtu wa Mungu kabisa sema katokea jalalani
Mkuuuu haikuwa rahisi
Any more questions ?
jamanii poleeeeYaani hapa ninaposoma huu Uzi Moyo wangu unavuja damu!naandika nafuta!pesa hizi!
Apostle Kuna muujiza hukuAlizaliwa 1977 mama yake alikufa alivyokuwa mdogo sana hivyo hakumkuta alimaliza form 4 1996 ila akaamua kumtumikia Mungu hivyo 1997 akawa muumini wa pastor maboya mpaka 2001 ambapo maboya alimtaka akafungue kanisa lake ila alikuwa hana capital maza angu akamsaidia 2001 maana walikuwa wanajuana akaenda moshi kuanzisha kidogo ki huduma chake sema hakikua vizuri kilichukua muda kuwa strong akawa anahuburi sokoni 2007 alioa muajiriwa wa bank bibi yangu alimsaidia kwenye harusi 2008 akapata mtoto wake wa kike wapekee ila kwavile alikuwa hana hela huyo mdada akamuacha wakatalikiana 2010
Kipindi chote hicho bado mshkaji hajapata upako ila 2016 ndo huduma ikawa kubwa enzi za magu akamtupa kawe na alikuwa anamuombea sana janet magufuli alikuwa hata halipi kodi enzi hizo nilivyosikia
Hivyo from 2016 to know huduma yake ikazidi kumea tu ila 2020 unakumbuka kile kisanga chake cha kule moshi ila Mungu alimshikilia tu mkono akamvusha
Na saizi kwa mwaka jana ile huduma yake ya mikoani sadaki inaingia 500m per week ya jpili bado zile za kutumiwa mpesa na huduma zingine zingine
Mwaka mpya pale uwanja wa taifa aliingiza 4B usiku mmoja
Ila jamaa ni mtu wa Mungu kabisa sema katokea jalalani
Mkuuuu haikuwa rahisi
Any more questions ?
Mi namwambia mshkaji anadhani namtania au ni chai na jamaa ana investment kama 13 hivi za maana hapa bongo acha ile hotel yake ya mbeya kaiweka public sana kuna zingine zipo undergroundAisee,yaelekea unamjua haswa