Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Boss mimi siaminii kabisa ila Nina jamaa zangu ni walozi ile mbaya[emoji3]
siku hizi nimeona kuna trend ya watu wazima tena wenye akili timamu, kulawiti watoto wao.

vipi hii mleta mada,haipo kwenye orodha ya kafara za kutafuta utajiri?.

juzijuzi tu hapa huko arusha, baba kalawiti kitoto chake kivulana cha miaka saba, mpaka waziri mkuu majaliwa kazungumzia.

wakati natazama hii habari kweye TV, nilipatwa na hasira sana kuhusu huyo baba. laiti ningekuwa sehemu ya askari wa magereza, nisingesubiri kesi iishe, ningefanya mpango wa kumuulia mbali akiwa mahabusu, na ningemuua kwa mateso makubwa sana.
 
Si overconfidence kama mmeshindwa kuniroga, wewe unayeamini uchawi unaweza kuona overconfidence.

Mimi nisiyeamini uchawi naona logic tu.

Hakuna uchawi, sasa niogope utaniroga kwa uchawi ambao haupo?

cc Nyani Ngabu come see your ignorant countrymen living in medieval mediocrity in the age of the internet!
Dogmatic conformity and pathological ignorance are sadly a commonplace in our society!

This is the age of the information superhighway. You would think there would be a significant decline in the number of people who believe in sorcery and black magic. But seemingly, that’s not the case.

Instead of using the internet as a tool for eradicating ignorance, it is used to spread it! The irony!

Sometimes I feel like I’m the only one left
in Simiyu who doesn’t believe in that bullshit. The only other person being my late pops.

What hope is there when we just had a president [in Magufuli], and a scientist at that, who openly believed in that bullshit?
 
Mkuu hapa umeuma nje ,inategemea kopera ni WA mbinu gani ,wapo aina saba Ila tatu ndo muhimu Sana :
1: Kuna wakutengezwa na miti shamba
2: wa talasimu
3: huyu unamtengeza kichawi kutumia duara
Wa pili na tatu wanaiba siyo chini ya millioni hamsini kwa wiki .
Ila utafuga mifugo wanakunywa damu hatari Sana
Na ukichoka naye hasa watatu unamtupa kwenye maji yenye kina kirefu na Mali unabaki nayo bila bughudha
Fafanua zaidi ndugu yangu. Damu ya viumbe gani wanatumia na hizo hela unazipataje na je zina masharti ya kutumia?
 
Dogmatic conformity and pathological ignorance are sadly a commonplace in our society!

This is the age of the information superhighway. You would think there would be a significant decline in the number of people who believe in sorcery and black magic. But seemingly, that’s not the case.

Instead of using the internet as a tool for eradicating ignorance, it is used to spread it! The irony!

Sometimes I feel like I’m the only one left
in Simiyu who doesn’t believe in that bullshit. The only other person being my late pops.

What hope is there when we just had a president [in Magufuli], and a scientist at that, who openly believed in that bullshit?
Mkuu kuamini wewe uchawi haupo haufanyi usiwepo that is the construct of your mind(your wish full thinking) have nothing to do with presence of witchcraft.
Na mtu anaposema uchawi upo haimaanishi ni muumini wa ushirikina kwamba anautumia.
Ni mara ngapi watu wanapelekwa hizo hospitali wanaishia kuambiwa watufte njia mbadala kutoka kwa hao wanasayansi matabibu wa hospitali!?Huko ulaya mna uhakika gani hawaamini katika uchawi!!
 
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.

👉Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila

👉Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara

👉Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.

👉Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.

👉Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.

👉Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba

👉Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri

👉Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka🤣🤣.

👉Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe😀😀 ibilisi anakuchagulia

Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.

Nawasilisha.
Natafuta utajiri wa kuangalia porn nikiangalia nipate utajiri
 
Dogmatic conformity and pathological ignorance are sadly a commonplace in our society!

This is the age of the information superhighway. You would think there would be a significant decline in the number of people who believe in sorcery and black magic. But seemingly, that’s not the case.

Instead of using the internet as a tool for eradicating ignorance, it is used to spread it! The irony!

Sometimes I feel like I’m the only one left
in Simiyu who doesn’t believe in that bullshit. The only other person being my late pops.

What hope is there when we just had a president [in Magufuli], and a scientist at that, who openly believed in that bullshit?
Wether it's true or not who cares?
 
Muelezee basi
Alizaliwa 1977 mama yake alikufa alivyokuwa mdogo sana hivyo hakumkuta alimaliza form 4 1996 ila akaamua kumtumikia Mungu hivyo 1997 akawa muumini wa pastor maboya mpaka 2001 ambapo maboya alimtaka akafungue kanisa lake ila alikuwa hana capital maza angu akamsaidia 2001 maana walikuwa wanajuana akaenda moshi kuanzisha kidogo ki huduma chake sema hakikua vizuri kilichukua muda kuwa strong akawa anahuburi sokoni 2007 alioa muajiriwa wa bank bibi yangu alimsaidia kwenye harusi 2008 akapata mtoto wake wa kike wapekee ila kwavile alikuwa hana hela huyo mdada akamuacha wakatalikiana 2010

Kipindi chote hicho bado mshkaji hajapata upako ila 2016 ndo huduma ikawa kubwa enzi za magu akamtupa kawe na alikuwa anamuombea sana janet magufuli alikuwa hata halipi kodi enzi hizo nilivyosikia

Hivyo from 2016 to know huduma yake ikazidi kumea tu ila 2020 unakumbuka kile kisanga chake cha kule moshi ila Mungu alimshikilia tu mkono akamvusha

Na saizi kwa mwaka jana ile huduma yake ya mikoani sadaki inaingia 500m per week ya jpili bado zile za kutumiwa mpesa na huduma zingine zingine

Mwaka mpya pale uwanja wa taifa aliingiza 4B usiku mmoja

Ila jamaa ni mtu wa Mungu kabisa sema katokea jalalani

Mkuuuu haikuwa rahisi
Any more questions ?
 
Alizaliwa 1977 mama yake alikufa alivyokuwa mdogo sana hivyo hakumkuta alimaliza form 4 1996 ila akaamua kumtumikia Mungu hivyo 1997 akawa muumini wa pastor maboya mpaka 2001 ambapo maboya alimtaka akafungue kanisa lake ila alikuwa hana capital maza angu akamsaidia 2001 maana walikuwa wanajuana akaenda moshi kuanzisha kidogo ki huduma chake sema hakikua vizuri kilichukua muda kuwa strong akawa anahuburi sokoni 2007 alioa muajiriwa wa bank bibi yangu alimsaidia kwenye harusi 2008 akapata mtoto wake wa kike wapekee ila kwavile alikuwa hana hela huyo mdada akamuacha wakatalikiana 2010

Kipindi chote hicho bado mshkaji hajapata upako ila 2016 ndo huduma ikawa kubwa enzi za magu akamtupa kawe na alikuwa anamuombea sana janet magufuli alikuwa hata halipi kodi enzi hizo nilivyosikia

Hivyo from 2016 to know huduma yake ikazidi kumea tu ila 2020 unakumbuka kile kisanga chake cha kule moshi ila Mungu alimshikilia tu mkono akamvusha

Na saizi kwa mwaka jana ile huduma yake ya mikoani sadaki inaingia 500m per week ya jpili bado zile za kutumiwa mpesa na huduma zingine zingine

Mwaka mpya pale uwanja wa taifa aliingiza 4B usiku mmoja

Ila jamaa ni mtu wa Mungu kabisa sema katokea jalalani

Mkuuuu haikuwa rahisi
Any more questions ?
Aisee,yaelekea unamjua haswa
 
Alizaliwa 1977 mama yake alikufa alivyokuwa mdogo sana hivyo hakumkuta alimaliza form 4 1996 ila akaamua kumtumikia Mungu hivyo 1997 akawa muumini wa pastor maboya mpaka 2001 ambapo maboya alimtaka akafungue kanisa lake ila alikuwa hana capital maza angu akamsaidia 2001 maana walikuwa wanajuana akaenda moshi kuanzisha kidogo ki huduma chake sema hakikua vizuri kilichukua muda kuwa strong akawa anahuburi sokoni 2007 alioa muajiriwa wa bank bibi yangu alimsaidia kwenye harusi 2008 akapata mtoto wake wa kike wapekee ila kwavile alikuwa hana hela huyo mdada akamuacha wakatalikiana 2010

Kipindi chote hicho bado mshkaji hajapata upako ila 2016 ndo huduma ikawa kubwa enzi za magu akamtupa kawe na alikuwa anamuombea sana janet magufuli alikuwa hata halipi kodi enzi hizo nilivyosikia

Hivyo from 2016 to know huduma yake ikazidi kumea tu ila 2020 unakumbuka kile kisanga chake cha kule moshi ila Mungu alimshikilia tu mkono akamvusha

Na saizi kwa mwaka jana ile huduma yake ya mikoani sadaki inaingia 500m per week ya jpili bado zile za kutumiwa mpesa na huduma zingine zingine

Mwaka mpya pale uwanja wa taifa aliingiza 4B usiku mmoja

Ila jamaa ni mtu wa Mungu kabisa sema katokea jalalani

Mkuuuu haikuwa rahisi
Any more questions ?
Apostle Kuna muujiza huku
 
Aisee,yaelekea unamjua haswa
Mi namwambia mshkaji anadhani namtania au ni chai na jamaa ana investment kama 13 hivi za maana hapa bongo acha ile hotel yake ya mbeya kaiweka public sana kuna zingine zipo underground
 
Back
Top Bottom