Hapo inabidi uwe nao unawafuga ndani stock hata ya miezi miwili, ukipiga ndio anasepa mazima anarudi kwao.Unazungukia madanguro yote nchi nzima,bado insta,telegram na app hizo zingine.kazi yako ni kula kushiba na kusaka mbususu
Watoto wanakukera nini kwani 😁Yeye anpenda watoto mie watoto naona kero tuu. Nachotaka ni pesa niwe nazagamuana na warembo basi
Marko 8:36Uchawi wa nyoka msumbiji unapewa nyoka unarudi nae ila anakaa km mfuko tu yaani uvunguni kwa kitanda,ukitaka kumtuma unachukua dawa unamwagia then anaenda kuleta pesa akiondoka Sasa huko anakaa ht siku tatu au wiki masharti siku anarudi Kuna ishara unapewa unatakiwa uandae uji wa sembe uweke kwenye chungu afu ukae mlangoni mwa chumbani kwako anakokaa uchi wa mnyama na uwe peke Yako ndani,akifkia anapita katikati ya miguu Yako anaenda kunywa uji Woote afu anaanza kutapika pesa zooote ,ikisha anarudi kua mfuko
Wa kibegiHizi zote sijawahi kuzitesti,ngoja nije nijaribu huo wa Nyoka Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]Kunajamaa amegangwa apate hela. Hela kweli anazo sana ana maduka lukuki.
Alipewa kizaazaa maana kila alhamisi lazima apoteze faham kama mtu mwenye kifafa na mpaka ajimwagie mbolea ndio anaamka
Sasa hayo mambo ya kujimwagia kubwa ili upate hela mnayaonaje jamani?
Hii nomaUchawi wa nyoka msumbiji unapewa nyoka unarudi nae ila anakaa km mfuko tu yaani uvunguni kwa kitanda,ukitaka kumtuma unachukua dawa unamwagia then anaenda kuleta pesa akiondoka Sasa huko anakaa ht siku tatu au wiki masharti siku anarudi Kuna ishara unapewa unatakiwa uandae uji wa sembe uweke kwenye chungu afu ukae mlangoni mwa chumbani kwako anakokaa uchi wa mnyama na uwe peke Yako ndani,akifkia anapita katikati ya miguu Yako anaenda kunywa uji Woote afu anaanza kutapika pesa zooote ,ikisha anarudi kua mfuko
Yaani ajinyee sioKunajamaa amegangwa apate hela. Hela kweli anazo sana ana maduka lukuki.
Alipewa kizaazaa maana kila alhamisi lazima apoteze faham kama mtu mwenye kifafa na mpaka ajimwagie mbolea ndio anaamka
Sasa hayo mambo ya kujimwagia kubwa ili upate hela mnayaonaje jamani?
Asa hela utaifaidi vipi huku husimamishi?!Hanisi
Wala hafi maana ni mfuko ila usivunje masharti ya kukaa uchi na uwe peke Yako nyumbani siku anarudiVipi akifa Huyo nyoka na wewe unakufa au?
Sana Tena sanaaa..watu Wana Siri sanaInatisha pesa ngumu asee
Hahahahaha balaaaKunajamaa amegangwa apate hela. Hela kweli anazo sana ana maduka lukuki.
Alipewa kizaazaa maana kila alhamisi lazima apoteze faham kama mtu mwenye kifafa na mpaka ajimwagie mbolea ndio anaamka
Sasa hayo mambo ya kujimwagia kubwa ili upate hela mnayaonaje jamani?
Hiyo ya Misukule..jamaa kaenda dukani kwa Muhindi kununua bidhaa kumbe na misukule yake nayo inabeba kwa wizi. Wakati wa kulipa Muhindi anamuambia jamaa pesa unayolipa mbona haifanani na mzigo uliyonunua..akijumlisha na ile waliyokuwa wanabeba misukule(Muhindi alikuwa nae wamo).
Muhindi kwa kumkomoa akaitaifisha ile Misukule na jamaa utajiri ukaisha.
Hahaha ndo hivyo mkuuuAsa hela utaifaidi vipi huku husimamishi?!
Masharti mengine ni upuuzi tu bora upambane tu
Mkuu amini usiamini hadi mabenki huwa wanachukuliwa Fedha kimiujiza (fedha ambazo bado ziko counter) ushuhuda ninao zaidi ya mmoja sema huwa wanaficha sana ili kutokuondoa imani kwa wateja ila kaa kwa utulivu na kwa umakini kama una ndugu yako Ambaye ana cheo maeneo hayo na anakuamini kutunza siri atakuambia ila huwa ni siri kubwa.Umeshawahi ona supermarket kuna chumaulete?
Jicho la tatuJicho jicho au jicho la uku chn
Unafanyika sana utajiri wa aina hii mkoani Mbeya .Kuna mmoja hvi unaoza halafu mtu wako wakaribu anakua anaokota funza ana store kwenye begi,then hzo funza uturn kuwa mkwanja wakufa mtuu,uchawi wa malawi huu