Zijue faida kabambe za kulala mtupu/uchi wakati wa usiku

hivi joto lote hili mtu anavaa nguo za nini? mchana kwenyewe nimeamua kupunguza baadhi ya mavazi ili niwe huru na kupata upepo

Unaweza kuwasaidia wanawake wenzako ni aina gani ya mavazi uliyopunguza?
 
Kwa kweli kwangu sitalala uchi. Ghafla kumetokea janga
 
Kipindi nipo shule fulani ya bweni chalinze mara nyingi tulikua tunaenda kununua maji nyumba flani ile nyumba ilkua ina wadada wanashinda uchi ukienda kugonga wanakuja uchi hadi wakuone ndo wanafata kanga
Yani kazi yangu ilkua kuteka maji na kuyamwaga ili niende kuchukua mengine
 
Daaaaah, aiseeee we jamaaa unachekesha, jumlisha na baridi ya kigoma majira ya kiangazi
 

[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…