Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakin ukumbuke popobawa akikutembelea hakuna msalie mtume wala kujitetea
popo bawa ndo nani huyo tena?
Hata majambazi wakivamia usiku nyumbani kwako..wakufume uchi???lazima wafumue marinda
kulala uchi safi sana .. ila kwa mwanaume duh sishauri
Duu taasisi ya usingizi.? Ni taasisi binafsi au ya serikali?
Lakini huyo mwanamke awe na t*ako ndio inapendeza ila kama ni flat screen...itakuwa kichekesho.
nikiingia kuoga usiku au jioni huwa sivai hata kanga, nakula uchi, naswaki, najitupia kitandani uchi uchi
Mi sijawahi kulala uchi na haitatokea yaani sijui naonaje onaje,hizo faida wacha nizikose tu.usisahau kutaja na hasara