Zijue faida kabambe za kulala mtupu/uchi wakati wa usiku

Zijue faida kabambe za kulala mtupu/uchi wakati wa usiku

kulala uchi safi sana .. ila kwa mwanaume duh sishauri

kwa wanaume kwani inakuwaje miss chaga halafu kwa nini wasichana wengi hasa pande za dar wanapendelea kulala uchi bin uchi kama sio hivyo unakuta kajifunga kanga?
 
Last edited by a moderator:
ukiwa peke yako kitandani haki ya walahi hapatakucha ilo baridi ila kama upo na baby hapo sawa
 
Una maana tano au.....bold. Pia hata ushauri wa kuvaa haishauriwi kuvaa nguo ya kubana mwili.

Tamatheo;
Usifikiri kama natania. Nunua kudu uifungie tena juu. Wakija wapoteze muda uwe umepiga kelele watu wa msaadamwaje kabla hawajaku nanihiino. Mambo ya washauri wa kidhungu achana nao. Sisi tunakupa ushauri wa kikwetu ili ulingane na mazingira
 
Tamatheo;
Usifikiri kama natania. Nunua kudu uifungie tena juu. Wakija wapoteze muda uwe umepiga kelele watu wa msaadamwaje kabla hawajaku nanihiino. Mambo ya washauri wa kidhungu achana nao. Sisi tunakupa ushauri wa kikwetu ili ulingane na mazingira

kwahyo kwa mazingira ya uswahilini haifai eeeh?
 
Kulala uchi muhimu na vizuri sn hasa kwenu ninyi wadada.Ipumue jamani mnaificha sana mchana kutwa.
 
Baadae utatuambia tusihifunike mashuka
 
ulalaji wa kutovaa chochote ndio style yangu.ila sometimes naghairi ninapo sikia wizi wa majumbani nyakati za usiku umeingia mtaani kwetu(kwa sisi wa uswahilini).

huwa nalala na bukta ili Iwe rahisi kukurupuka toka kitandani kwenda kuchungulia anaye chokora chokora sebuleni.

Kaka umenifanya nicheke kwa sauti huku kanisani almanusura chupa yangu ya bia ianguke
 
Back
Top Bottom