Zijue faida kabambe za kulala mtupu/uchi wakati wa usiku

Zijue faida kabambe za kulala mtupu/uchi wakati wa usiku

Aise wanadamu tunapishana sana akili, wengine wanawaza kupiga pesa ndefu kila siku lakini kumbe kuna wengine wanawaza mambo ya kulala uchi kama mbwa!!!
Labda wa Dar na Sudan. Hivi Arusha, Lushoto, Mbeya, Njombe, Makambako, Mafinga na maeneo baadhi ya Songea unawezaje kulala uchi?

1:wewe ulimuona wapi mbwa analala uchi?
2:nani alikuambia ukilala uchi hupigi hela ndefu?

NB: Hii sio amri kuwa lazima utii.
 
watu mnamioyo migumu... hivi unaanzaje kulala uchi

huu ni ushauri wa madaktari bingwa wa afya na sio amri... .. . hivi unajua kutokana na harakati za mchana zote inabidi usiku mwili upumzike?... .. . na hatua za kuuchaji mwili tena ndio hizo
 
huu ni ushauri wa madaktari bingwa wa afya na sio amri... .. . hivi unajua kutokana na harakati za mchana zote inabidi usiku mwili upumzike?... .. . na hatua za kuuchaji mwili tena ndio hizo

Acha mwili upumzike ila sio kwa kuchojoa kila kitu.... sitapata usingiz kwakwel
 
TANGU NIOE SIJUI HABARI YA KUMVUA MKE WANGU CHUPI KWA KUA KAMA HAYUPO MWEzini wote tunaalala uchi. ni mwendo wa kuparamiana tu. kulala uchi safi sana. ukiona mtu anaogapa kulaala uchi ujue ana mwili mmbayaaaa

Hiii nayo inakinaisha,mara moja moja kuvuliwa chupi kuna raha yake,labda anashindwa tu kukwambia
 
Back
Top Bottom