Zijue faida kabambe za kulala mtupu/uchi wakati wa usiku

Zijue faida kabambe za kulala mtupu/uchi wakati wa usiku

Kwa Wale Wenye Watoto Wadogo Wanaonyonya hasa kwa jinsia yetu nilazima Utupie na Pensi maana Mtoto Hachelewi kuikamata mic akifananisha na Titi la Mama Yake akaipeleka Mdomoni na Kuanza Kunena kwa Lugha
 
Kwa wanaume sina cha kuongea ksb sina uzoefu wala ushahidi nako.
Ila kwa wasichana/wamama/wanawake/wabibi ninawaambie hakikisheni mnapanga muda wa kutokuvaa chupi hasa mkiwa mazingira salama,mfano nyumbani. Maumbile yetu ni kama ua au mti, yanahitaji hewa,mwanga,upepo kwa ustawi mzuri zaidi. Isiwe unayafunika siku 365/366, miwasho washo lazima itakusumbua ukifunika funika sana . Maumbile ya kike yanahitaji sana ,mwanga ,hewa safi na upepo murua mradi tu iwe ni sehemu salama...
Nyongeza Tusisahau kusahau kupiga pasi chupi zetu na ziwe Material ya pamba zenye rangi inayoonyesha.
 
Hayo ya kutokea majanga kama kuvamiwa au ugonjwa ni bahati mbaya au ajali kama nyingine yoyote. UKIWA UTUPU UNAKUWA SANA TOFAUTI MA UKIJIFUNIKA FUNIKA KWA NGUO....Ambaye haujawahi jaribu siku yoyote kwa muda mchache tu ili ujithibitishie hiki kinachosifiwa juu ya raha ya utupu.....naamini hautojutia kujaribu bali UTABOBEA kabisa....ha ha ha ha...
 
Safi sana mbona, door tu uitie lock 
Asikuwambie mtu mi binafsi na baridi huku tulio nayo ni naked tu kwenda mbele, nalala vizuri zaidi, nikiwa na nguo naonaga tafrani na kuamka ovyo ovyo.
safi sana
 
Raha IPO aisee yaaani kwani nyie Wa wapi hembu kajaribuni Leo afu kesho tukutane jamvini!
 
Back
Top Bottom