Alphaking2023
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,092
- 2,123
Aise wanadamu tunapishana sana akili, wengine wanawaza kupiga pesa ndefu kila siku lakini kumbe kuna wengine wanawaza mambo ya kulala uchi kama mbwa!!!
Labda wa Dar na Sudan. Hivi Arusha, Lushoto, Mbeya, Njombe, Makambako, Mafinga na maeneo baadhi ya Songea unawezaje kulala uchi?
huyu anatuletea mambo ya kusadikika hapa bila shaka atakuwa popobawa huyu