Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #101
Sasa kama humlizishi ulitaka abaki na nyege zake?amezidi kukigawa
Waachie wenye uwezo bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama humlizishi ulitaka abaki na nyege zake?amezidi kukigawa
Naona unazidi kuandika ngonjera tu hiyo Yesu kuwa Mungu unaitambua wewe mwenyewe sijui ni wapi umejifunzia haya makitu ?!.Mapepo yenyewe yanamtambua tena kwa kutetemeka, unalijua hilo
Sina team yoyote I'm living my own lifeWe ni team kataa ndoa?
Apataye Mke amepata kitu chemaFaida za kuwa na mke ni nyingi sana.
Nakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.
Wanaume wasiowa hawako salama kiafya kwa sababu wanakabiliwa na ulaji chakula kisicho bora, ulevi wa kupindukia, uzinzi na uasherati na tabia zingine hatari.
Utafiti mwingine wa 2023 wa wanaume 6,800 wenye umri wa kati ya miaka 45 na 84 uliofanywa na Chuo cha Marekani cha Cardiology ulionyesha kuwa wanaume waseja wana uwezekano mara mbili wa kukumbwa na mfadhaiko na kushindwa kwa moyo.
Faida iliyo kuu ya kuoa ni hii, "mkeo atakulinda na watu wanaokutumia vibaya. Atalinda sifa yako. Atakufanya uheshimike zaidi".
Na kuna upendeleo maalum kutoka kwa Mungu kwa yeye apataye mke (Mithali 18:22).
Kwa ujumla, wanaume wanapoowa, huwa wanafanya vyema maishani. Ndiyo maana Mungu anawaonya wanaume wasimsahau mke wa ujana wao ambaye aliwasaidia kusimama kwa miguu yao (Mal 2:14-16).
Kwa nini upige punyeto wakati Mungu amekuumbia mwenzako kwa kazi bora ya kibinadamu?
Biblia inasema ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa (1Kor 7:9). Jipatie msichana mzuri, hata kama ni ni 'lishangazi' we oa tu utaenjoy maisha marefu. Wekeza kwenye ndoa yako.
NB : wale team kataa ndoa wengi wao wana matatizo ya afya ya akili, usisikilize ufyatu wao.
Pata mke ufurahie uumbaji wa Mungu.
#Wanawake msome comments tu za wanaume, comments zenu hazihitajiki kwa huu uzi.
Barikiwa.
Points nyepesi sana hizi. Huwezi mshawishi mtu kuona na vipoint hiviFaida za kuwa na mke ni nyingi sana.
Nakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.
Wanaume wasiowa hawako salama kiafya kwa sababu wanakabiliwa na ulaji chakula kisicho bora, ulevi wa kupindukia, uzinzi na uasherati na tabia zingine hatari.
Utafiti mwingine wa 2023 wa wanaume 6,800 wenye umri wa kati ya miaka 45 na 84 uliofanywa na Chuo cha Marekani cha Cardiology ulionyesha kuwa wanaume waseja wana uwezekano mara mbili wa kukumbwa na mfadhaiko na kushindwa kwa moyo.
Faida iliyo kuu ya kuoa ni hii, "mkeo atakulinda na watu wanaokutumia vibaya. Atalinda sifa yako. Atakufanya uheshimike zaidi".
Na kuna upendeleo maalum kutoka kwa Mungu kwa yeye apataye mke (Mithali 18:22).
Kwa ujumla, wanaume wanapoowa, huwa wanafanya vyema maishani. Ndiyo maana Mungu anawaonya wanaume wasimsahau mke wa ujana wao ambaye aliwasaidia kusimama kwa miguu yao (Mal 2:14-16).
Kwa nini upige punyeto wakati Mungu amekuumbia mwenzako kwa kazi bora ya kibinadamu?
Biblia inasema ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa (1Kor 7:9). Jipatie msichana mzuri, hata kama ni ni 'lishangazi' we oa tu utaenjoy maisha marefu. Wekeza kwenye ndoa yako.
NB : wale team kataa ndoa wengi wao wana matatizo ya afya ya akili, usisikilize ufyatu wao.
Pata mke ufurahie uumbaji wa Mungu.
#Wanawake msome comments tu za wanaume, comments zenu hazihitajiki kwa huu uzi.
Barikiwa.
Nitangulize ng'ombe ngapi ? Nipo monduli kuchagua ng'ombeApataye Mke amepata kitu chema
60Nitangulize ng'ombe ngapi ? Nipo monduli kuchagua ng'ombe
Eroo shee! Unataka fungua kiwanda ya kuusa ngosi
Aliekwambia mashangazi ni watu wabaya kwetu ni nani? [emoji848]Toka out na mkeo kila mara, mashangazi wakikuona upo benet na mkeo watakuheshimu na hapo ndipo mkeo anapokulinda na watu wabaya.
Kwan wanaooa hawapigi mechi za nje?Aache kunyanduana kiholela ikiwa hawezi kuacha basi aoe tu
Aliekwambia kwamba mbiguni watu hawatakwenda sababu ya mashangazi ni nani? [emoji848]Hao wasio na wake wana mishangazi ni wazinzi na hawaendi mbinguni
Utafiti feki huoNakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.
Umeubana sana bwana,tungechangia kina mama watu ndio wangefunguka Kwa hasira🤣🤣Nitaleta uzi wenu baadae kidogo, subiri kwanza tuwekane sawa sisi wanaume
Eti banaUna uhakika gani wote ambao hawajaoa ni wazinzi ?
Kwako imekuwa rahisi kuamini Yesu na Paulo hawakuwa wazinzi ila wengine imekuwa ngumu kwa nini ?
Inahitaji sana busara kuziunganisha hizo pande ziwe na msimamo mmoja.Huu uzi utaigawa jamii katika pande mbili kuu.
Kixhwa cha habari kinaongelea faida za kuoa yeye katuletea faida za kuolewa.Mpaka sasa faida za kuoa kwa mwanaume sijaona ukiziandika katika huu uzi
Wasio oa pia wanasababu za misngi .Siyo hawana wake. Sema wametengana na wake zao. Ni tukio la kawaida na wanasababu zao za msingi.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app