KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Nimemsikia Ahmed Ally akibeza mafanikio ya Yanga kwamba imekutana na vibonge kwa hatua zote alizopita,swali ambalo semaji la CAF hawezi kujibu ni kwamba je Yanga imebeba ubingwa wa NBC Simba akiwa wapi?(Ambayo ni timu imara na giant zaidi ya Yanga?) Achana na hilo swali utapigwa makofi.
Wapo wanasimba wachache wanaokubali Yanga imeimprove sana na imeizidi mbali mno timu yao kimataifa lakini lipo kundi lingine ambalo binafsi nalipenda na nataman waendelee kubeza mafanikio ya Yanga ili iwafanye viongozi wangu waone safari bado.
Zifuatazo ni faida za kubezwa kwa mafanikio ya Yanga.
1. Itafanya viongozi kusajili MAWINGER mawili matata sana kwa ajili ya klabu Bingwa.Itatufanya mashabiki tuendelee kuvimba mtaani.
2. Itafanya wachezaji wasibweteke na waone hayo mafanikio ni ya kawaida sana na watakuwa na spirit ya kuleta kombe la Klabu bingwa Afrika. Huku mashabiki tukiendelea kuvimba mtaani.
3. Tunabezwa hatuna uwanja. Hii itapelekea viongozi kupambana na kujenga uwanja.Hilo nalo litatufanya tuzidi kuvimba kitaa.
NB: Simba wako vizuri sana wamecheza na giants Africa na kufika ROBO FAINAL kwa miaka 5 sasa hivyo mashabiki hawawadai wachezaji😊.
Natamani sana Yanga iendelee kubezwa ili izidi kujiimarisha zaidi.
Mwanafainali ongeza faida zingine.
Wapo wanasimba wachache wanaokubali Yanga imeimprove sana na imeizidi mbali mno timu yao kimataifa lakini lipo kundi lingine ambalo binafsi nalipenda na nataman waendelee kubeza mafanikio ya Yanga ili iwafanye viongozi wangu waone safari bado.
Zifuatazo ni faida za kubezwa kwa mafanikio ya Yanga.
1. Itafanya viongozi kusajili MAWINGER mawili matata sana kwa ajili ya klabu Bingwa.Itatufanya mashabiki tuendelee kuvimba mtaani.
2. Itafanya wachezaji wasibweteke na waone hayo mafanikio ni ya kawaida sana na watakuwa na spirit ya kuleta kombe la Klabu bingwa Afrika. Huku mashabiki tukiendelea kuvimba mtaani.
3. Tunabezwa hatuna uwanja. Hii itapelekea viongozi kupambana na kujenga uwanja.Hilo nalo litatufanya tuzidi kuvimba kitaa.
NB: Simba wako vizuri sana wamecheza na giants Africa na kufika ROBO FAINAL kwa miaka 5 sasa hivyo mashabiki hawawadai wachezaji😊.
Natamani sana Yanga iendelee kubezwa ili izidi kujiimarisha zaidi.
Mwanafainali ongeza faida zingine.