Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hallelujah..Previously, I indulged in insults, yet through Christ’s redemptive power, I have been set free.
Okay, haujanitukana. Nimekuelewa..Kuna mstari wa Biblia unasema hasira hukaa kwenye vifua vya wapumbavu. Sio maneno yangu hayo usije ukasema nimekutukana
Afu kweli,nilimshushia furushi la matusi jirani yangu na baada ya hapo nikajihisi mwepesi ila nililala polisi siku mbili[emoji28][emoji28]HIZI HAPA FAIDA ZA MATUSI
1)Hutumika kama kivumishi cha sifa.. Examle Yule demu ni mkali ki***nge
2)Huonesha hisia na hali ya kiafya ya mtu kama hasira, furaha, uchovu n.k Examle Unahisi sisi ni maroboti siyo kum****ke, beba na wewe hizo sement
3)Matushi ni burudani kwa watu wengne. wapo watu wanapenda kutukana ama kusikia wengine wakitukanwa
[emoji3][emoji3][emoji3]Faida zake ni zipi kwa maana kila jambo lina faida na hasara zake..