Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
- #281
Wanaume mara nyingi huwa tunachelewa kuanza mapenzi ukilinganisha na wanawake. Binti wa miaka 13-14 tayari ashaanza mapenzi ila kwa wavulana wa age iyo bado.Kuna wakati akili inakuwa driven na emotions hasa kwa sisi wanaume kipindi Cha kuivuka balehe ukilala usiku ni mwendo wa hot dreams tu shuleni unakifikiria ki maria Cha form 2 Hadi unamaliza form4 umeshiriki kwenye kuwabikiri baadhi kipindi Cha kutafuta wa kumuoa hutaki leftovers?
Sometimes haya mavitu yanakuwa driven automatically tu unaweza ukapanga huyu Manzi nipite naye kwa part time mwisho wa siku ikawa full time job na insurance juu
Kuna wakati akili inakuwa driven na emotions hasa kwa sisi wanaume kipindi Cha kuivuka balehe ukilala usiku ni mwendo wa hot dreams tu shuleni unakifikiria ki maria Cha form 2 Hadi unamaliza form4 umeshiriki kwenye kuwabikiri baadhi kipindi Cha kutafuta wa kumuoa hutaki leftovers?
Sometimes haya mavitu yanakuwa driven automatically tu unaweza ukapanga huyu Manzi nipite naye kwa part time mwisho wa siku ikawa full time job na insurance juu
kwa upande wa wanaume uko kwenye kubalehe wanamaliza haja zao kwa kujichua. Wengi huwa wanaanza mapenzi kwenye 18 kipindi ambacho sio rahisi kumkuta binti bikira. Wapo wanaume wengi tu mpaka wanaingia 30's hawajawahi kukukutana na mwanamke bikira.