Zijue hoe phase, panic phase na toxic phase katika lifecycle ya mwanamke wa kisasa

Seen
 
Naona Wema na wanawake wenzake wengi wa Bongo Movie wako katika phase 'ya panic attack'.....kwa kweli wanawake wanasumbuka mno kutaka kuturidhisha sie wanaume.
 
Haka kadem nishakaambia kana elements za umalaya ndani yake thus yuko willing kuleta hoja chafu ili mradi kudefend matendo ya kiumalaya..

Yaani huyu anadhani kuwa anashindana na wanaume so ataonekana shujaa..
Hajui kuwa kuna baadhi ya hoja hazijibiwi yaani hoja inaposimama sio lazima iwe na upande wa pili..
Sasa yeye ashakariri anatuchukulia kama sisi ni kama mwanaume wa ndoto yake..

Maana mwanaume wa ndoto kwa Jadda ni yule anaecomply na matakwa yake ya hovyo
Maana tushauona msimamo wake hapa jamvini.. na ni hakika Jadda hana mwanaume imara bali ana simp moja amabayo anaiendesha atakavyo so anawaza kuwa sisi sote tunaweza kuwa kama huyo wakwake kitu ambacho sicho...

The more we ignore the shit the safer our brains be.
 
Kuna kabinti Fulani umri kama 27 single mother. Kuna Hali japo kalikuwa ka single mother lakini bado kakawa na zile feeling za kuwa na mtu smart, uchumi uko vizuri na bla bla nyingi ambazo huwa wamejenga vichwani mwao. Bahati mbaya zaidi ni single mother alafu pangu pakavu. Nilimfundisha jambo moja nikamwambia wanaume wengi walio serious na life Huwa hawapendi Sana kuoa single mother lakini jambo ambalo angalao basi litampumbaza hadi kuoa ni zile hustle zako kimaisha, yaan sawa ni single mother lakini akija upande mwingine wa kiuchumi ukoje?? Uko serious kiasi Gani kwenye uchumi
 

Ni wajinga kwa mujibu ya mitazamo ya kiume. Wewe kama mwanamke hauwezi elewa wala kuona ni wapi wanafeli sababu ujinga wao ndio source ya survival kwako.
 
Hawa wanaume wanaooa wanawake mnaodai wana past mbaya siyo kwamba ni wajinga, ila wameamua kutoka kwenye fantasies na kuja kwenye reality wameamua kukubaliana na hali halisi, kwamba huwezi kupata wa
Hakuna fantasies kwenye uhalisia wa maisha ya mwanaume. Bikra sio kitu cha kufikirika ni kitu cha uhalisia. Ni ninyi wanawake ndio ambao mnaunda uhalisia wenu wa kufikirika na kuamini unaweza kuwa kweli. Sasa wewe ufike miaka 30+ then usettle na mtu akuamini na kukupenda sawa na mwanamke aliyemtoa bikra hiyo inawezekana vipi?
Unafahamu kuwa wanaume wanao toa bikra au kutembea na wanawake wengi tena hovyo hawazidi 10% ya idadi ya wanaume wote? Kama unataka ufafanuzi hapa nitakuelekeza
Kujitunza kwa mwanaume ina maana kupambana na maisja yake kwa kujijenga kiuchumi,kujiwekeza na kuwa na mali kwaajiri ya familia yake,unafananishaje kujitunza kwa mwanaume na kujitunza kwa mwanamke? Mwanaume ideal ni yule anayejipanga kimaisha na mwanamke ideal ni yule anaye tunza mwili.
Hatuwezi fanana hadi useme sote tuna makosa sababu mwanaume haendeshi maisha yake kwa namna sawa na mwanamke. Unafahamu kuwa kuna wanaume hadi wanafika miaka 40 hawajawahi kutana na mwanamke bikra sababu bikra wa sasa wanataka wanaume wenye mafanikio tu?

Madhara yapo wazi. Mwanamke kutokuwa na bikra ni muhuri wa umalaya. Mwanaume akikutana na mwanamke asie bikra tayari anamshusha hadhi kutoka mke wa pekee kuwa mali ya uma.
Sio kweli. Kwani akichelewa na akaoa baadae mgawanyo wa mali utapungua? Hapa umechemka.
Wanaume wa kizungu pia wanatambua thamani ya bikra ila kutokana na viburi vya wanawake zao ambao wanakaa kabisa na kusema bikra sio thamani kwa mwanamke upuuzi ambao hata huku mnatuletea wameona isiwe shida,wamepotezea bikra.
Hakusema kuwa wanaume hawapo amesema kuna wanawake wanajiuza kwenye dating market ikiwamo apps za dating of which 99% ya encounters huwa si successful na huishia na watu kulana tu na kupotezeana muda.

Kutongozwa sio hoja, sababu ni gear ya kuomba mchezo ili watu wapige na kusepa. Kutongozwa haimaanishi utaolewa. Ni sawa na kusema watu kuja dukani kuuliza bidhaa ndio wanunuzi wa bidhaa.
Unachagua mwanaume sahihi wewe ni sahihi?🤔
 
Muhimu ni wao kuolewa, hawataki wanaume wasiojielewa, hao simps ndiyo wazuri
Simps ni wanaume wasiojielewa. Ukitaka kujua hilo jiulize wewe ukiwa na mtoto wako wa kiume umesomesha kwa shida sana na kuunga unga ada. Anafanikiwa anapata maisha mazuri na kuwa tajiri ila hakuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke before.

Then anakuja kukuletea mkamwana mwenye watoto 3 baba tofauti anataka amuoe anataka baraka zako kama mama yake na hao watoto anasema atawaandika kama warithi wake kwa mali zake.

Wewe kama mama utakubali kijana wako aoe single mother wa miaka 38 mwenye watoto 4 na hayupo tayari kuzaa soon, wakati huko nje kuna mabinti kibao waliojitunza na hawana hata mtoto wala kuwahi kutoa mimba?
 
Nyani huwa anatetea nyani wenzake. So kama unatetea kundi fulani la wanajamii then una fanania nao vizuri sana.
 
Kwanin watu humu mnapenda mada za kumkosoa mwanamke as if mmezaliwa na wanaume wenzanu show some respect kidogo Kwa mwanamke
Unachomaanisha kusema ni kuwa unataka watu wengine wasitoe maoni yao binafsi ila wakutolee wewe maoni yako si ndio?
Hapa unajaribu kujitetea kwa kutaka watu wengine waache kuzungumza yanayojiri katika jamii kwasababu wewe binafsi unakwazwa na maoni juu ya mada husika.

Sasa why unataka kutumia uzembe wako wa malezi ya watoto kama hoja ya kuzuia wengine wasiongelee uzembe wa kitabia unaofanywa na wanawake?
 
Kwahiyo unataka kusema haujui chanzo cha kuwa na watoto wa kiume wa hovyo ni kuwa na wanawake wasiozingatia maadili ya malezi ya kiafrika ?
 
Pia jamii iwatambue mashoga watoto wenu wa kiume eeh mwanamke kua Malaya hata vitabu vya din vimesema na waliokuwepo enz na enz hata Yesu hajazaliwa nyie ndo wale ambao watoto wenu watakua mifano baadaye usiongee sana kama bado hujawah na watoto
Nadhani unatakiwa ufahamu kuwa USHOGA chanzo chake ni influence ya malezi ya kike katika akili ya mtoto wa kiume, hakuna mwanaume anayelea mtoto awe shoga.
 
Kwan wanawake wa Hali hiyo uliyoandika walianza Karne yetu?? Waliokuwepo enz na enz Kwa Sasa watu ndo mmeona sifa kuwazungumzia wanawake
Kuna wengine humu mmezaliwa na mama mmoja ila baba tofauti lakin mnakuja huku kujipa moyo
Mbona unatetea sasa tukueleweje mwenzetu kuwa unataka wanawake wa hovyo waendelee kuwapo?🤔
 
Kuanzia miaka 18 mpaka 27 unapigwa fingering nyuma, una lamba mibolo unameza kabisa na cums alafu leo umeoza unataka uolewe na mimi. K kibuyu wewe..
Unakuta k inanuka ukwaju ukwaju na mabondo ya samaki au kishombo. Cha supu ya pweza alafu demu. Ndo anataka aolewe simu ukioa tu mkaenda honeymoon ukiingiza tu kichwa kwenye mbususu ya demu wa miaka 27+ kinatoka kiharufu cha panya aliyekufa wiki😅🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…