Yani mimi naandika uhalisia wewe unaleta habari za nature ya mchongo, hebu tuje huku kwenye maisha halisi hawa wanawake wenye hizo pasts mnazoziita mbovu mbona wanaolewa kila siku, mngekuwa mnaoa hao wanawake wenye sifa nzuri mnazoziota basi ndoa zisingekuwa zinavunjika kila siku
Halafu kama hilo suala la mwanamke kupata trauma lingekuwa nature kwanini linawapata wanawake wa jamii fulani tu mfano waafrika, kwanini lisiwapate wanawake wote dunia nzima au wewe umesikia wapi wanawake wa kizungu wanapata trauma sababu ya kuwa single mothers na past mbaya, wao wanaolewa hata wakiwa wakiwa na miaka 50 ila huku mwanamke akifikisha miaka 30 tu anaanza kusakamwa hadi anakuwa desperate na ndoa sasa ni nature ya wapi hiyo au hujui hata maana ya nature
Au ulisikia wapi wanawake wa kizungu wakifikisha umri fulani wanaanza kukimbilia makanisani kutafuta ndoa jiulize kwanini hayo mambo yako afrika tu na jamii nyingine zisizostaarabika, jiulize hizo trauma zinatokana na nini yani mtu kuwa tu mdangaji au single mother ghafla tu apate trauma from nowhere bila kisababishi chochote, halafu nimekuambia nipe madhara ya moja kwa moja anayopata mwanamke yeye kama yeye (ambayo hayamhusishi mwanaume) kwa kukosa bikira