Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Japan ikiwa ni miongoni mwa nchi zenye kutengeneza magari kwa wingi duniani, na ikiwa inamiliki kampuni kubwa tatu za magari ambazo zipo kwenye top 10 ya makampuni makubwa ya magari dunian ambazo ni maarufu kama BIG THREE (TOYOTA, NISSAN na HONDA). Kampuni hizi pamoja na kampuni nyingine ndogo ndogo zimekuwa zikiunda magari yenye injini za technology tofauti tofauti.
Pamoja na hayo, inasemekana injini zifuatazo ndiyo injini bora kabisa na zenye nguvu sana zilizowahi kuundwa nchini Japan. Wale fans wa Mbio watazimis sana injini hizi..
1. 2JZ-GTE (TOYOTA)
Hii ni injini bora kabisa yenye nguvu kutoka kampuni ya Toyota.
Injini hii ina inline six cylinders, twin turbocharged na inauwezo wa kutoa 276hp (206kw)
Ilianza kuzalishwa mwaka 1991 mpaka 2002.
2.RB26DETT (NISSAN)
Hii ni miongoni mwa injini bora kabisa kutoka Nissan ni inline six cylinder, twin turbo charged. Ina uwezo wa 276hp (206kw)
Imetumika sana kwenye Nissan skyline na GTR
3.EJ20k. (SUBARU)
Hii ni injini kutoka kampuni ya Subaru. Ina four cylinders, boxer engine yenye turbo moja. Ina uwezo wa 295hp (219kw). Imetumika sana kwenye subaru impreza WRX na Impreza WRX STI.
4. 13B-REW (MAZDA)
Injini hii imetoka kampuni ya Mazda...Ni Wankel engine au maarufu kama Rotary engine. Ukubwa wake ni Lita 1.3 tu lakini ina uwezo wa 276hp (206kw)
Imekuwa ikitumika kutoka 1972 mpaka 2002 kutokana na ubora wake, imetumika takribani miaka 30. Weka mbali kabisa na watoto
5. K20A. (HONDA)
Hii ni injini kutoka kampuni ya Honda..Ilianza kuzalishwa mwka 2001 mpaka 2011.
Ina 212 hp(158kw)..Imetumika katika model tofauti tofauti za Honda ikiwemo Honda Civic
Nadhani wale fans wa mbio na sauti za kibabe za injini, watazimis sana hizi injini...[emoji39][emoji39][emoji39]..kwa sababu kwa sasa magari yanafungwa majenereta na si injini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na hayo, inasemekana injini zifuatazo ndiyo injini bora kabisa na zenye nguvu sana zilizowahi kuundwa nchini Japan. Wale fans wa Mbio watazimis sana injini hizi..
1. 2JZ-GTE (TOYOTA)
Hii ni injini bora kabisa yenye nguvu kutoka kampuni ya Toyota.
Injini hii ina inline six cylinders, twin turbocharged na inauwezo wa kutoa 276hp (206kw)
Ilianza kuzalishwa mwaka 1991 mpaka 2002.
2.RB26DETT (NISSAN)
Hii ni miongoni mwa injini bora kabisa kutoka Nissan ni inline six cylinder, twin turbo charged. Ina uwezo wa 276hp (206kw)
Imetumika sana kwenye Nissan skyline na GTR
3.EJ20k. (SUBARU)
Hii ni injini kutoka kampuni ya Subaru. Ina four cylinders, boxer engine yenye turbo moja. Ina uwezo wa 295hp (219kw). Imetumika sana kwenye subaru impreza WRX na Impreza WRX STI.
4. 13B-REW (MAZDA)
Injini hii imetoka kampuni ya Mazda...Ni Wankel engine au maarufu kama Rotary engine. Ukubwa wake ni Lita 1.3 tu lakini ina uwezo wa 276hp (206kw)
Imekuwa ikitumika kutoka 1972 mpaka 2002 kutokana na ubora wake, imetumika takribani miaka 30. Weka mbali kabisa na watoto
5. K20A. (HONDA)
Hii ni injini kutoka kampuni ya Honda..Ilianza kuzalishwa mwka 2001 mpaka 2011.
Ina 212 hp(158kw)..Imetumika katika model tofauti tofauti za Honda ikiwemo Honda Civic
Nadhani wale fans wa mbio na sauti za kibabe za injini, watazimis sana hizi injini...[emoji39][emoji39][emoji39]..kwa sababu kwa sasa magari yanafungwa majenereta na si injini..
Sent using Jamii Forums mobile app