Zijue mashine ambazo utazikuta Tanzania tu, Kenya hazipo

IAAF is the Only Reason Everton Is playing Gor Mahia in Tanzania They would have otherwise played in Kenya





Hamna Talent Down South
NGOJENI KESHO OPENING CEREMONY YA IAAF Mtatii.....

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Naona umeanza kuwa kichaa sasa. Device ipi hapo umetuonesha!?
 
Hyo Stadium Yenu ya TZ inawasaidia nn??

Smh!


Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Hata lile radar bovu tulioletewa na mkapa miaka ile tulilisifu hivihivi! Tena mkapa kwa kujua kuwa sisi ni empty head akatuaminisha kuwa lipo tanzania Na Urusi tu! Tena akatuambia kuwa hata wale waingereza akina clare short waliotupigia kelele kuwa tunaibiwa walikuwa na wivu kwa sisi kuwa na radar bora kabisa ambayo hata wao hawana! Mwishowe tukaaibika! Nijuavyo kwa dunia ya leo hakuna cha peke yako.
 
Hata lile radar bovu tulioletewa na mkapa miaka ile tulilisifu hivihivi! Tena mkapa kwa kujua kuwa sisi ni empty head akatuaminisha kuwa lipo tanzania Na Urusi tu! Tena akatuambia kuwa hata wale waingereza akina clare short waliotupigia kelele kuwa tunaibiwa walikuwa na wivu kwa sisi kuwa na radar bora kabisa ambayo hata wao hawana! Mwishowe tukaaibika! Nijuavyo kwa dunia ya leo hakuna cha peke yako.
 


You're an honest man.
 
Fellow Kenyans Dont Front




Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha Kigali zipo kila mahali hata ukikata tickets unapewa risiti ya electronic

Sent from my HUAWEI MT7-L09 using JamiiForums mobile app
 
DigiSuper Camera. Only in Tanzania not in Kenya. Hahahahahaha





hii thread ilinipitia wapi mwaka jana?..shabash!!!!

jamani thread kama hizi muwe mnani tag ili niwe nakuja kuliamsha dude. [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Yani, watakuambia Adam na Eva walizaliwa Kenya.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
aah wapii leta evidence! Hata water paying meters hazipo Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…