Zijue mashine ambazo utazikuta Tanzania tu, Kenya hazipo

Zijue mashine ambazo utazikuta Tanzania tu, Kenya hazipo

Hawa jamaa wamebaki maneno mengi tu hawana lolote. Sasa hawa hapa ni wazee wa kazi. Watuoneshe mitutu ya kisasa kama hiyo hapo. Very small and powerful, special for operation. Siyo kwenda na mizinga kukimbiza vibaka wanne westgate


do10.JPG
Hahaha bado wapo na haya mangobore yanawazidi mpaka kimo
_78364592_bb9868b8-54dd-4b36-9b0e-e64dc43c44bf.jpg
 
Broadcasting Vehicles. Hakuna Kenya vitu kama hivi only Tanzania in this region


229121


1482813_248234078676174_2136236559_n.jpg


TBC+yapata+gari+la+kisasa+la+matangazo.jpg


OB5b.jpg
Yeah Sure

KTN the first Privately Owned TV station IN AFRICA ndio mnataka ku compete nayo

Smh
da7fe1908ef77d2e3f1ac6073077b036.jpg


and was the first non-pay privately owned TV-station in Africa, and the first to break KBC's monopoly in Kenya.

Hatujaenda NMG .....

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Lemmi re do that
2dbb65d0efd00666941d48040c095ed3.jpg
b53aa2217ce3c20463daf4643d165940.jpg


KCB AGENT FOR KCB MPESA
16d54f1c1e13602d2edd6616c4332eee.jpg


KCB APP FOR KCB BANK
YOU can pay anything from school fees to international purchases from your mobile phone
43170155507b5d2c6eea683bb389d27d.jpg
f46833acf5188dc765e09b0a642578d3.jpg
a33ccebca81c7ffb6c84e905b72e4a59.jpg
47e02fc5706c85b23dcfbe269c3cd857.jpg



Mula Payment System Links you to
Paypal
Skrill
Mpesa
Equity
Barclays
Standard
Payza
Visa
Mastercard
Etc
8a6230e964ff795d383333359b98cd37.jpg
2c7e9aeba7e48cbf3d8facd6b62f307f.jpg


Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Sasa wewe DC ndio unajisifia kuwa na via Apps hivyo Bongo mbona apps nyingi sana za banks
upload_2017-7-11_19-0-15.png



upload_2017-7-11_19-1-49.png
 
Yeah Sure

KTN the first Privately Owned TV station IN AFRICA ndio mnataka ku compete nayo

Smh
da7fe1908ef77d2e3f1ac6073077b036.jpg


and was the first non-pay privately owned TV-station in Africa, and the first to break KBC's monopoly in Kenya.

Hatujaenda NMG .....

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Leta equipments hapa. Acha kupiga kelele. Ziko wapi vehicles za KBC?
 
National Stadium Smart Doors

SELCOM.JPG




photo.JPG



pix%2B13.JPG



16124014_165719390584290_6925031463628832768_n.jpg
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii hata Train Station ya RVR hapa Nakuru Zipo....pale Huduma Centre ...Pale COUNTY PARLIAMEMT smh [emoji23][emoji23][emoji23] haikosi mnashangilia lifts pia [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii hata Train Station ya RVR hapa Nakuru Zipo....pale Huduma Centre ...Pale COUNTY PARLIAMEMT smh [emoji23][emoji23][emoji23] haikosi mnashangilia lifts pia [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Ninataka Stadium. Mbona unajiondoa ufahamu. Leta kwenye uwanja wa mpira. Huwezi hizi issue wewe.
 
Huu ubishi wa Tz vs Kenya hautusaidii. Waafrika tuungane tuwe taifa kubwa sio haya mabishano ya kitoto. Mafanikio ya nchi yoyote ya Afrika yasheherekewe na waafrika wote sababu nje ya Afrika wote tunaonekana wamoja. Acheni mada za kuleta mgawanyiko hazina faida kwetu sote.
 
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii hata Train Station ya RVR hapa Nakuru Zipo....pale Huduma Centre ...Pale COUNTY PARLIAMEMT smh [emoji23][emoji23][emoji23] haikosi mnashangilia lifts pia [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Hii ni nyumba ya Nani?
zitqlqxcxqzsdmjw856cc1c10495be.jpg
 
Ninataka Stadium. Mbona unajiondoa ufahamu. Leta kwenye uwanja wa mpira. Huwezi hizi issue wewe.
You know Kenya is Hosting World IAAF events this week right?
You know 5000 athletes from 131 countries are in Kenya Currently Participating Right??

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
You know Kenya is Hosting World IAAF events this week right?
You know 5000 athletes from 131 countries are in Kenya Currently Participating Right??

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Dogo hapa maneno no. Leta picha.
1. Broadcasting equipments leta hapa
2. Stadium Smart doors leta hapa

Mbona maneno mengi kama mjamzito!?
 
Huu uzi unautata kama kurudisha pesa za escrow

Sent from my Samsung galaxy S6 edge using jamiiforums app
 
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhandisi Stella Manyanya leo amekabidhi Bendera ya Taifa kwa wanafunzi saba wanaosoma masomo ya sayansi wanaokwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya First Global Challenges nchini Marekani. Makabidhiano hayo yamefanyika katika shule ya Sekondari ya wasichana Jangwani.

Katika makabidhiano hayo Mhandisi Manyanya amewataka wanafunzi wote nchini kusoma kwa bidii masomo ya sayansi, teknolojia na ubunifu ili kuhakikisha ndoto ya Tanzania ya kuwa na uchumi wa kati kupitia viwanda na biashara inafanikiwa na kwamba wizara tutaendelea na jukumu lake la kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia ili wanafunzi wote waendelee kufanya vizuri katika masomo ya sayansi.

Shule zilizotoa wanafunzi watakaoshiriki katika mashindano hayo ni pamoja na Jangwani, Azania, Jamhuri, Benjamini Mkapa, Feza na Kisutu.

Naye mratibu wa mashindano hayo kwa upande wa Tanzania ndugu Mkufu Shabani Tindi alisema mashindano haya yameanzishwa na kufadhiliwa na shirika lisilokuwa la kiserikali la Marekani liitwalo FIRST yenye maana ya for inspiration and recognition of science and technology lenye lengo la kuhamasisha ulimwenguni kote vijana wanaosoma masomo ya sayansi, uhandisi, teknolojia na hesabu kuweza kutatua changamoto mbalimbali ulimwenguni

Wanafunzi watakaoshiriki wanatarajia kuondoka kesho Juni 12, 2017 na watakuwa nchini Marekani kwa ajilia ya mashindano hayo makubwa kiulimwengu ambapo zaidi ya nchi 170 zitashiriki.

Naye mmoja wa washiriki Raymond Benedict kutoka Shule ya Sekondari Jamhuri amesema yeye wenzake wamejiandaa vizuri katika kuhakikisha wanaiwakilisha nchi katika mashindano hayo vizuri na kwa ufahari.


4.jpg


2.jpg


3.jpg


MICHUZI BLOG: Stella Manyanya akabidhi bendera kwa wanafuunzi watakaoiwakilisha nchi katika mashindano ya first lbal Robotic Challenges nchini Marekani
 
Now am just flossing
NAIROBI KENYA

a5759e5ea313fa8137b2a23dacbd580e.jpg


KASARANI
89958a214f3b43a01b7075f0289315ff.jpg
0adaf0ebecf160892ce34f0972fb919b.jpg
25398e7d095b053ba9d7b361795df0c7.jpg
04030b1ff890b562687ebebcbb32d61f.jpg
a4ab9c5420b51107061fd86cc24c8082.jpg
a0670d20b2d5bfeef47d984d8017abfb.jpg
d024e5e29a04864cec44537ac218e68f.jpg
a20f39732571fbd2dca0d1477b56b2a3.jpg
24ecc7e0702cab433db7285e0a6d9e0e.jpg


Kenyatta University
Athletic Village and High Facility Training Centre for IAAF it got 50mn$ worth of Equipments
056476f5522dec6cb1d713e135bcc259.jpg
a6cb26ba90b89c31792ba77d7c54396a.jpg


Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom