Zijue mashine ambazo utazikuta Tanzania tu, Kenya hazipo

Zijue mashine ambazo utazikuta Tanzania tu, Kenya hazipo

Sawa naweza kuwa nimekosea kwenye upande unaotumika kuendesha gari lakini hata hivyo hadhi ya barabara iliyoonyeshwa hapo haiwezi kupatikana Tanzania. Hii hapa barabara ya Kenya iliyo kwenye kiwango kama hicho.

SUPAAA.jpg
Unavyo weka utafikiri ukitoka Mombasa mpaka Kisumu barabara ziko hivyo, hata kwetu tunazo barabara za kujivunia.

4cc82f1e45135069ec54ae72767adfa0.jpg
2af41d4cbb1e132729dffca0fd30cd61.jpg
 
Naona sasa wakenya wameanza kukodoa kodoa mimacho tu. Subiri tuwashushie kipondo cha mbwa mwizi.
 
CCTV Camera National Stadium, Dar es Salaam - Tanzania

5-12.jpg



9-2.jpg
 
Hehehehe ati speed gun, tokens na ETR machines ndio hatuna, we have NTSA that Tz doesn't have, KPLC is bigger than TANESCO by far, which the latter is facing financial cashflows, our KRA beats TRA hands down in everything including revenue collection
KRA collects nearly 17bn$ yearly
TRA yao inawapea ngapi juu wanasema wana EFD mpaka vijijini!! Lol

Haimake sense ku argue nao

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
You can't compete with us you crawling babies
Hawa jamaa wamebaki maneno mengi tu hawana lolote. Sasa hawa hapa ni wazee wa kazi. Watuoneshe mitutu ya kisasa kama hiyo hapo. Very small and powerful, special for operation. Siyo kwenda na mizinga kukimbiza vibaka wanne westgate


do10.JPG
 
Huna uwezo wewe. Kojoa ukalale. Hahahahaha!!!
Pole naona umewashwa ndio hali ya dunia
Hawa jamaa wamebaki maneno mengi tu hawana lolote. Sasa hawa hapa ni wazee wa kazi. Watuoneshe mitutu ya kisasa kama hiyo hapo. Very small and powerful, special for operation. Siyo kwenda na mizinga kukimbiza vibaka wanne westgate


do10.JPG


Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
 
Pheeeew Had posted too much info there

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Pole naona umewashwa ndio hali ya dunia



Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
Naona povu linakutoka. Kunya maji kidogo upunguze hasira. Haya ndiyo mambo ya LDC. Hamna kwenu vitu kama hivyo. Vijana wanne tu pale westgate mnaenda na mizinga.
TZ kuna vitu vinaitwa amphibious tanks kwenu vipo?

130242uw74877zc48gwvcu.jpg


https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2017/03/152164_9c34a9fab57257a063f20161a69dc5fc.jpg
 
Lemmi re do that
2dbb65d0efd00666941d48040c095ed3.jpg
b53aa2217ce3c20463daf4643d165940.jpg


KCB AGENT FOR KCB MPESA
16d54f1c1e13602d2edd6616c4332eee.jpg


KCB APP FOR KCB BANK
YOU can pay anything from school fees to international purchases from your mobile phone
43170155507b5d2c6eea683bb389d27d.jpg
f46833acf5188dc765e09b0a642578d3.jpg
a33ccebca81c7ffb6c84e905b72e4a59.jpg
47e02fc5706c85b23dcfbe269c3cd857.jpg



Mula Payment System Links you to
Paypal
Skrill
Mpesa
Equity
Barclays
Standard
Payza
Visa
Mastercard
Etc
8a6230e964ff795d383333359b98cd37.jpg
2c7e9aeba7e48cbf3d8facd6b62f307f.jpg


Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom