kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
Unajua baada ya mwanamke kumpata mwenza wake wa raha na shida huwa mara moja moja wengine wanaendelea na zile tabia zao za zamani au mahusiano mengine yasiyo rasmi lakini huwa waangalifu sana kwani huwa wanaogopa sana kushikwa.
Wanaogopa Kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa kwani huwa wanajua kuwa mwanaume akishakufumania tu hata mara moja anaweza akasema kuwa amekusamehe lakini mahausiano hayatarudi kabisa kama zamani.kuna vitu atakuwa hakuamini tena.
Mbinu Ambazo huwa wanatumia ni kama zifuatazo:
1. Kuwa na line mbili.line moja utakuwa unaijua na ndiyo itakuwa kwenye simu kila siku na hasa akiwa nyumbani na wewe na simu atakuwa anaiacha mezani au sehemu yeyote na hana presha kwani hiyo namba anakuwa hajampa jamaa yake.watakuwa wanapiga ndugu,marafiki na wafanyakazi wenzake.hii simu hata atakuambia angalia ni nani anapiga
2. Mbinu nyingine anakuwa na line tofauti ambayo huwa anaiweka kwenye simu wakati either haupo nyumbani au kwa usalama zaidi anaiweka anapokuwa kazini au siku ambazo huwa wanakubaliana kuwasiliana. kuna ambao huwa wanawasiliana wikendi tu, wengine jumapili tu na wengine siku au kipindi mme huwa nakuwa kazini. shambani au katika mizunguko mke huwa anajua ratiba nzima.hii line huwa wanaiweka mara nyingi kwenye pochi
3. Njia nyingine ni huwa wanakariri namba ya jamaa yake na anamwambia kuwa usinipigie wala kunitumia meseji mimi ndio nitakuwa nakupigia. anakuwa anatumia namba za simu za marafiki kumpigia simu na kupanga ratiba lakini hiyo namba haandiki jina sehemu yeyote ile
4. Njia nyingine anakutambulisha jamaa yake kama ni mtu wake wa karibu kikazi au biashara na atakuambia ni ndugu kwa hiyo hutakuwa na shida naye na atafanya huyo jamaa awe rafiki wa mme wake zaidi.anaweza kuwa ni fundi, biashara na kwahiyo mme utakuwa na rafiki mme mwenzako bila ya kujua.ratiba zako wote wawili wanakuwa wanazijua
5. Mbinu nyingine ni ya kwenda kwenye maombi kanisani.huko nusu ni maombi ya kutoa mashetani na pepo na nusu ni kutoa pepo za ngono.wanatafutana kumalizana kiu wewe ukijua kaenda kusali.au siku za mpira hasa wanaojua ratiba za ligi za ulaya wakati arsenal inafungwa kule na huku ndoa inagegeduliwa au wanawasiliana la line ya kificho
Naomba kuwakilisha.hizi mbinu na tuendelee kuishi kwa amani.Usimchunguze Sana unaweza jua nyingi mimi kwangu hizi zote nazijua ila najifanya sizijui ili ndoa iendelee tu!
Wanaogopa Kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa kwani huwa wanajua kuwa mwanaume akishakufumania tu hata mara moja anaweza akasema kuwa amekusamehe lakini mahausiano hayatarudi kabisa kama zamani.kuna vitu atakuwa hakuamini tena.
Mbinu Ambazo huwa wanatumia ni kama zifuatazo:
1. Kuwa na line mbili.line moja utakuwa unaijua na ndiyo itakuwa kwenye simu kila siku na hasa akiwa nyumbani na wewe na simu atakuwa anaiacha mezani au sehemu yeyote na hana presha kwani hiyo namba anakuwa hajampa jamaa yake.watakuwa wanapiga ndugu,marafiki na wafanyakazi wenzake.hii simu hata atakuambia angalia ni nani anapiga
2. Mbinu nyingine anakuwa na line tofauti ambayo huwa anaiweka kwenye simu wakati either haupo nyumbani au kwa usalama zaidi anaiweka anapokuwa kazini au siku ambazo huwa wanakubaliana kuwasiliana. kuna ambao huwa wanawasiliana wikendi tu, wengine jumapili tu na wengine siku au kipindi mme huwa nakuwa kazini. shambani au katika mizunguko mke huwa anajua ratiba nzima.hii line huwa wanaiweka mara nyingi kwenye pochi
3. Njia nyingine ni huwa wanakariri namba ya jamaa yake na anamwambia kuwa usinipigie wala kunitumia meseji mimi ndio nitakuwa nakupigia. anakuwa anatumia namba za simu za marafiki kumpigia simu na kupanga ratiba lakini hiyo namba haandiki jina sehemu yeyote ile
4. Njia nyingine anakutambulisha jamaa yake kama ni mtu wake wa karibu kikazi au biashara na atakuambia ni ndugu kwa hiyo hutakuwa na shida naye na atafanya huyo jamaa awe rafiki wa mme wake zaidi.anaweza kuwa ni fundi, biashara na kwahiyo mme utakuwa na rafiki mme mwenzako bila ya kujua.ratiba zako wote wawili wanakuwa wanazijua
5. Mbinu nyingine ni ya kwenda kwenye maombi kanisani.huko nusu ni maombi ya kutoa mashetani na pepo na nusu ni kutoa pepo za ngono.wanatafutana kumalizana kiu wewe ukijua kaenda kusali.au siku za mpira hasa wanaojua ratiba za ligi za ulaya wakati arsenal inafungwa kule na huku ndoa inagegeduliwa au wanawasiliana la line ya kificho
Naomba kuwakilisha.hizi mbinu na tuendelee kuishi kwa amani.Usimchunguze Sana unaweza jua nyingi mimi kwangu hizi zote nazijua ila najifanya sizijui ili ndoa iendelee tu!