golden pride
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 847
- 435
dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua wapi nitakukamata!Kwambinu hizo bado sana. Hapo mtu anakamatwa. Siku hizi tume Advance. Sio O level
Ukizoea kuiba siku zote utakuwa na mawazo ya kuibiwa tu!!![/QUOTE
"mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" hapa unamlenga nani? Na je Menopause inahusiana vp na kuchepuka?hizi sio ndoto ndio mambo yanavyoendelea mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia
"mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" hapa unamlenga nani? Na je Menopause inahusiana vp na kuchepuka?
Sijakuuliza Menopouse inamhusu nani? nimekuuliza "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" unamlenga nani? au huu Uzi wako wanaochangia wote ni Wanawake?menopause huwa ni kwa nani?
Sijakuuliza Menopouse inamhusu nani? nimekuuliza "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" unamlenga nani? au huu Uzi wako wanaochangia wote ni Wanawake?
Ulichoquote na kujibu ni Mchango wangu na si uzi wako ndio maana nikakuwekea maneno niliyoyanukuu toka kwako nikayaweka kwenye funga na fungua semi "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" hapa unamlenga nani? Au hujui ulimanisha nini?soma uzi! unaongelea mbinu za kina nani
nikisema mtoto akiwa mkubwa inabidi atairiwe nitakuwa namlenga nani? na menopause kama unaijua si ya kila mtu!!Ulichoquote na kujibu ni Mchango wangu na si uzi wako ndio maana nikakuwekea maneno niliyoyanukuu toka kwako nikayaweka kwenye funga na fungua semi "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" hapa unamlenga nani? Au hujui ulimanisha nini?
Umewahi kula mama mkwe mkuu huo moyo hauwezi kwenda paaah kama hujawahi fanya hivyo.Dah ulivyotaj mam mkwe moyo ukalia paah nikadhan tayar ijumaa wikiendaaa...
Umenihairishia zoez.. UbarikiweUmewahi kula mama mkwe mkuu huo moyo hauwezi kwenda paaah kama hujawahi fanya hivyo.
[emoji23] [emoji23] Mkuu wanawake wanaweza kukufanya ukawa malaya wa kutupwa lakini pia wanaweza kukufanya uwe mtulivu omba Mungu akupe mwanamke mwema. (Najua story yako imejaa mengi)Umenihairishia zoez.. Ubarikiwe
Hiyo inaeleweka.., na je ukiwaambia hivyo Wazazi wa Kiume ambao umewakuta wameketi na Watoto wao yani" Nyinyi inabidi Mtahiriwe" unakuwa umemaanisha nn? Halafu nijibu hicho nilichokinukuu toka kwako kuja kwangu "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" unamlenga nani?nikisema mtoto akiwa mkubwa inabidi atairiwe nitakuwa namlenga nani? na menopause kama unaijua si ya kila mtu!!
[emoji119] [emoji23]Kuna hii nyingine usiku nyumba za kupanga mkeo anaenda kuoga bafuni kumbe tayari ameshapanga na njemba inakuwa inamsubiri bafuni inapiga cha fasta wewe wakati huo umetengewa msosi
Hata mimi nashangaa watu bado wnazungumzia mbinu za kizamani kabisa.Kwambinu hizo bado sana. Hapo mtu anakamatwa. Siku hizi tume Advance. Sio O level