Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

hizi sio ndoto ndio mambo yanavyoendelea mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia
"mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" hapa unamlenga nani? Na je Menopause inahusiana vp na kuchepuka?
 
soma uzi! unaongelea mbinu za kina nani
Sijakuuliza Menopouse inamhusu nani? nimekuuliza "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" unamlenga nani? au huu Uzi wako wanaochangia wote ni Wanawake?
 
soma uzi! unaongelea mbinu za kina nani
Ulichoquote na kujibu ni Mchango wangu na si uzi wako ndio maana nikakuwekea maneno niliyoyanukuu toka kwako nikayaweka kwenye funga na fungua semi "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" hapa unamlenga nani? Au hujui ulimanisha nini?
 
Ulichoquote na kujibu ni Mchango wangu na si uzi wako ndio maana nikakuwekea maneno niliyoyanukuu toka kwako nikayaweka kwenye funga na fungua semi "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" hapa unamlenga nani? Au hujui ulimanisha nini?
nikisema mtoto akiwa mkubwa inabidi atairiwe nitakuwa namlenga nani? na menopause kama unaijua si ya kila mtu!!
 
nikisema mtoto akiwa mkubwa inabidi atairiwe nitakuwa namlenga nani? na menopause kama unaijua si ya kila mtu!!
Hiyo inaeleweka.., na je ukiwaambia hivyo Wazazi wa Kiume ambao umewakuta wameketi na Watoto wao yani" Nyinyi inabidi Mtahiriwe" unakuwa umemaanisha nn? Halafu nijibu hicho nilichokinukuu toka kwako kuja kwangu "mpaka mkifikia menopause ndio muda wa kutulia" unamlenga nani?
 
Kuna hii nyingine usiku nyumba za kupanga mkeo anaenda kuoga bafuni kumbe tayari ameshapanga na njemba inakuwa inamsubiri bafuni inapiga cha fasta wewe wakati huo umetengewa msosi
[emoji119] [emoji23]
 
Kuna kitu kinaitwa Dark phone Yani simu moja inakuwa na sehemu mbili Transparency zone na Dark zone, Ukiwa kwenye mode ya Transparency hakuna Alerts yoyote utapata kutoka ktk dark zone japo simu zitaingia na text pia unachagua huyu nam save dark au transparency later on ukiswitch dark utakuta kila kitu nkifika home simu mezani huyo kitandani wife anachezea wewe na kutoka patupu now hata haigusi sasa, Sio michepuko tu hata mishe zangu sensitive siwezi ruhusu mke wangu azijue
 
Back
Top Bottom