Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Acha kuniweka roho juu bana..
He he he tunaendelea na sherehe za uhuru!!! mimi wa kwangu nimempa huu uzi aendelee kupata maujuzi toka kwa wataalamu wa michepuko hapa tupo naye amecheka sana hii meseji yako
 
Acha kuniweka roho juu bana..
He he he tunaendelea na sherehe za uhuru!!! mimi wa kwangu nimempa huu uzi aendelee kupata maujuzi toka kwa wataalamu wa michepuko hapa tupo naye amecheka sana hii meseji yako
 
Mimi mchungaji alikuwa anakula mke wangu nimemwachia sasa hivi yupo huru hata saa hiz leo wskitoka ibadani nadhani atamla maana nimemwaachia.
he he tumwachie mungu tutafanyaje na mchungaji ndio kawa na pepo za ngono
 
Na hii ya kusema naenda hospital kumuona mgonjwa flani kumbe anaenda kwenye mchepuko au utasikia naenda msibani/harusini n.k
 
Mimi mchungaji alikuwa anakula mke wangu nimemwachia sasa hivi yupo huru hata saa hiz leo wskitoka ibadani nadhani atamla maana nimemwaachia.
Aisee.. Pole sana Mkuu.
 
mke wangu amecheka sana hii point kwani ana JOHN MIKATE kwenye simu yake na nyingine zisizo na majina anasema eti hawana simu.nimemwambia hizi mbinu zenu kuna wataalamu wanazijua
“ Mwanamke yoyote aise save namba” huyu muogope kwa asilimia 99% ana chapwa nje!”

Kwanini namba ya Mangi wa duka umeisave kabisa - Mangi Dukani. Ila namba ya isio kua na jina huja save ikipigwa uta sikia __ aaa huyu huwa ni John tuna fanya nae biashara ndio huwa ana niletea mzigo? Kwaio huwezi kum save John Mizigo au John Biashara? Huwezi wewe mwanamke? Bado una taka mtu aamini kweli huwa ni business partner?
 
Wanawake wa kiislam watamu sana tena sana na hawanaga mwembe ndani ya ndoa.

Niunganishe na huyo chocolate nimpe ushauri zaidi.
Ha ha haaaaa... Ngoja nifuatilie kwanza yuko wapi maana lastime niliwasiliana na august 2016...
 
Sasa mkikutana wote wawili ni wataalamu na wote mnajua Dark zone na transparent zone inakuwaje? ukificha fuvu mwenzako anakuja kuliibua!
Kuna kitu kinaitwa Dark phone Yani simu moja inakuwa na sehemu mbili Transparency zone na Dark zone, Ukiwa kwenye mode ya Transparency hakuna Alerts yoyote utapata kutoka ktk dark zone japo simu zitaingia na text pia unachagua huyu nam save dark au transparency later on ukiswitch dark utakuta kila kitu nkifika home simu mezani huyo kitandani wife anachezea wewe na kutoka patupu now hata haigusi sasa, Sio michepuko tu hata mishe zangu sensitive siwezi ruhusu mke wangu azijue
 
Sasa mkikutana wote wawili ni wataalamu na wote mnajua Dark zone na transparent zone inakuwaje? ukificha fuvu mwenzako anakuja kuliibua!
Never boss kuswitch zone yoyote ni process ambayo inahitaji verification ya fingerprint
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] , siku moja jaribu kimng'ang'ania muende wote uone itakuaje
safari atahairisha.atakuambia anaumwa tumbo na ukitaka kumtega wewe jifanye unaondoka misele baada ya dakaika kumi ya yeye atakuwa keshapotea!!!!
 
Kuna kitu kinaitwa Dark phone Yani simu moja inakuwa na sehemu mbili Transparency zone na Dark zone, Ukiwa kwenye mode ya Transparency hakuna Alerts yoyote utapata kutoka ktk dark zone japo simu zitaingia na text pia unachagua huyu nam save dark au transparency later on ukiswitch dark utakuta kila kitu nkifika home simu mezani huyo kitandani wife anachezea wewe na kutoka patupu now hata haigusi sasa, Sio michepuko tu hata mishe zangu sensitive siwezi ruhusu mke wangu azijue
Nakupm mkuu
 
hapo ni kiboko! hii itatusitiri hizi simu zinatuabisha!!!!! he he NA NI KWA SIMU ZA AINA GANI! AU NI PROGRAM
 
safari atahairisha.atakuambia anaumwa tumbo na ukitaka kumtega wewe jifanye unaondoka misele baada ya dakaika kumi ya yeye atakuwa keshapotea!!!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] hapo sitamuelewa , nitamwambia anipeleke mpaka kwenye la tukio then turud ili niamini kama ilikua ni kwel anaenda huko
 
Duuh natoka kuipiga k ya mke wa mtu midaa hii hii walah kuchepuka ni dhambi embu ngoja nimuwahi Mama watoto home isije kuta na yy anagegedwa
 
Nyie ndio wagoni mnayajua tote ambayo hatuyajui inaonekana nyie mnajificha kwayale msiotufunza mnaonekana wasafi hongereni mnajua sana
 
Back
Top Bottom