Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Ukishakuwa na ufundi wa kupekua kipochi manyoya, hata hawana usumbufu mkuu.

Hawa wanawake ni kuhakikisha unawakaza ipasavyo.
Ila asiwe Mke wa MTU Mkuu, hua namuwaza sana wife siku nikikuta nayeye anacheat..
 
Ila asiwe Mke wa MTU Mkuu, hua namuwaza sana wife siku nikikuta nayeye anacheat..
Ni muhimu hawa wakezetu kuwakaza ipasavyo. Lakini ili hili lifanikiwe ni muhimu kuwa na mawasiliano ya hali ya juu.
 
Kuna hii nyingine usiku nyumba za kupanga mkeo anaenda kuoga bafuni kumbe tayari ameshapanga na njemba inakuwa inamsubiri bafuni inapiga cha fasta wewe wakati huo umetengewa msosi
Kumbe nishatengewa na msosi waiii what more can i ask for?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Never boss kuswitch zone yoyote ni process ambayo inahitaji verification ya fingerprint
sasa mfano kajaribu kutaka kufungua akakuta kuna kizuizi...maana yake ni hiyohiyo kua kuna vitu unaficha..na sio muaminifu au humuamini..unaona umemuweza kumbe tafsiri ileile
 
ndio na nyie njooni na mbinu za wanaume mnazojua.hapa ni kubadirishana uzoefu kwa nia njema tu!! wote sio malaika ila inauma ile kitu kitamu kula peke yako aisee
Wanaume wanatumia nguvu/udiktactor, tofauti na wanawake wanatumia akili kuficha michepuko yake
 
Unajua baada ya mwanamke kumpata mwenza wake wa raha na shida huwa mara moja moja wengine wanaendelea na zile tabia zao za zamani au mahusiano mengine yasiyo rasmi lakini huwa waangalifu sana kwani huwa wanaogopa sana kushikwa.

Wanaogopa Kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa kwani huwa wanajua kuwa mwanaume akishakufumania tu hata mara moja anaweza akasema kuwa amekusamehe lakini mahausiano hayatarudi kabisa kama zamani.kuna vitu atakuwa hakuamini tena.

Mbinu Ambazo huwa wanatumia ni kama zifuatazo:

1. Kuwa na line mbili.line moja utakuwa unaijua na ndiyo itakuwa kwenye simu kila siku na hasa akiwa nyumbani na wewe na simu atakuwa anaiacha mezani au sehemu yeyote na hana presha kwani hiyo namba anakuwa hajampa jamaa yake.watakuwa wanapiga ndugu,marafiki na wafanyakazi wenzake.hii simu hata atakuambia angalia ni nani anapiga

2. Mbinu nyingine anakuwa na line tofauti ambayo huwa anaiweka kwenye simu wakati either haupo nyumbani au kwa usalama zaidi anaiweka anapokuwa kazini au siku ambazo huwa wanakubaliana kuwasiliana. kuna ambao huwa wanawasiliana wikendi tu, wengine jumapili tu na wengine siku au kipindi mme huwa nakuwa kazini. shambani au katika mizunguko mke huwa anajua ratiba nzima.hii line huwa wanaiweka mara nyingi kwenye pochi

3. Njia nyingine ni huwa wanakariri namba ya jamaa yake na anamwambia kuwa usinipigie wala kunitumia meseji mimi ndio nitakuwa nakupigia. anakuwa anatumia namba za simu za marafiki kumpigia simu na kupanga ratiba lakini hiyo namba haandiki jina sehemu yeyote ile

4. Njia nyingine anakutambulisha jamaa yake kama ni mtu wake wa karibu kikazi au biashara na atakuambia ni ndugu kwa hiyo hutakuwa na shida naye na atafanya huyo jamaa awe rafiki wa mme wake zaidi.anaweza kuwa ni fundi, biashara na kwahiyo mme utakuwa na rafiki mme mwenzako bila ya kujua.ratiba zako wote wawili wanakuwa wanazijua

5. Mbinu nyingine ni ya kwenda kwenye maombi kanisani.huko nusu ni maombi ya kutoa mashetani na pepo na nusu ni kutoa pepo za ngono.wanatafutana kumalizana kiu wewe ukijua kaenda kusali.au siku za mpira hasa wanaojua ratiba za ligi za ulaya wakati arsenal inafungwa kule na huku ndoa inagegeduliwa au wanawasiliana la line ya kificho

Naomba kuwakilisha.hizi mbinu na tuendelee kuishi kwa amani.Usimchunguze Sana unaweza jua nyingi mimi kwangu hizi zote nazijua ila najifanya sizijui ili ndoa iendelee tu!
Ukiwa na AKILI TIMAMU hata siku moja MWANAMKE (tena unayeishi naye ndani) hawezi kukudanganya muda wote. Atafanikiwa tu kwa siku moja au muda mfupi sana.
 
Unajua baada ya mwanamke kumpata mwenza wake wa raha na shida huwa mara moja moja wengine wanaendelea na zile tabia zao za zamani au mahusiano mengine yasiyo rasmi lakini huwa waangalifu sana kwani huwa wanaogopa sana kushikwa.

Wanaogopa Kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa kwani huwa wanajua kuwa mwanaume akishakufumania tu hata mara moja anaweza akasema kuwa amekusamehe lakini mahausiano hayatarudi kabisa kama zamani.kuna vitu atakuwa hakuamini tena.

Mbinu Ambazo huwa wanatumia ni kama zifuatazo:

1. Kuwa na line mbili.line moja utakuwa unaijua na ndiyo itakuwa kwenye simu kila siku na hasa akiwa nyumbani na wewe na simu atakuwa anaiacha mezani au sehemu yeyote na hana presha kwani hiyo namba anakuwa hajampa jamaa yake.watakuwa wanapiga ndugu,marafiki na wafanyakazi wenzake.hii simu hata atakuambia angalia ni nani anapiga

2. Mbinu nyingine anakuwa na line tofauti ambayo huwa anaiweka kwenye simu wakati either haupo nyumbani au kwa usalama zaidi anaiweka anapokuwa kazini au siku ambazo huwa wanakubaliana kuwasiliana. kuna ambao huwa wanawasiliana wikendi tu, wengine jumapili tu na wengine siku au kipindi mme huwa nakuwa kazini. shambani au katika mizunguko mke huwa anajua ratiba nzima.hii line huwa wanaiweka mara nyingi kwenye pochi

3. Njia nyingine ni huwa wanakariri namba ya jamaa yake na anamwambia kuwa usinipigie wala kunitumia meseji mimi ndio nitakuwa nakupigia. anakuwa anatumia namba za simu za marafiki kumpigia simu na kupanga ratiba lakini hiyo namba haandiki jina sehemu yeyote ile

4. Njia nyingine anakutambulisha jamaa yake kama ni mtu wake wa karibu kikazi au biashara na atakuambia ni ndugu kwa hiyo hutakuwa na shida naye na atafanya huyo jamaa awe rafiki wa mme wake zaidi.anaweza kuwa ni fundi, biashara na kwahiyo mme utakuwa na rafiki mme mwenzako bila ya kujua.ratiba zako wote wawili wanakuwa wanazijua

5. Mbinu nyingine ni ya kwenda kwenye maombi kanisani.huko nusu ni maombi ya kutoa mashetani na pepo na nusu ni kutoa pepo za ngono.wanatafutana kumalizana kiu wewe ukijua kaenda kusali.au siku za mpira hasa wanaojua ratiba za ligi za ulaya wakati arsenal inafungwa kule na huku ndoa inagegeduliwa au wanawasiliana la line ya kificho

Naomba kuwakilisha.hizi mbinu na tuendelee kuishi kwa amani.Usimchunguze Sana unaweza jua nyingi mimi kwangu hizi zote nazijua ila najifanya sizijui ili ndoa iendelee tu!
Asee
 
Kiukweli mimi huwa nawaonea sana huruma wanawake wanavyofanya huwa wanaona wanatukomesha sana ila hakuna mtu mbaya kama mwanaume anaweza kulala hadi na mama Mkwe wake sema tu huwa tunawaonea huruma maana akili zao hazijasimama dede.
Naam
 
Hii ya kanisani ni kweli, kuna ndoa ya mshkaji wangu ilivunjika kiutani utani hivi hivi, jamaa alipata mwanamke wa kiislamu, mwanamke mzuri kwelikweli, chocolate colour na makinikia ya kutosha.

Wakafunga ndoa bomani, ila akaamua kua mkewe ni lazima awe mkristo, so akampeleka kanisani kwao akamtambulisha na harakati zikaanza, baada ya miaka miwili mtoto wa kike akawa kajiunga mpaka kwaya ya kanisa, jamaa akajua naaam dini imekolea Mkewangu.

Bahati mbaya sana jamaa kanisa anaenda pasaka au xmass baaasi.. Sasa jumapili moja mkewe katoka church, wamepata lunch mke kaingia kuoga, kajikoki fasta fasta kaaga anaenda kwao mara moja Bi'mkubwa'ke kamuita, kwao ni mbezi mwisho kule, jamaa kasema poa yeye akaendelea zake kucheck mpira.

Mara bibie akaaga akaondoka zake, hapo ilikua mida ya saa Tisa kuelekea kumi jioni, so alikua na haraka ili kubalance muda, baada ya kuondoka na haraka haraka zake akasahau simu mezani, kidogo ikaanza kuita, jamaa akaiona, akasema ngoja nitoke nimuwahi kabla hajafika mbali, ila katoka kakunja kona ya kwanza, ya pili, kama Mungu tu akamwambia "acha ubwege hebu chungulia humo kwenye simu kuna nini" LAHAULAH aliyoyakuta humo yalikua mazito!

Break ya kwanza akaenda kwa muinjilisti kumshtakia huyo "Mzee wa kanisa" aliyekua akimpakua mkewe..

Alipotoka huko kwa Muinjilisti akaja kwangu, alivyovaa na taharuki aliyokua nayo nikamuuliza vipi ndugu yangu? Akanipa "Samsung" ya mkewe nisome, Doh, ni aibu! Mtoto wa kike anausifia "mkuyenge" wa Mzee wa kanisa + mapicha picha kibao.

Jumatatu yake mapema sana tukaamkia kwenye kikao kizito ndani ya kanisa. Uliwaka moto wa hatari sana pale kanisani pembeni ya madhabahu ndiyo tulikaa.. Mzee wa kanisa aliitwa kwa tyming bila yeye kujua na mkewe akaitwa kutoka kazini akiambiwa afike kanisani haraka sana kuna dharula, mama wa watu kaja kapanic ile mbaya!

Basi bwana, mambo yakawekwa hadharani, hapo hapo mwanamke akaanza kulia na kuanza kulalamikia wanawake wengine wa hapo hapo kanisani, Mara muimba kwaya mwengine naye akataja wake, basi ikawa kizaa zaa pale. Wakati huo yule mke wa jamaa yangu alikua kakimbilia kwao, maana toka Jana yake ile aliposhtuka na kurudi home kufuata simu akukuta jamaa hayupo, wala simu Hamna, milango haijafungwa, TV iko on, akajua hapa ni kizaa zaa. Akakimbilia kwao.

Basi huku na huku ndoa ya mshkaji ikavunjika kiutani utani tu.

Jamaa akaapa hatokuja kukanyaga kanisani tena.
Hahaha aseee good story
 
Unajua baada ya mwanamke kumpata mwenza wake wa raha na shida huwa mara moja moja wengine wanaendelea na zile tabia zao za zamani au mahusiano mengine yasiyo rasmi lakini huwa waangalifu sana kwani huwa wanaogopa sana kushikwa.

Wanaogopa Kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa kwani huwa wanajua kuwa mwanaume akishakufumania tu hata mara moja anaweza akasema kuwa amekusamehe lakini mahausiano hayatarudi kabisa kama zamani.kuna vitu atakuwa hakuamini tena.

Mbinu Ambazo huwa wanatumia ni kama zifuatazo:

1. Kuwa na line mbili.line moja utakuwa unaijua na ndiyo itakuwa kwenye simu kila siku na hasa akiwa nyumbani na wewe na simu atakuwa anaiacha mezani au sehemu yeyote na hana presha kwani hiyo namba anakuwa hajampa jamaa yake.watakuwa wanapiga ndugu,marafiki na wafanyakazi wenzake.hii simu hata atakuambia angalia ni nani anapiga

2. Mbinu nyingine anakuwa na line tofauti ambayo huwa anaiweka kwenye simu wakati either haupo nyumbani au kwa usalama zaidi anaiweka anapokuwa kazini au siku ambazo huwa wanakubaliana kuwasiliana. kuna ambao huwa wanawasiliana wikendi tu, wengine jumapili tu na wengine siku au kipindi mme huwa nakuwa kazini. shambani au katika mizunguko mke huwa anajua ratiba nzima.hii line huwa wanaiweka mara nyingi kwenye pochi

3. Njia nyingine ni huwa wanakariri namba ya jamaa yake na anamwambia kuwa usinipigie wala kunitumia meseji mimi ndio nitakuwa nakupigia. anakuwa anatumia namba za simu za marafiki kumpigia simu na kupanga ratiba lakini hiyo namba haandiki jina sehemu yeyote ile

4. Njia nyingine anakutambulisha jamaa yake kama ni mtu wake wa karibu kikazi au biashara na atakuambia ni ndugu kwa hiyo hutakuwa na shida naye na atafanya huyo jamaa awe rafiki wa mme wake zaidi.anaweza kuwa ni fundi, biashara na kwahiyo mme utakuwa na rafiki mme mwenzako bila ya kujua.ratiba zako wote wawili wanakuwa wanazijua

5. Mbinu nyingine ni ya kwenda kwenye maombi kanisani.huko nusu ni maombi ya kutoa mashetani na pepo na nusu ni kutoa pepo za ngono.wanatafutana kumalizana kiu wewe ukijua kaenda kusali.au siku za mpira hasa wanaojua ratiba za ligi za ulaya wakati arsenal inafungwa kule na huku ndoa inagegeduliwa au wanawasiliana la line ya kificho

Naomba kuwakilisha.hizi mbinu na tuendelee kuishi kwa amani.Usimchunguze Sana unaweza jua nyingi mimi kwangu hizi zote nazijua ila najifanya sizijui ili ndoa iendelee tu!
Wewe ndio unawasiliana na mke wa mtu kwa staili hiyo
 
Back
Top Bottom