Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Kwangu mimi huwa naona ni uzembe sana mwanaume kufumaniwa na mkewe kwa njia ya simu, mimi hata huyo mwanamke awe CIA hawezi kujua lolote kwangu labda nitake ajue ila kawaida tu hivi hawezi kunishika hata nikimpa simu wiki nzima.
Waifu akileta kiburi naacha mesej za michepuko asome
 
Mimi mchungaji alikuwa anakula mke wangu nimemwachia sasa hivi yupo huru hata saa hiz leo wskitoka ibadani nadhani atamla maana nimemwaachia.
Victim wa wachungaji tuko wengi, waifu alisema kuna mkutano yeye ndo mpishi akawa anaondoka asubuhi anarudi jioni wiki nzima nakula viporo mchana nkasema haina noma alivomaliza namimi nikaanza xcuses naondoka asubuhi narudi ucku siku mbili tu ikamuuma akaanza kutukana kilichofwata ni mpambano mkali wa mywetha na pakiao
 
hizi ni mbinu za pande zote mbili mtu ukizubaa mwenzako asiye mwaminifu anazitumia kutoa kiu.Hizi tabia sio kwa wote ila wapo mafundi
Ivi nyie mbona mnalalamika sana.. nyie mnavyoendaga huko mpirani kuna anaewafwata
Je ingekua sisi ndio tunakuambia leo kuna mechi ntachelewa kurudi...
 
Victim wa wachungaji tuko wengi, waifu alisema kuna mkutano yeye ndo mpishi akawa anaondoka asubuhi anarudi jioni wiki nzima nakula viporo mchana nkasema haina noma alivomaliza namimi nikaanza xcuses naondoka asubuhi narudi ucku siku mbili tu ikamuuma akaanza kutukana kilichofwata ni mpambano mkali wa mywetha na pakiao
he he he hii kali
 
Hiyo ya chech nahisi ina ukweli ndani yake mtu katoka chech lakini ananuka shahawa, ptuuuuuu....
Au mtu anafanya maandalizi ya kwenda kanisani mpaka unamshtukia na huwa wanakuwa na waswasi na wanajihisi .unajiuliza ni maombi ndio yanafanyiwa maandalizi hivi au anaenda kutoa kiu!!
 
Hapo namba tatu Kama vile umemuona my X aliyeolewa na mshambamshamba mmoja alikutana nae chuoni[emoji38][emoji38]
Siku hizi huyo ex wako ni umeshaachana na yule mshambamshamba amenenepa kama mbuyu na kula bata tuu kaachana na mshamba.
 
Au mtu anafanya maandalizi ya kwenda kanisani mpaka unamshtukia na huwa wanakuwa na waswasi na wanajihisi .unajiuliza ni maombi ndio yanafanyiwa maandalizi hivi au anaenda kutoa kiu!!
Ni kweli anajishauri shauri, anaanza kuaga mapema saa nane tuna maombi, saa nane haendi utamsikia kumbe ni saa kumi bwana, saa kumi ikifika utaskia sijui niende tu, sema nikirudi ntamkosea mungu, ili tu ujilengeshe, nenda tu mama maombia ni muhimu, apo ndo unakua umempa go ahead
 
Victim wa wachungaji tuko wengi, waifu alisema kuna mkutano yeye ndo mpishi akawa anaondoka asubuhi anarudi jioni wiki nzima nakula viporo mchana nkasema haina noma alivomaliza namimi nikaanza xcuses naondoka asubuhi narudi ucku siku mbili tu ikamuuma akaanza kutukana kilichofwata ni mpambano mkali wa mywetha na pakiao
Mimi nilivojua sikufanya alivofanya nilimfuatilia nikiwa normal bila yeye kujua nikamkamata.
 
Hii ya kanisani ni kweli, kuna ndoa ya mshkaji wangu ilivunjika kiutani utani hivi hivi, jamaa alipata mwanamke wa kiislamu, mwanamke mzuri kwelikweli, chocolate colour na makinikia ya kutosha.

Wakafunga ndoa bomani, ila akaamua kua mkewe ni lazima awe mkristo, so akampeleka kanisani kwao akamtambulisha na harakati zikaanza, baada ya miaka miwili mtoto wa kike akawa kajiunga mpaka kwaya ya kanisa, jamaa akajua naaam dini imekolea Mkewangu.

Bahati mbaya sana jamaa kanisa anaenda pasaka au xmass baaasi.. Sasa jumapili moja mkewe katoka church, wamepata lunch mke kaingia kuoga, kajikoki fasta fasta kaaga anaenda kwao mara moja Bi'mkubwa'ke kamuita, kwao ni mbezi mwisho kule, jamaa kasema poa yeye akaendelea zake kucheck mpira.

Mara bibie akaaga akaondoka zake, hapo ilikua mida ya saa Tisa kuelekea kumi jioni, so alikua na haraka ili kubalance muda, baada ya kuondoka na haraka haraka zake akasahau simu mezani, kidogo ikaanza kuita, jamaa akaiona, akasema ngoja nitoke nimuwahi kabla hajafika mbali, ila katoka kakunja kona ya kwanza, ya pili, kama Mungu tu akamwambia "acha ubwege hebu chungulia humo kwenye simu kuna nini" LAHAULAH aliyoyakuta humo yalikua mazito!

Break ya kwanza akaenda kwa muinjilisti kumshtakia huyo "Mzee wa kanisa" aliyekua akimpakua mkewe..

Alipotoka huko kwa Muinjilisti akaja kwangu, alivyovaa na taharuki aliyokua nayo nikamuuliza vipi ndugu yangu? Akanipa "Samsung" ya mkewe nisome, Doh, ni aibu! Mtoto wa kike anausifia "mkuyenge" wa Mzee wa kanisa + mapicha picha kibao.

Jumatatu yake mapema sana tukaamkia kwenye kikao kizito ndani ya kanisa. Uliwaka moto wa hatari sana pale kanisani pembeni ya madhabahu ndiyo tulikaa.. Mzee wa kanisa aliitwa kwa tyming bila yeye kujua na mkewe akaitwa kutoka kazini akiambiwa afike kanisani haraka sana kuna dharula, mama wa watu kaja kapanic ile mbaya!

Basi bwana, mambo yakawekwa hadharani, hapo hapo mwanamke akaanza kulia na kuanza kulalamikia wanawake wengine wa hapo hapo kanisani, Mara muimba kwaya mwengine naye akataja wake, basi ikawa kizaa zaa pale. Wakati huo yule mke wa jamaa yangu alikua kakimbilia kwao, maana toka Jana yake ile aliposhtuka na kurudi home kufuata simu akukuta jamaa hayupo, wala simu Hamna, milango haijafungwa, TV iko on, akajua hapa ni kizaa zaa. Akakimbilia kwao.

Basi huku na huku ndoa ya mshkaji ikavunjika kiutani utani tu.

Jamaa akaapa hatokuja kukanyaga kanisani tena.
ogopa swala la kwaya kama america kwa propaganda chonganishi
 
Hii ya kanisani ni kweli, kuna ndoa ya mshkaji wangu ilivunjika kiutani utani hivi hivi, jamaa alipata mwanamke wa kiislamu, mwanamke mzuri kwelikweli, chocolate colour na makinikia ya kutosha.

Wakafunga ndoa bomani, ila akaamua kua mkewe ni lazima awe mkristo, so akampeleka kanisani kwao akamtambulisha na harakati zikaanza, baada ya miaka miwili mtoto wa kike akawa kajiunga mpaka kwaya ya kanisa, jamaa akajua naaam dini imekolea Mkewangu.

Bahati mbaya sana jamaa kanisa anaenda pasaka au xmass baaasi.. Sasa jumapili moja mkewe katoka church, wamepata lunch mke kaingia kuoga, kajikoki fasta fasta kaaga anaenda kwao mara moja Bi'mkubwa'ke kamuita, kwao ni mbezi mwisho kule, jamaa kasema poa yeye akaendelea zake kucheck mpira.

Mara bibie akaaga akaondoka zake, hapo ilikua mida ya saa Tisa kuelekea kumi jioni, so alikua na haraka ili kubalance muda, baada ya kuondoka na haraka haraka zake akasahau simu mezani, kidogo ikaanza kuita, jamaa akaiona, akasema ngoja nitoke nimuwahi kabla hajafika mbali, ila katoka kakunja kona ya kwanza, ya pili, kama Mungu tu akamwambia "acha ubwege hebu chungulia humo kwenye simu kuna nini" LAHAULAH aliyoyakuta humo yalikua mazito!

Break ya kwanza akaenda kwa muinjilisti kumshtakia huyo "Mzee wa kanisa" aliyekua akimpakua mkewe..

Alipotoka huko kwa Muinjilisti akaja kwangu, alivyovaa na taharuki aliyokua nayo nikamuuliza vipi ndugu yangu? Akanipa "Samsung" ya mkewe nisome, Doh, ni aibu! Mtoto wa kike anausifia "mkuyenge" wa Mzee wa kanisa + mapicha picha kibao.

Jumatatu yake mapema sana tukaamkia kwenye kikao kizito ndani ya kanisa. Uliwaka moto wa hatari sana pale kanisani pembeni ya madhabahu ndiyo tulikaa.. Mzee wa kanisa aliitwa kwa tyming bila yeye kujua na mkewe akaitwa kutoka kazini akiambiwa afike kanisani haraka sana kuna dharula, mama wa watu kaja kapanic ile mbaya!

Basi bwana, mambo yakawekwa hadharani, hapo hapo mwanamke akaanza kulia na kuanza kulalamikia wanawake wengine wa hapo hapo kanisani, Mara muimba kwaya mwengine naye akataja wake, basi ikawa kizaa zaa pale. Wakati huo yule mke wa jamaa yangu alikua kakimbilia kwao, maana toka Jana yake ile aliposhtuka na kurudi home kufuata simu akukuta jamaa hayupo, wala simu Hamna, milango haijafungwa, TV iko on, akajua hapa ni kizaa zaa. Akakimbilia kwao.

Basi huku na huku ndoa ya mshkaji ikavunjika kiutani utani tu.

Jamaa akaapa hatokuja kukanyaga kanisani tena.
Gegedo ni kitu hatari sana, hasa likitumiwa vizuri hakuna mwanamke mjanja.
 
Kuna hii nyingine usiku nyumba za kupanga mkeo anaenda kuoga bafuni kumbe tayari ameshapanga na njemba inakuwa inamsubiri bafuni inapiga cha fasta wewe wakati huo umetengewa msosi
[emoji3] umenikumbusha mbali mkuu.
 
Hii ya kanisani ni kweli, kuna ndoa ya mshkaji wangu ilivunjika kiutani utani hivi hivi, jamaa alipata mwanamke wa kiislamu, mwanamke mzuri kwelikweli, chocolate colour na makinikia ya kutosha.

Wakafunga ndoa bomani, ila akaamua kua mkewe ni lazima awe mkristo, so akampeleka kanisani kwao akamtambulisha na harakati zikaanza, baada ya miaka miwili mtoto wa kike akawa kajiunga mpaka kwaya ya kanisa, jamaa akajua naaam dini imekolea Mkewangu.

Bahati mbaya sana jamaa kanisa anaenda pasaka au xmass baaasi.. Sasa jumapili moja mkewe katoka church, wamepata lunch mke kaingia kuoga, kajikoki fasta fasta kaaga anaenda kwao mara moja Bi'mkubwa'ke kamuita, kwao ni mbezi mwisho kule, jamaa kasema poa yeye akaendelea zake kucheck mpira.

Mara bibie akaaga akaondoka zake, hapo ilikua mida ya saa Tisa kuelekea kumi jioni, so alikua na haraka ili kubalance muda, baada ya kuondoka na haraka haraka zake akasahau simu mezani, kidogo ikaanza kuita, jamaa akaiona, akasema ngoja nitoke nimuwahi kabla hajafika mbali, ila katoka kakunja kona ya kwanza, ya pili, kama Mungu tu akamwambia "acha ubwege hebu chungulia humo kwenye simu kuna nini" LAHAULAH aliyoyakuta humo yalikua mazito!

Break ya kwanza akaenda kwa muinjilisti kumshtakia huyo "Mzee wa kanisa" aliyekua akimpakua mkewe..

Alipotoka huko kwa Muinjilisti akaja kwangu, alivyovaa na taharuki aliyokua nayo nikamuuliza vipi ndugu yangu? Akanipa "Samsung" ya mkewe nisome, Doh, ni aibu! Mtoto wa kike anausifia "mkuyenge" wa Mzee wa kanisa + mapicha picha kibao.

Jumatatu yake mapema sana tukaamkia kwenye kikao kizito ndani ya kanisa. Uliwaka moto wa hatari sana pale kanisani pembeni ya madhabahu ndiyo tulikaa.. Mzee wa kanisa aliitwa kwa tyming bila yeye kujua na mkewe akaitwa kutoka kazini akiambiwa afike kanisani haraka sana kuna dharula, mama wa watu kaja kapanic ile mbaya!

Basi bwana, mambo yakawekwa hadharani, hapo hapo mwanamke akaanza kulia na kuanza kulalamikia wanawake wengine wa hapo hapo kanisani, Mara muimba kwaya mwengine naye akataja wake, basi ikawa kizaa zaa pale. Wakati huo yule mke wa jamaa yangu alikua kakimbilia kwao, maana toka Jana yake ile aliposhtuka na kurudi home kufuata simu akukuta jamaa hayupo, wala simu Hamna, milango haijafungwa, TV iko on, akajua hapa ni kizaa zaa. Akakimbilia kwao.

Basi huku na huku ndoa ya mshkaji ikavunjika kiutani utani tu.

Jamaa akaapa hatokuja kukanyaga kanisani tena.


Aiseeeeh. Mola aturehemu sisi binadamu wake.
 
Back
Top Bottom