Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Zijue mbinu wake zetu hutumia kuwasiliana na michepuko kwa simu bila sisi kujua

Kwangu mimi huwa naona ni uzembe sana mwanaume kufumaniwa na mkewe kwa njia ya simu, mimi hata huyo mwanamke awe CIA hawezi kujua lolote kwangu labda nitake ajue ila kawaida tu hivi hawezi kunishika hata nikimpa simu wiki nzima.
 
Nishakusom we utakuwa na IQ kubwa sana.. Big up
 
Hiyo namba 3 kukariri namba na kufuta ndiyo inayotumiwa zaidi
 
Hizo mbinu hata sisi wanaume tunazitumia, ukiondoa hyo ya kanisani
 
Kwangu mimi huwa naona ni uzembe sana mwanaume kufumaniwa na mkewe kwa njia ya simu, mimi hata huyo mwanamke awe CIA hawezi kujua lolote kwangu labda nitake ajue ila kawaida tu hivi hawezi kunishika hata nikimpa simu wiki nzima.

“Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu” ni kwambie kitu yani uta naswa kijinga sana afu utajiona boya vibaya “ yani kani nasia hapa kweli ? Imekuaje kuaje? Ki vipi yani? Nani kampa mchongo huu? Hapana em ngoja ni kague simu yake nione tena______ haya na maswali mengine mengi uta jiuliza sana..
 
Unajua baada ya mwanamke kumpata mwenza wake wa raha na shida huwa mara moja moja wengine wanaendelea na zile tabia zao za zamani au mahusiano mengine yasiyo rasmi lakini huwa waangalifu sana kwani huwa wanaogopa sana kushikwa.

Wanaogopa Kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa kwani huwa wanajua kuwa mwanaume akishakufumania tu hata mara moja anaweza akasema kuwa amekusamehe lakini mahausiano hayatarudi kabisa kama zamani.kuna vitu atakuwa hakuamini tena.

Mbinu Ambazo huwa wanatumia ni kama zifuatazo:

1. Kuwa na line mbili.line moja utakuwa unaijua na ndiyo itakuwa kwenye simu kila siku na hasa akiwa nyumbani na wewe na simu atakuwa anaiacha mezani au sehemu yeyote na hana presha kwani hiyo namba anakuwa hajampa jamaa yake.watakuwa wanapiga ndugu,marafiki na wafanyakazi wenzake.hii simu hata atakuambia angalia ni nani anapiga

2. Mbinu nyingine anakuwa na line tofauti ambayo huwa anaiweka kwenye simu wakati either haupo nyumbani au kwa usalama zaidi anaiweka anapokuwa kazini au siku ambazo huwa wanakubaliana kuwasiliana. kuna ambao huwa wanawasiliana wikendi tu, wengine jumapili tu na wengine siku au kipindi mme huwa nakuwa kazini. shambani au katika mizunguko mke huwa anajua ratiba nzima.hii line huwa wanaiweka mara nyingi kwenye pochi

3. Njia nyingine ni huwa wanakariri namba ya jamaa yake na anamwambia kuwa usinipigie wala kunitumia meseji mimi ndio nitakuwa nakupigia. anakuwa anatumia namba za simu za marafiki kumpigia simu na kupanga ratiba lakini hiyo namba haandiki jina sehemu yeyote ile

4. Njia nyingine anakutambulisha jamaa yake kama ni mtu wake wa karibu kikazi au biashara na atakuambia ni ndugu kwa hiyo hutakuwa na shida naye na atafanya huyo jamaa awe rafiki wa mme wake zaidi.anaweza kuwa ni fundi, biashara na kwahiyo mme utakuwa na rafiki mme mwenzako bila ya kujua.ratiba zako wote wawili wanakuwa wanazijua

5. Mbinu nyingine ni ya kwenda kwenye maombi kanisani.huko nusu ni maombi ya kutoa mashetani na pepo na nusu ni kutoa pepo za ngono.wanatafutana kumalizana kiu wewe ukijua kaenda kusali.au siku za mpira hasa wanaojua ratiba za ligi za ulaya wakati arsenal inafungwa kule na huku ndoa inagegeduliwa au wanawasiliana la line ya kificho

Naomba kuwakilisha.hizi mbinu na tuendelee kuishi kwa amani.Usimchunguze Sana unaweza jua nyingi mimi kwangu hizi zote nazijua ila najifanya sizijui ili ndoa iendelee tu!
Acha kuniweka roho juu bana..
 
“Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu” ni kwambie kitu yani uta naswa kijinga sana afu utajiona boya vibaya “ yani kani nasia hapa kweli ? Imekuaje kuaje? Ki vipi yani? Nani kampa mchongo huu? Hapana em ngoja ni kague simu yake nione tena______ haya na maswali mengine mengi uta jiuliza sana..
Kuna watu toka utotoni asili yetu kubwa ni umakini (Siwezi kukamatwa) najua kwanini nasema.
 
“ Mwanamke yoyote aise save namba” huyu muogope kwa asilimia 99% ana chapwa nje!”

Kwanini namba ya Mangi wa duka umeisave kabisa - Mangi Dukani. Ila namba ya isio kua na jina huja save ikipigwa uta sikia __ aaa huyu huwa ni John tuna fanya nae biashara ndio huwa ana niletea mzigo? Kwaio huwezi kum save John Mizigo au John Biashara? Huwezi wewe mwanamke? Bado una taka mtu aamini kweli huwa ni business partner?
 
Hii ya kanisani ni kweli, kuna ndoa ya mshkaji wangu ilivunjika kiutani utani hivi hivi, jamaa alipata mwanamke wa kiislamu, mwanamke mzuri kwelikweli, chocolate colour na makinikia ya kutosha.

Wakafunga ndoa bomani, ila akaamua kua mkewe ni lazima awe mkristo, so akampeleka kanisani kwao akamtambulisha na harakati zikaanza, baada ya miaka miwili mtoto wa kike akawa kajiunga mpaka kwaya ya kanisa, jamaa akajua naaam dini imekolea Mkewangu.

Bahati mbaya sana jamaa kanisa anaenda pasaka au xmass baaasi.. Sasa jumapili moja mkewe katoka church, wamepata lunch mke kaingia kuoga, kajikoki fasta fasta kaaga anaenda kwao mara moja Bi'mkubwa'ke kamuita, kwao ni mbezi mwisho kule, jamaa kasema poa yeye akaendelea zake kucheck mpira.

Mara bibie akaaga akaondoka zake, hapo ilikua mida ya saa Tisa kuelekea kumi jioni, so alikua na haraka ili kubalance muda, baada ya kuondoka na haraka haraka zake akasahau simu mezani, kidogo ikaanza kuita, jamaa akaiona, akasema ngoja nitoke nimuwahi kabla hajafika mbali, ila katoka kakunja kona ya kwanza, ya pili, kama Mungu tu akamwambia "acha ubwege hebu chungulia humo kwenye simu kuna nini" LAHAULAH aliyoyakuta humo yalikua mazito!

Break ya kwanza akaenda kwa muinjilisti kumshtakia huyo "Mzee wa kanisa" aliyekua akimpakua mkewe..

Alipotoka huko kwa Muinjilisti akaja kwangu, alivyovaa na taharuki aliyokua nayo nikamuuliza vipi ndugu yangu? Akanipa "Samsung" ya mkewe nisome, Doh, ni aibu! Mtoto wa kike anausifia "mkuyenge" wa Mzee wa kanisa + mapicha picha kibao.

Jumatatu yake mapema sana tukaamkia kwenye kikao kizito ndani ya kanisa. Uliwaka moto wa hatari sana pale kanisani pembeni ya madhabahu ndiyo tulikaa.. Mzee wa kanisa aliitwa kwa tyming bila yeye kujua na mkewe akaitwa kutoka kazini akiambiwa afike kanisani haraka sana kuna dharula, mama wa watu kaja kapanic ile mbaya!

Basi bwana, mambo yakawekwa hadharani, hapo hapo mwanamke akaanza kulia na kuanza kulalamikia wanawake wengine wa hapo hapo kanisani, Mara muimba kwaya mwengine naye akataja wake, basi ikawa kizaa zaa pale. Wakati huo yule mke wa jamaa yangu alikua kakimbilia kwao, maana toka Jana yake ile aliposhtuka na kurudi home kufuata simu akukuta jamaa hayupo, wala simu Hamna, milango haijafungwa, TV iko on, akajua hapa ni kizaa zaa. Akakimbilia kwao.

Basi huku na huku ndoa ya mshkaji ikavunjika kiutani utani tu.

Jamaa akaapa hatokuja kukanyaga kanisani tena.
Mimi mchungaji alikuwa anakula mke wangu nimemwachia sasa hivi yupo huru hata saa hiz leo wskitoka ibadani nadhani atamla maana nimemwaachia.
 
Hii ya kanisani ni kweli, kuna ndoa ya mshkaji wangu ilivunjika kiutani utani hivi hivi, jamaa alipata mwanamke wa kiislamu, mwanamke mzuri kwelikweli, chocolate colour na makinikia ya kutosha.

Wakafunga ndoa bomani, ila akaamua kua mkewe ni lazima awe mkristo, so akampeleka kanisani kwao akamtambulisha na harakati zikaanza, baada ya miaka miwili mtoto wa kike akawa kajiunga mpaka kwaya ya kanisa, jamaa akajua naaam dini imekolea Mkewangu.

Bahati mbaya sana jamaa kanisa anaenda pasaka au xmass baaasi.. Sasa jumapili moja mkewe katoka church, wamepata lunch mke kaingia kuoga, kajikoki fasta fasta kaaga anaenda kwao mara moja Bi'mkubwa'ke kamuita, kwao ni mbezi mwisho kule, jamaa kasema poa yeye akaendelea zake kucheck mpira.

Mara bibie akaaga akaondoka zake, hapo ilikua mida ya saa Tisa kuelekea kumi jioni, so alikua na haraka ili kubalance muda, baada ya kuondoka na haraka haraka zake akasahau simu mezani, kidogo ikaanza kuita, jamaa akaiona, akasema ngoja nitoke nimuwahi kabla hajafika mbali, ila katoka kakunja kona ya kwanza, ya pili, kama Mungu tu akamwambia "acha ubwege hebu chungulia humo kwenye simu kuna nini" LAHAULAH aliyoyakuta humo yalikua mazito!

Break ya kwanza akaenda kwa muinjilisti kumshtakia huyo "Mzee wa kanisa" aliyekua akimpakua mkewe..

Alipotoka huko kwa Muinjilisti akaja kwangu, alivyovaa na taharuki aliyokua nayo nikamuuliza vipi ndugu yangu? Akanipa "Samsung" ya mkewe nisome, Doh, ni aibu! Mtoto wa kike anausifia "mkuyenge" wa Mzee wa kanisa + mapicha picha kibao.

Jumatatu yake mapema sana tukaamkia kwenye kikao kizito ndani ya kanisa. Uliwaka moto wa hatari sana pale kanisani pembeni ya madhabahu ndiyo tulikaa.. Mzee wa kanisa aliitwa kwa tyming bila yeye kujua na mkewe akaitwa kutoka kazini akiambiwa afike kanisani haraka sana kuna dharula, mama wa watu kaja kapanic ile mbaya!

Basi bwana, mambo yakawekwa hadharani, hapo hapo mwanamke akaanza kulia na kuanza kulalamikia wanawake wengine wa hapo hapo kanisani, Mara muimba kwaya mwengine naye akataja wake, basi ikawa kizaa zaa pale. Wakati huo yule mke wa jamaa yangu alikua kakimbilia kwao, maana toka Jana yake ile aliposhtuka na kurudi home kufuata simu akukuta jamaa hayupo, wala simu Hamna, milango haijafungwa, TV iko on, akajua hapa ni kizaa zaa. Akakimbilia kwao.

Basi huku na huku ndoa ya mshkaji ikavunjika kiutani utani tu.

Jamaa akaapa hatokuja kukanyaga kanisani tena.
Wanawake wa kiislam watamu sana tena sana na hawanaga mwembe ndani ya ndoa.

Niunganishe na huyo chocolate nimpe ushauri zaidi.
 
Back
Top Bottom